Bibi Tina wa Mwananyamala

Bibi Tina wa Mwananyamala

Mshana sorry,ulishawah kuishi maeneo ya Mwananyamala Mchangani?
Kwa sababu Bibi Tina unayemtaja anahusishwa na.michezo hii yupo mitaa hiyo ya Gereji Mchangani
Mchangani ya A
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Mwananyamala hatari sana hili eneo. Haujapita mwezi Shetan akamtuma mtu mmoja yupo karb na uwanja wa ccm kwa juu yake ni barabara (kona) ya kwenda makumbusho, bas huyu jamaa anajiita mganga( simtaji jina) eti aniwekee sawa masuala yangu ya biashara na nyota, anadai kawainua watu wengi hapa mjini, ikabid nitinge had kwake kiutafiti. Mazingira tu ya pale nikapata majibu ya maswali kama buku kichwani. Mwananyamala☻☻, save the name
 
Kama wewe ulivyo. Maana sijaona kosa la wewe kutoa povu kiasi hicho, yaani kuguswa kidogo tu unakuwa mkali kama umechukuliwa mke/mchepuko/demu. Jiangalie wewe na jitathmini kuliko kuropoka ujinga hapa. Acha ujinga mpuuzi wewe.
Brother huyu jamaa sijajua kosa langu ni lipi mpaka ameamua kunitukanal. Tena angekuwa na busara matusi ya mwanzo angekaa kimya, maana mimi sijamjibu kwa jazba kama yeye afanyavyo. Ila nimekuelewa, ngoja nimwache aendelee kutukana mpaka atakapo ridhika na kujisikia kuacha.
 
Brother huyu jamaa sijajua kosa langu ni lipi mpaka ameamua kunitukanal. Tena angekuwa na busara matusi ya mwanzo angekaa kimya, maana mimi sijamjibu kwa jazba kama yeye afanyavyo. Ila nimekuelewa, ngoja nimwache aendelee kutukana mpaka atakapo ridhika na kujisikia kuacha.
Asante sana
 
Nawaomba sana ndugu zangu haya mambo yaishe.. Post yangu isiwe chanzo cha kutofautiana kiasi hiki... Nachukua jukumu la kuomba radhi kwa kila upande..
Nawaombeni sana
Nimekuelewa sana kaka. Niwie pia radhi. Anyway, sikua na mood nzuri afu wakati huohuo nikaingia JF nikakutana na thread yako. Wakati nasoma commenta nikakutana na ya huyu bwana niliyemtukana - ame-quote uzi mzima kukujibu sentesi fupi sana. Niligadhabika kwa kuwa hii inatupa shida watumiaji simu na si uungwana pia; zaidi ni suala linakemewa humu kila leo. Ni ndipo hapo hasira za kuvurugwa na mood yngu zikamuishia yeye.
 
Nimekuelewa sana kaka. Niwie pia radhi. Anyway, sikua na mood nzuri afu wakati huohuo nikaingia JF nikakutana na thread yako. Wakati nasoma commenta nikakutana na ya huyu bwana niliyemtukana - ame-quote uzi mzima kukujibu sentesi fupi sana. Niligadhabika kwa kuwa hii inatupa shida watumiaji simu na si uungwana pia; zaidi ni suala linakemewa humu kila leo. Ni ndipo hapo hasira za kuvurugwa na mood yngu zikamuishia yeye.
Basi naomba yaishe tafadhali
 
Back
Top Bottom