Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Watachomoka wasiyo na Godfather tu mbona kina DAB hawakuchomoka?Zito punguza nye ge...
Huyo afisa kaambiwa akae pembeni kwa uzembee...
Atawekwa mwingine.
Ila sijamuelewa kwanini mkurugenzi abaki salama.
Mizengwe ipo kwa wakurugenzi.
Anyway hizi pesa zitachomoka na wengi.