Al-shabab inatoa vipele tumia bic au gilletNaogopa uchawi
bnaView attachment 689518 ngoja niisafishe kwanza
Wako frustration hao achana nao.Nawaomba sana ndugu zangu haya mambo yaishe.. Post yangu isiwe chanzo cha kutofautiana kiasi hiki... Nachukua jukumu la kuomba radhi kwa kila upande..
Nawaombeni sana
Halafu nimeelezea kwa kifupi sana kulikuwa na matukio mengi ya kushangaza sana. Kwa mfano chooni... Yeye alikuwa na choo na bafu lake na wapangaji vya kwao... Choo chake na bafu lake ni kufuli 24/7Haya maelezo naona kama sinema hivi! Mwenyezi Mungu azidi kuniepusha.
Duh. Mkuu huyo bibi ni nomaHalafu nimeelezea kwa kifupi sana kulikuwa na matukio mengi ya kushangaza sana. Kwa mfano chooni... Yeye alikuwa na choo na bafu lake na wapangaji vya kwao... Choo chake na bafu lake ni kufuli 24/7
Vyoo vyote na mabafu vilikuwa kwa juu kidogo yani kwenda huko ilikuwa lazima upande kama ngazi tatu... Siku moja asubuhi nimetoka kuoga namkuta bibi kwenye ngazi na dish la maji kajifunga kanga chini ya matiti kainama anaoga. . yani ilibidi nimsubiri
Kwa kweli mwananyamala ni kiboko
Mzee mwenzangu itakua tulikua tunaonana pale peace bar enzi izo tukitafuna viroba vya tyson

Uwe tu mwangalifu hao alshabab wacjeongoka na kisimNaogopa uchawi
bnaView attachment 689518 ngoja niisafishe kwanza
Nimeishi mtaa wa RomboHahahaaa mshana umenikumbusha maisha yangu Kibo,.
Siku hiyo nikasema mie mti mkavu auchimbwi dawa
Mama mwenye nyumba na mwanae walinichukia mpaka kesho.
Nilikua nakuta wamechoma mshumaa mlangoni au usiku naona mambo live.
Wakanitimua pale.![]()
Kule makaburini?au kanisani?Nimeishi mtaa wa Rombo
mshana utakuwa mkubwa kinoma.... miaka ya 2000 to 2001 upo unajitegemea ushapanga na chumba .... i bet upo kwenye 35-45 🙁