Bilioni 11 za Rais Samia zamtetemesha RC Shinyanga, afanya maamuzi magumu

Kwahio umuhimu sio kufanya jambo kwa weledi bali ni kutumia pesa kwa wakati ?
 
Mkuu mpya wa Mkoa wa Shinyanga Bi Sophia Edward Mjema amefanya maamuzi magumu ya kumsimamisha kazi afisa manunuzi mzembe wa Wilaya ya Kishapu Ili kupisha Ujenzi wa madarasa kwa dharula kama ilivyoelekezwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Mkuu huyo wa Mkoa amemshangaa afisa huyo mzembe kwa kuendeleza urasimu kwenye fedha za Rais Samia zinazotaka madarasa yajengwe kila sehemu yanapohitajika kwa dharula ili ifikapo trh 06|01|2022 wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza waanze mwaka wa masomo maramoja kwa pamoja.

Mtakumbuka Rais Samia alitoa Jumla ya madarasa elfu 15 kwa shule za Sekondari na madarasa elfu 3 kwa Shule shikizi za msingi huku akitoa Jumla ya madawati 462,795 sawa na Wastani wa madawati 120 na madarasa 4 katika Kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima yaani mjini na vijijini.

Mkoa wa Shinyanga ulitengewa na kupatiwa Jumla ya TZS 11BL ambazo leo kwa mujibu wa RC watu wazembe wanaziangalia tu kwenye akaunti kama mapambo badala ya kuchangamkia Ujenzi ili ifikapo trh 06|01|2022 ahadi ya Rais Samia kwamba kwenye mwaka wake watoto wote waliochaguliwa kujiunga kidato cha Kwanza wataanza shule tarehe moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022 saa moja kamili asubuhi.

Wakati huohuo Rais Samia Suluhu Hassan tayari ameshapeleka kwenye halmashauri zote 184 nchini Jumla ya TZS 62.4BL kwaajili ya elimu bure, Hivyo watoto hawa anaowapambania leo Bi Sophia Mjema tayari ada yao ilishalipwa,Wazazi|walezi wao watanunua uniform pamoja na madaftari tu,Huyu ndio Samia Suluhu Hassan Rais wa awamu ya Sita na hizi ndio kazi zake.

Huyu dada anapiga kazi nimekubali
 
Mkuu mpya wa Mkoa wa Shinyanga Bi Sophia Edward Mjema amefanya maamuzi magumu ya kumsimamisha kazi afisa manunuzi mzembe wa Wilaya ya Kishapu Ili kupisha Ujenzi wa madarasa kwa dharula kama ilivyoelekezwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Mkuu huyo wa Mkoa amemshangaa afisa huyo mzembe kwa kuendeleza urasimu kwenye fedha za Rais Samia zinazotaka madarasa yajengwe kila sehemu yanapohitajika kwa dharula ili ifikapo trh 06|01|2022 wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza waanze mwaka wa masomo maramoja kwa pamoja.

Mtakumbuka Rais Samia alitoa Jumla ya madarasa elfu 15 kwa shule za Sekondari na madarasa elfu 3 kwa Shule shikizi za msingi huku akitoa Jumla ya madawati 462,795 sawa na Wastani wa madawati 120 na madarasa 4 katika Kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima yaani mjini na vijijini.

Mkoa wa Shinyanga ulitengewa na kupatiwa Jumla ya TZS 11BL ambazo leo kwa mujibu wa RC watu wazembe wanaziangalia tu kwenye akaunti kama mapambo badala ya kuchangamkia Ujenzi ili ifikapo trh 06|01|2022 ahadi ya Rais Samia kwamba kwenye mwaka wake watoto wote waliochaguliwa kujiunga kidato cha Kwanza wataanza shule tarehe moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022 saa moja kamili asubuhi.

Wakati huohuo Rais Samia Suluhu Hassan tayari ameshapeleka kwenye halmashauri zote 184 nchini Jumla ya TZS 62.4BL kwaajili ya elimu bure, Hivyo watoto hawa anaowapambania leo Bi Sophia Mjema tayari ada yao ilishalipwa,Wazazi|walezi wao watanunua uniform pamoja na madaftari tu,Huyu ndio Samia Suluhu Hassan Rais wa awamu ya Sita na hizi ndio kazi zake.

Hongera Sana Mhe RC
 
Naona mheshimiwa Zitto amekurupuka. In short, PPRA walishatoa muongozo wa nmna ya kufanya ugavi kwenye matumizi ya hizo pesa za IMF kulingana na maelekezo ya Rais aliposema wafuate utaratibu wa PPRA.

PPRA waliissue muongozo kwamba wadau wote watumie single sourcing kutokana na muda ambao wamepewa kutekeleza ujenzi ni mfupi sana na wakisema wafuate utaratibu wa kutangaza tenda Sheria inahitaji ufanyike miezi mitatu hapo January itakuwa imefika.

Sasa kama deadline ya ujenzi ni January na ukifata utaratibu by January ndio uwe umepata mjezi hiyo inamaana haujacomply na maelekezo ya Rais. Ndio maana wameelekeza single sourcing.

Sasa huyu mama naona kuna mawili, either hakuwatumia wakuu wa idara zote mikoani kwa taarifa maana hiyo ni taarifa ilienda kwa maofisa wanaotekeleza hayo maelekezo ya Rais, or huyo mtumishi ni mpuuzi alishindwa kujiongeza maana maelekezo yalishatoka namna ya utekelezaji na wenzie huwa wanaandika kwa PPRA kuulizia wafanyaje kama unakutana na mgongano wa maelekezo na utaratibu wa kisheria? Wacha apishe kwanza .
 
Hapana hajakosea utaratibu unless kama amemuadhibu ingali hakuwasambazia huu muongozo wa PPRA.

Muongozo umetoka tarehe 12 October, ,2021 huyo ofisa ugavi anakaa ofisini hajui Kuna kitu kama hiki???

Ndio maana siamini kwamba hawakupata huu waraka wa PPRA, hao watu wa Halmashauri wanakuwaga na shida sana na wameshaona hela basi hapo kila mtu alikuwa anataka alete mjenzi wake mwisho wa siku hela zingeliwa na shule sizingejemgwa wangepigana zengwe kwenye tenda na kupelekana PPAA mpaka balaa.

Uamuzi wa Rais na PPRA upo sahihi sana.
Smart kwa kuvunja utaratibu !!??

IMG-20211109-WA0005.jpg
 

TZS Bilioni 11 za Rais Samia Suluhu zamtetemesha RC Shinyanga Bi Sophia Edward Mjema, afanya maamuzi magumu Kishapu,​

" Hakuna kama Samia "​


Mkuu mpya wa Mkoa wa Shinyanga Bi Sophia Edward Mjema amefanya maamuzi magumu ya kumsimamisha kazi afisa manunuzi mzembe wa Wilaya ya Kishapu Ili kupisha Ujenzi wa madarasa kwa dharula kama ilivyoelekezwa na Rais Samia Suluhu Hassan.
====
Mkuu huyo wa Mkoa amemshangaa afisa huyo mzembe kwa kuendeleza urasimu kwenye fedha za Rais Samia zinazotaka madarasa yajengwe kila sehemu yanapohitajika kwa dharula ili ifikapo trh 06|01|2022 wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza waanze mwaka wa masomo maramoja kwa pamoja.
===
Mtakumbuka Rais Samia alitoa Jumla ya madarasa elfu 15 kwa shule za Sekondari na madarasa elfu 3 kwa Shule shikizi za msingi huku akitoa Jumla ya madawati 462,795 sawa na Wastani wa madawati 120 na madarasa 4 katika Kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima yaani mjini na vijijini.
===
Mkoa wa Shinyanga ulitengewa na kupatiwa Jumla ya TZS 11BL ambazo leo kwa mujibu wa RC watu wazembe wanaziangalia tu kwenye akaunti kama mapambo badala ya kuchangamkia Ujenzi ili ifikapo trh 06|01|2022 ahadi ya Rais Samia kwamba kwenye mwaka wake watoto wote waliochaguliwa kujiunga kidato cha Kwanza wataanza shule tarehe moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022 saa moja kamili asubuhi.
===
Wakati huohuo Rais Samia Suluhu Hassan tayari ameshapeleka kwenye halmashauri zote 184 nchini Jumla ya TZS 62.4BL kwaajili ya elimu bure, Hivyo watoto hawa anaowapambania leo Bi Sophia Mjema tayari ada yao ilishalipwa,Wazazi|walezi wao watanunua uniform pamoja na madaftari tu,Huyu ndio Samia Suluhu Hassan Rais wa awamu ya Sita na hizi ndio kazi zake.

Safi Sana Bi Sophia Mjema, Piga kazi
 
Majibu mazuri sana haya
Naona mheshimiwa Zitto amekurupuka. In short, PPRA walishatoa muongozo wa nmna ya kufanya ugavi kwenye matumizi ya hizo pesa za IMF kulingana na maelekezo ya Rais aliposema wafuate utaratibu wa PPRA.

PPRA waliissue muongozo kwamba wadau wote watumie single sourcing kutokana na muda ambao wamepewa kutekeleza ujenzi ni mfupi sana na wakisema wafuate utaratibu wa kutangaza tenda Sheria inahitaji ufanyike miezi mitatu hapo January itakuwa imefika.

Sasa kama deadline ya ujenzi ni January na ukifata utaratibu by January ndio uwe umepata mjezi hiyo inamaana haujacomply na maelekezo ya Rais. Ndio maana wameelekeza single sourcing.

Sasa huyu mama naona kuna mawili, either hakuwatumia wakuu wa idara zote mikoani kwa taarifa maana hiyo ni taarifa ilienda kwa maofisa wanaotekeleza hayo maelekezo ya Rais, or huyo mtumishi ni mpuuzi alishindwa kujiongeza maana maelekezo yalishatoka namna ya utekelezaji na wenzie huwa wanaandika kwa PPRA kuulizia wafanyaje kama unakutana na mgongano wa maelekezo na utaratibu wa kisheria? Wacha apishe kwanza .
 
Hapana hajakosea utaratibu unless kama amemuadhibu ingali hakuwasambazia huu muongozo wa PPRA.

Muongozo umetoka tarehe 12 October, ,2021 huyo ofisa ugavi anakaa ofisini hajui Kuna kitu kama hiki???

Ndio maana siamini kwamba hawakupata huu waraka wa PPRA, hao watu wa Halmashauri wanakuwaga na shida sana na wameshaona hela basi hapo kila mtu alikuwa anataka alete mjenzi wake mwisho wa siku hela zingeliwa na shule sizingejemgwa wangepigana zengwe kwenye tenda na kupelekana PPAA mpaka balaa.

Uamuzi wa Rais na PPRA upo sahihi sana.


View attachment 2006392
Good indeed
 
Majibu mazuri sana haya
Unajua watu wengi huwa hawapendi kutafuta ukweli inapotokea wanasiasa wanavurugana au wanashutumiana mitandaoni.

Zitto huwa ni mkurupukaji sana kwenye makala zake nyingi tu, naelewa huwa anafanya hayo kwa maslahi yake maana huwa ni mbinafsi sana.

Ukiona Zitto hata kama ameamua kufungua kesi Mahakamani kuhusu Jambo fulani, lazima ukichunguza unakuta ana maslahi fulani, huwa hafanyi Jambo kwa manufaa ya wananchi nae asipate kitu.

Hapo lazima Kuna interest au ana ishu yake. Haiwezekani Zitto hajaona haya maelekezo ya PPRA haiwezekani kabisa Ila amefanya makusudi ili avurige tu na mwananchi mtanzania huwa hajui kutafuta ukweli anaposikia mwanasiasa kabwatuka basi nao hupokea na kuyabeba ti ndio maana hata Magufuli aliwaweza sana.
 
Unajua watu wengi huwa hawapendi kutafuta ukweli inapotokea wanasiasa wanavurugana au wanashutumiana mitandaoni.

Zitto huwa ni mkurupukaji sana kwenye makala zake nyingi tu, naelewa huwa anafanya hayo kwa maslahi yake maana huwa ni mbinafsi sana.

Ukiona Zitto hata kama ameamua kufungua kesi Mahakamani kuhusu Jambo fulani, lazima ukichunguza unakuta ana maslahi fulani, huwa hafanyi Jambo kwa manufaa ya wananchi nae asipate kitu.

Hapo lazima Kuna interest au ana ishu yake. Haiwezekani Zitto hajaona haya maelekezo ya PPRA haiwezekani kabisa Ila amefanya makusudi ili avurige tu na mwananchi mtanzania huwa hajui kutafuta ukweli anaposikia mwanasiasa kabwatuka basi nao hupokea na kuyabeba ti ndio maana hata Magufuli aliwaweza sana.
Kumbe Zitto ndio alivyo aise,
 

TZS Bilioni 11 za Rais Samia Suluhu zamtetemesha RC Shinyanga Bi Sophia Edward Mjema, afanya maamuzi magumu Kishapu,​

" Hakuna kama Samia "​


Mkuu mpya wa Mkoa wa Shinyanga Bi Sophia Edward Mjema amefanya maamuzi magumu ya kumsimamisha kazi afisa manunuzi mzembe wa Wilaya ya Kishapu Ili kupisha Ujenzi wa madarasa kwa dharula kama ilivyoelekezwa na Rais Samia Suluhu Hassan.
====
Mkuu huyo wa Mkoa amemshangaa afisa huyo mzembe kwa kuendeleza urasimu kwenye fedha za Rais Samia zinazotaka madarasa yajengwe kila sehemu yanapohitajika kwa dharula ili ifikapo trh 06|01|2022 wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza waanze mwaka wa masomo maramoja kwa pamoja.
===
Mtakumbuka Rais Samia alitoa Jumla ya madarasa elfu 15 kwa shule za Sekondari na madarasa elfu 3 kwa Shule shikizi za msingi huku akitoa Jumla ya madawati 462,795 sawa na Wastani wa madawati 120 na madarasa 4 katika Kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima yaani mjini na vijijini.
===
Mkoa wa Shinyanga ulitengewa na kupatiwa Jumla ya TZS 11BL ambazo leo kwa mujibu wa RC watu wazembe wanaziangalia tu kwenye akaunti kama mapambo badala ya kuchangamkia Ujenzi ili ifikapo trh 06|01|2022 ahadi ya Rais Samia kwamba kwenye mwaka wake watoto wote waliochaguliwa kujiunga kidato cha Kwanza wataanza shule tarehe moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022 saa moja kamili asubuhi.
===
Wakati huohuo Rais Samia Suluhu Hassan tayari ameshapeleka kwenye halmashauri zote 184 nchini Jumla ya TZS 62.4BL kwaajili ya elimu bure, Hivyo watoto hawa anaowapambania leo Bi Sophia Mjema tayari ada yao ilishalipwa,Wazazi|walezi wao watanunua uniform pamoja na madaftari tu,Huyu ndio Samia Suluhu Hassan Rais wa awamu ya Sita na hizi ndio kazi zake.

Hongera sana kazi nzuri sana hii
 
Unajua watu wengi huwa hawapendi kutafuta ukweli inapotokea wanasiasa wanavurugana au wanashutumiana mitandaoni.

Zitto huwa ni mkurupukaji sana kwenye makala zake nyingi tu, naelewa huwa anafanya hayo kwa maslahi yake maana huwa ni mbinafsi sana.

Ukiona Zitto hata kama ameamua kufungua kesi Mahakamani kuhusu Jambo fulani, lazima ukichunguza unakuta ana maslahi fulani, huwa hafanyi Jambo kwa manufaa ya wananchi nae asipate kitu.

Hapo lazima Kuna interest au ana ishu yake. Haiwezekani Zitto hajaona haya maelekezo ya PPRA haiwezekani kabisa Ila amefanya makusudi ili avurige tu na mwananchi mtanzania huwa hajui kutafuta ukweli anaposikia mwanasiasa kabwatuka basi nao hupokea na kuyabeba ti ndio maana hata Magufuli aliwaweza sana.
Wewe ni mtu wa faida, Asante
 
Back
Top Bottom