Nyoka ameingia chumbani dawa ni kuhama chumba..?View attachment 2947987
Kama watu wanafuja kodi na tozo zetu kiasi hiki na hawachukuliwi hatua, kuna haja ya wananchi kuendelea kulipa kodi kwa uaminifu??
Nadhani kila mfanyabiashara atafute mbinu ya kukwepa kulipa kodi.
Wangevuka urefu wa kamba angewaparuraView attachment 2947987
Kama watu wanafuja kodi na tozo zetu kiasi hiki na hawachukuliwi hatua, kuna haja ya wananchi kuendelea kulipa kodi kwa uaminifu??
Nadhani kila mfanyabiashara atafute mbinu ya kukwepa kulipa kodi.
Aisee nilishang sana, badala ya kukemea hili zaidi akasema kinyume kbs na vile CAG amese report eti Masharika yameanza kupata faida, wakati huo ATCL imeripotiwa hasara ya Bil zaid ya 50, TRC, Bandari etc....View attachment 2947987
Kama watu wanafuja kodi na tozo zetu kiasi hiki na hawachukuliwi hatua, kuna haja ya wananchi kuendelea kulipa kodi kwa uaminifu??
Nadhani kila mfanyabiashara atafute mbinu ya kukwepa kulipa kodi.
Typing error tu hiyo mkuu. Na Wala isiwe mjadala. Hebu tuwe serious tunapojadili masuala muhimu.Kudanywa au kusanywa kwenye heading.
Amtumbue mkwe si ataua wajukuu na njaa!View attachment 2947987
View attachment 2948010
Kama watu wanafuja kodi na tozo zetu kiasi hiki na hawachukuliwi hatua, kuna haja ya wananchi kuendelea kulipa kodi kwa uaminifu??
Nadhani kila mfanyabiashara atafute mbinu ya kukwepa kulipa kodi.
Wakati mwingine kuwapa bandari DP world tunamlaumu Samia bure tu. Sasa haya ambayo waafrika tunaendesha yote yanaingiza hasara tu kama ni uongozi wameshabadilisha sana ila tatizo ni lile lile. Ifike mahala serikali iache kufanya biashara na majukumu yake yafanywe na sekta binafsi!View attachment 2947987
View attachment 2948010
Kama watu wanafuja kodi na tozo zetu kiasi hiki na hawachukuliwi hatua, kuna haja ya wananchi kuendelea kulipa kodi kwa uaminifu??
Nadhani kila mfanyabiashara atafute mbinu ya kukwepa kulipa kodi.
Mtoto amenyea kiganja anataka kukataNyoka ameingia chumbani dawa ni kuhama chumba..?
Sema viongozi wakoWAAFRIKA WANA LAANA YA MILELE
We hupendi kulamba asaliAisee nilishang sana, badala ya kukemea hili zaidi akasema kinyume kbs na vile CAG amese report eti Masharika yameanza kupata faida, wakati huo ATCL imeripotiwa hasara ya Bil zaid ya 50, TRC, Bandari etc....
Yaani hata kukemea japo ule upigaji wa waziwazi kule TSA.... dah we have long journey to go!!!
Ni ngumu sana kama mtu ameingia madarakani kwa wizi wa kura kuona wizi unaoendelea eneo lakeView attachment 2947987
View attachment 2948010
Kama watu wanafuja kodi na tozo zetu kiasi hiki na hawachukuliwi hatua, kuna haja ya wananchi kuendelea kulipa kodi kwa uaminifu??
Nadhani kila mfanyabiashara atafute mbinu ya kukwepa kulipa kodi.
Kwanini IKULU isikabidhiwe kwa DPW tu mkuu?Cha ajabu TTCL akipewa "Dp world" utasikia mapovu kibao.... sasa suluhisho ni nini? Watu weusi tunajimaliza kwa ufisadi ila lawama siku zote tunawapa wazungu.