Kwanini awamu ya sita haina Waziri machachari?

The Burning Spear

JF-Expert Member
Dec 23, 2011
3,444
8,297
Katika awamu zote zilizopita tulishuhudia mawaziri waliojizolea sifa na kukubalika na wananchi zaidi.

Kiasi ambacho ilifika mahali wakaonekana tishio kwa wakubwa zao. Mfano tu unaweza kuongezea kama nitakuwa nimesahau.

1. Awamu ya kwanza ni waziri mkuu Moringe sokoine.

2. Awamu ya pili sikumbuki sana ila ni huyu Lyatonga Mrema.

3. Awamu ya tatu, Lowasa na Magufuli.

4. Awamu ya 4 ni yule mwamba
Magufuli.

5. Awamu ya Tano Raisi. waziri mkuu na Dkt. Gwajima.

6. Awamu sita wote wana hololoja.

Shida iko wapi mawazri wote kuwa butu awamu hii?
 
Katika awamu zote zilizopita tulishuhudia mawaziri waliojizolea sifa na kukubalika na wananchi zaidi.

Kiasi ambacho ilifika mahali wakaonekana tishio kwa wakubwa zao. Mfano tu unaweza kuongezea kama nitakuwa nimesahau.

1. Awamu ya kwanza ni waziri mkuu Moringe sokoine.

2. Awamu ya pili sikumbuki sana ila ni huyu Lyatonga Mrema.

3. Awamu ya tatu, Lowasa na Magufuli.

4. Awamu ya 4 ni yule mwamba
Magufuli.

5. Awamu ya Tano Raisi. waziri mkuu na Dkt. Gwajima.

6. Awamu sita wote wana hololoja.

Shida iko wapi mawazri wote kuwa butu awamu hii?
 
Katika awamu zote zilizopita tulishuhudia mawaziri waliojizolea sifa na kukubalika na wananchi zaidi.

Kiasi ambacho ilifika mahali wakaonekana tishio kwa wakubwa zao. Mfano tu unaweza kuongezea kama nitakuwa nimesahau.

1. Awamu ya kwanza ni waziri mkuu Moringe sokoine.

2. Awamu ya pili sikumbuki sana ila ni huyu Lyatonga Mrema.

3. Awamu ya tatu, Lowasa na Magufuli.

4. Awamu ya 4 ni yule mwamba
Magufuli.

5. Awamu ya Tano Raisi. waziri mkuu na Dkt. Gwajima.

6. Awamu sita wote wana hololoja.

Shida iko wapi mawazri wote kuwa butu awamu hii?
Mchengerwa.
 
Machachari nini mkuu au kuwa chizi fresh kwenu ndo umachachari
Nasemaje awamu ya sita mawaziri wote wamataga mayai tu hawafanyi kazi zao.

Ndo maana nikataja awamu zote. Kama umachachari wa waziri ni kuswaga watu acha tuswage tu maana toka awamu kwanza tumewaona ila ya sita wanatia aibu
 
Katika awamu zote zilizopita tulishuhudia mawaziri waliojizolea sifa na kukubalika na wananchi zaidi.

Kiasi ambacho ilifika mahali wakaonekana tishio kwa wakubwa zao. Mfano tu unaweza kuongezea kama nitakuwa nimesahau.

1. Awamu ya kwanza ni waziri mkuu Moringe sokoine.

2. Awamu ya pili sikumbuki sana ila ni huyu Lyatonga Mrema.

3. Awamu ya tatu, Lowasa na Magufuli.

4. Awamu ya 4 ni yule mwamba
Magufuli.

5. Awamu ya Tano Raisi. waziri mkuu na Dkt. Gwajima.

6. Awamu sita wote wana hololoja.

Shida iko wapi mawazri wote kuwa butu awamu hii?
Awamu ya sita ni Profesa Mbarawa.
 
Katika awamu zote zilizopita tulishuhudia mawaziri waliojizolea sifa na kukubalika na wananchi zaidi.

Kiasi ambacho ilifika mahali wakaonekana tishio kwa wakubwa zao. Mfano tu unaweza kuongezea kama nitakuwa nimesahau.

1. Awamu ya kwanza ni waziri mkuu Moringe sokoine.

2. Awamu ya pili sikumbuki sana ila ni huyu Lyatonga Mrema.

3. Awamu ya tatu, Lowasa na Magufuli.

4. Awamu ya 4 ni yule mwamba
Magufuli.

5. Awamu ya Tano Raisi. waziri mkuu na Dkt. Gwajima.

6. Awamu sita wote wana hololoja.

Shida iko wapi mawazri wote kuwa butu awamu hii?
Labda wamemsusia kiaina!!
 
Umachachari unatokana na kiranja wao(namba moja)kama ni machachari na mawaziri lazima watapatikana machachari lakini kiranja wao akiwa amalala fofofo na wao watalala hivyohivyo
 
Back
Top Bottom