Miradi ya umwagiliaji ya awamu ya sita ni ya ubabaishaji

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Nov 22, 2022
1,689
3,265
Rais wa awamu ya sita aliahidi kuwa ana lengo la kuweka ekari 500,000 chini ya umwagiliaji. Ni mpango mzuri sana. Ila utekelezaji wake ni kichekesho sana. Nasema hivyo sababu wamejikita zaidi kwenye umwagiliaji wa matone na visima.

Umwagiliaji huu hauwezi kutufikisha popote katika kilimo. Nchi haiwi mzalishaji mkubwa wa mazao kwa kilimo cha kumwagilia kwa matone na visima.

Zinakuwa kwa kumwagilia kwa mabwawa na maji ya mito mikubwa. Hicho ni cha gharama ndogo na kinachochukua eneo kubwa zaidi hivyo ni rahisi wananchi wa kawaida kukifanya.

Tuacheni kilimo cha showoff. Tufanye kilimo kama watu wanaojielewa.
 
Suala la mabwawa linakwamishaje umwagiliaji wa matone na visima. mabwawa yanatunza maji msimu mzima hasa wakati wa kiangazi? ushaenda walau mikoa ya kaskazini mathalani Arusha uajionea umwagiliaji wa kutumia maji ya visima? huenda unazungumzia maeneo yenye asili ya jangwa lakini mabwawa hayo hayatunzi maji hasa wakati wa kiangazi. ni vyema ukapanua uwezo wako wa kupambanua na kujenga hoja badala ya kubeza miradi ya kumwagilia kwa kutumia uchimbaji wa visima.
Mfano nenda Monduli angalia mabwawa yaliyochimbwa enzi za Sokoine leo hii yana hali gani?
 
Rais wa awamu ya sita aliahidi kuwa ana lengo la kuweka ekari 500,000 chini ya umwagiliaji. Ni mpango mzuri sana. Ila utekelezaji wake ni kichekesho sana. Nasema hivyo sababu wamejikita zaidi kwenye umwagiliaji wa matone na visima.

Umwagiliaji huu hauwezi kutufikisha popote katika kilimo. Nchi haiwi mzalishaji mkubwa wa mazao kwa kilimo cha kumwagilia kwa matone na visima.

Zinakuwa kwa kumwagilia kwa mabwawa na maji ya mito mikubwa. Hicho ni cha gharama ndogo na kinachochukua eneo kubwa zaidi hivyo ni rahisi wananchi wa kawaida kukifanya.

Tuacheni kilimo cha showoff. Tufanye kilimo kama watu wanaojielewa.
Wanachukua chako mapema wanajichukulia kupitia fursa wazionazo😂
 
Suala la mabwawa linakwamishaje umwagiliaji wa matone na visima. mabwawa yanatunza maji msimu mzima hasa wakati wa kiangazi? ushaenda walau mikoa ya kaskazini mathalani Arusha uajionea umwagiliaji wa kutumia maji ya visima? huenda unazungumzia maeneo yenye asili ya jangwa lakini mabwawa hayo hayatunzi maji hasa wakati wa kiangazi. ni vyema ukapanua uwezo wako wa kupambanua na kujenga hoja badala ya kubeza miradi ya kumwagilia kwa kutumia uchimbaji wa visima.
Mfano nenda Monduli angalia mabwawa yaliyochimbwa enzi za Sokoine leo hii yana hali gani?
Umwagiliaji wa visima na matone unafanywa na watu binafsi kwa yale mazao yenye thamani kubwa. Au sehemu ambazo maji ni ghali. Ndiyo maana kilimo cha hivyo kinafanyika sana nchi kama Israeli. Huwezi taka kuwa mzalishaji mkubwa wa mchele na ngano kwa kunwagilia kwa matone na visima.

Hatuwezi peleka kilimo popote kwa umwagiliaji huo.
 
Back
Top Bottom