Freesociety
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 1,080
- 1,042
[emoji45][emoji45][emoji45][emoji45] Hii kali.Uko Haiti unakwenda kwa mganga na picha ya unaemtaka. Inawekwa kwenye bakuli la maji na maneno yanaanza, unaitwa mpaka unafika sasabunaulizwa shida yako kwake
Ninamda pesa zangu, anaulizwa utazilipa au tukuchukue?
Ninamtaka anioe ni pale pale anatoa jibu kuwa atakuoa
Ninagombania ubunge lakini huyu ndiyo kiwingu unapewa kisu ummalize huku jamaa anakata roho
Ni wachawi sana mkuu, tena mambo ya nuksi mikosi ndiyo mwao. Nina mifano mingi sanaMh! Hebu tiririka kidogo na hawa wajamaica.
Mpuuzi sana huyo bibi.Alimuita demu wangu mvaa pedi[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Ukipata muda utupe hiyo mifano.Ni wachawi sana mkuu, tena mambo ya nuksi mikosi ndiyo mwao. Nina mifano mingi sana
Ni wachawi sana mkuu, tena mambo ya nuksi mikosi ndiyo mwao. Nina mifano mingi sana
Nilipanga chumba cha mama wa ki Jamaica alikuwa anaweza unga mweuipe mlango I mlango wa juUkipata muda utupe hiyo mifano.
shost alipata kazi Monday-Friday, walipata mkaka wa kijamaica ku cover weekends.Watu wa Carrebean hawafai hata kidogo. Wachawi kupindukia. Uliza watanzania wanaoishi US watakwambia vile hawa watu walivyo. Wanaabudu sana miungu
Wahindi number mbovu sanaHahha aisee hatari, mi sijawahi ona kabisa hivi vitu maishani zaidi ya kusikia tu.
Nishawahi kufanya kazi mahali , secretary alikuwa mama mmoja wa kihindi mkorofi sana, yaani tulikuwa tunamnyenyekea kama ye ndo Boss. Kwa ujumla hagusiki, kuna watu kama wa3 hivi walikubaliana wamuendee kwa mtaalamu, walipofika mtaalamu baada ya kupiga tunguli zake aliwajibu, huyu mama muacheni tu maana shughuli yake nzito.... kama 2011 niliondoka ile ofisi ila hadi leo nasikia yule mama yupo, watu wanaondoka wanamuacha, ni rafiki wa maboss wote!
Nilipanga chumba cha mama wa ki Jamaica alikuwa anaweza unga mweuipe mlango I mlango wa ju
shost alipata kazi Monday-Friday, walipata mkaka wa kijamaica ku cover weekends.
Yule kaka aliona pay imetulia, alitaka kumuondoa shost pale. Shost alimualika mama yake. Basi kila siku kichwa kilikuwa kinamuuma ana call sick kazini.
Mama aliporudi nyumbani akaenda kwa wataalamu wa anga na satellite, wakamuambia mwisho mtoto wako ataachishwa kazi. Wale wataalamu walifanya combora mjamsika aliacha kazi mwenyewe.
Hao wanao sema uchawi hauvuki bahari wanadanganyana
Mshana niliishi mahali fulani kulikuwa na Mama mmoja alikuwa anasifika kwa uchawi ila alikuwa akifanya biashara ya Makongoro na ndizi,Nilipenda sana mapishi yake yalikuwa matamu sana, mara nyingi nilikuwa mtu wa kwanza au wa pili kununua biashara yake, kila nilipokuwa nanunua kama mtu wa kwanza alikuwa anafurahi sana, na wakati mwingine unipa nyongeza kibao kibao, hii maana yake nini?Sikuwa namwelewa.Moderator, JamiiForums pls assist kuunganisha hizi part mbili ziwe moja
Nilimfuatilia Maunga lakini Mshana ni zaidi yake, Ni si Muongo kama ulivyomwita, ni moja kati ya watu wakweli sana hapa JF.Wewe ni muongo sana. Ni mtunzi mzuri na unauelewa mpana sana wa mambo. Nakushauri achana na huu utunzi wa kutafuta mashabiki au followers. Tumia vipaji na uelewa wako kuelimisha jamii. Jamii bado inahitaji elimu aliyokuwa anaitoa marehemu Munga Tehenani wa TKmedia. Unao huo uwezo mzee. You are talented and knowledgeable enough.
Nilipogundua ni kweli nilikimwagia mkojo wa janaba na ikawa ndio mwisho wa kukiona pale kile kibakuli
Atakufa amesimama halafu atakufa saa 72Hahha aisee hatari, mi sijawahi ona kabisa hivi vitu maishani zaidi ya kusikia tu.
Nishawahi kufanya kazi mahali , secretary alikuwa mama mmoja wa kihindi mkorofi sana, yaani tulikuwa tunamnyenyekea kama ye ndo Boss. Kwa ujumla hagusiki, kuna watu kama wa3 hivi walikubaliana wamuendee kwa mtaalamu, walipofika mtaalamu baada ya kupiga tunguli zake aliwajibu, huyu mama muacheni tu maana shughuli yake nzito.... kama 2011 niliondoka ile ofisi ila hadi leo nasikia yule mama yupo, watu wanaondoka wanamuacha, ni rafiki wa maboss wote!
Enhe, haya mazito.Atakufa amesimama halafu atakufa saa 72