The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 3,445
- 8,299
Great Thinkers.
Sikia kusimuliwa tu. NHIF kuna uozo mkubwa na wa kutisha ukizingatia imebeba hatma ya maisha ya watu, lakini hudumu ni za hovyo kupita kipindi chochote kile.
Sijui hizo hela tunazochanga zinaenda wapi. Halafu kuna wahuni wanasema mama anaupiga mwingi how. Watu wanatiwa umasikini kwa gharama za matibabu.
Hudumu nyingi hazimo kwenye bima kitu kinachoumiza sana.
Shame on you CCM, mlaaniwe kabisa.
Sikia kusimuliwa tu. NHIF kuna uozo mkubwa na wa kutisha ukizingatia imebeba hatma ya maisha ya watu, lakini hudumu ni za hovyo kupita kipindi chochote kile.
Sijui hizo hela tunazochanga zinaenda wapi. Halafu kuna wahuni wanasema mama anaupiga mwingi how. Watu wanatiwa umasikini kwa gharama za matibabu.
Hudumu nyingi hazimo kwenye bima kitu kinachoumiza sana.
Shame on you CCM, mlaaniwe kabisa.