Muendesha katapila
Member
- Jun 16, 2026
- 23
- 48
Ndugu zangu naombeni ushauri baada ya kuachwa na Khadija mwanamke ninayempenda sana.
Sasa Kuna mwamba mmoja alinipeleka kwa mtaalamu tukafanya mambo, nimelazwa makaburini siku 7 mfulilizo na mtaalamu amekula zaidi ya ml 4 lakini kinachoniuma mpaka sasa inakaribia mwezi sioni majibu yeyote.
Bibie bado ameniblock😭😭, nikimuuliza mtaalamu anasema ntakuwa nimekosea mashariti, nimekosa mbinu. Wakuu na hapa Kazini Saini mchina amenichoka amenisimamisha kazi, na hela zangu zinakaribia kuisha, kibaya zaidi nikienda kazini nashindwa kufanya kazi kichwa kinamfikiria huyu Binti maymivu moyoni,
Nisaidie
Sasa Kuna mwamba mmoja alinipeleka kwa mtaalamu tukafanya mambo, nimelazwa makaburini siku 7 mfulilizo na mtaalamu amekula zaidi ya ml 4 lakini kinachoniuma mpaka sasa inakaribia mwezi sioni majibu yeyote.
Bibie bado ameniblock😭😭, nikimuuliza mtaalamu anasema ntakuwa nimekosea mashariti, nimekosa mbinu. Wakuu na hapa Kazini Saini mchina amenichoka amenisimamisha kazi, na hela zangu zinakaribia kuisha, kibaya zaidi nikienda kazini nashindwa kufanya kazi kichwa kinamfikiria huyu Binti maymivu moyoni,
Nisaidie