kila sheria ina makusudio yake, lakini inapokuwa inatekelezwa na bado ikashindwa kuzuia kile kinachokusudiwa kuzuiwa, inageuka kuwa upuuzi.Tatizo si tamko la mama Samia, tatizo ni jinsi tamko hilo linavyoweza kuwa blank cheque kwa wapigaji.
Katika manunuzi hata sheria zikifuatwa, bado kuna mianya kwa wapigaji. Lakini kwavile wana akili, siku zote wapigaji hufuata sheria.