wanaovaa makoti meupe wote sio madokta,
Wengine ni wauza nyama.
Ff mzee kama anamiaka thelasini ktk ndoa na kama aliolewa na miaka20 inamana ana miaka50.
Ushauri😛unguza majungu na ulee wajukuu zako.
hahahahha...thnx kwa kunianzishia cku yangu kwa kicheko, hawa wamekaa kwenye ndoa mpaka wamefanana sasa khaa! cjui natamani na mie nifikie huko cjui hata, FF hongera sana.....yaani hii mikiki mikiki cjui mmeiwezaje jamani, hebu tupe kauzoefu.
ashadii akiwa on,FF yupo off
Maujanja saplaya!
Sikutegemea kama faizafoxy ni mkubwa kiasi hicho-
anyway-hongera kwa kuweza kustahimili vishindo vya ndoa-hii inanipa moyo kuwa on the other side-you are a good mum,keep it up
<br />
<br />
Kayalambe ya mama ako.
Nani asiyejua maana ya Lmao??
Tena kalicheke tundu la mama yako.
hahahahaha...mie nimesoma mara mbili mbili nikijua Asha kakosea, duu, c mchezo aisee, inahitaji moyo kweli kweli....khaaa....hizi ndoa za cku hizi cjui kama 2tafika huko aisee, unaju nilidhaniaga huyu ni sister duu fulani hivi...damn!
aaaiiseee... kumbe it was good ulichelewa... I am four years old... of coz was married at 18 for two years.... hii ni second...
omg!!!
Notes nachukua zako dada..sidhani kama nitapata mke kama FF kwa kweli (no pun intended!)..naomba Mungu anipe mke mpole na mwelewa kama wewe...hata miaka mia tutadunda tu!!!
kama GT hivi hii sio ile ishu aliosema Muhadhiri ukitaka kuchangiwa kwenye mada wewe mwandike FF au Lizzy au NN....
Kumbe mnajuana halafu mnatuletea za kuleta sio?
Haya basi Hongera FF
jamani kwani FF ndo AshaDii? napata utata kidogo hapa
FaizaFoxy is a one bad mama jamma. She is officially my JF favorite person and I am her number one stan. She so reminds me of Mwafrika wa Kike. Happy everything FaizaFoxy. You are the bestest.
mtm, if u promise this, i will keep this dude for only 30 yrs, and when i get this pearl i will evaluate the next prize b4 i drop him, hahaha!
jokes aside, ff shkamoo auntie! hongera manake kumbe wengi humu wanao eeh... inabidi tuanzishe kale ka-group utupe huu ujuzi,taaluma ya 30th annivessary karibu itakua historia. siku hizi 5 yrs ni ver very big achievement,lol!
<br />
<br />
Kama kawaida yako, kung'ata na kupuliza...damn..inauma!
nampa hongera sana FF ... namtakia kial la heri katika maisha yake ya ndoa ... enzi za kina FF kulikuwa hakuna mambo ya kitchen party ona ndoa zinavyodumu lakini sikuhizi tuna hadi bag party! BIG UP FF
hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh