Biashara ya ukahaba

Biashara ya ukahaba

Ufinyu wa mawazo, wasipouza nyuchi hawataishi?

Samahani lakini ila nahisi nawe ni mwanamke kama nitakuwa nimekosea niwie radhi. Hivi umewahi kutembelea shemu za starehe zenye wadada wanaofanya biashara hii? Au kama unaishi Dar umewahi kupita usiku mitaa ya Sinza Shekilango road au barabara ya Meeda ukaona mazingira ya kazi ya hawa wadada? Kama hujawahi nakusihi pita uone watu wanavyopata taabu, kusimama barabarani usiku na baridi, plus kukimbizwa na polisi bado kubakwa, kupigwa kuibiwa na kila baya unalolijua. Siamini kama hawa wote wangekuwa na njia mbadala wangependa kuwa pale walipo. Mimi binafsi nimewahi kukaa na mdada mmoja mrembo haswa maeneo ya Maisha club, nikamuuliza amekosa nini kuamua kuishia barabarani. Alinijibu kwa swali moja hadi leo linajirudia kichwani. Aliuliza nini ninachofikiri ambacho yeye hawezi kufkiri? Na kuniambia hakuna binadamu duniani anayechagua taabu wakati kuna raha.
 
Mimi ndio nimepost na kule. Source ni me and myself

leo hii ukimaliza chuoo fulani kupata kazi ni ishu mpaka uwe na wakukushika mkono hao ni wale waliopata bahati ya kusoma akina wale ambao darasa kubwa la 7 ndo alisoma atapaje kazi,mfumo wa nchi zetu haya mamboo ni makubwa sanah na yanakuwa kwa kasi mnoo,hata field nayoo uwe na mtu loohhh waache tu wafanye yaoo

Mmmmh...... ya kwl haya?
 
Hbr ya j2 wadau wote wa jamvi hili?
Hivi ni nini hasa 7bu ya mabinti kuona kuwa kujiuza miili yao ni fursa kiuchumi?
Jambo hili linazagaa kwa kasi sana krb mikoa yote Tanzania. Nini kifanyike kuwanusuru dada zetu hawa?

prostitution, like sugar is also determined by market forces of supply and demand..
No demand, No prostitution.
 
Samahani lakini ila nahisi nawe ni mwanamke kama nitakuwa nimekosea niwie radhi. Hivi umewahi kutembelea shemu za starehe zenye wadada wanaofanya biashara hii? Au kama unaishi Dar umewahi kupita usiku mitaa ya Sinza Shekilango road au barabara ya Meeda ukaona mazingira ya kazi ya hawa wadada? Kama hujawahi nakusihi pita uone watu wanavyopata taabu, kusimama barabarani usiku na baridi, plus kukimbizwa na polisi bado kubakwa, kupigwa kuibiwa na kila baya unalolijua. Siamini kama hawa wote wangekuwa na njia mbadala wangependa kuwa pale walipo. Mimi binafsi nimewahi kukaa na mdada mmoja mrembo haswa maeneo ya Maisha club, nikamuuliza amekosa nini kuamua kuishia barabarani. Alinijibu kwa swali moja hadi leo linajirudia kichwani. Aliuliza nini ninachofikiri ambacho yeye hawezi kufkiri? Na kuniambia hakuna binadamu duniani anayechagua taabu wakati kuna raha.

Hawana lolote ni kutaka kuishi maisha wasio na uwezo nayo ndo maana wanauza nyuchi
hakunaga changu anaesema hana shida, kila mtu ana shida
ndo maisha walochagua hayo
 
Serikali ya CCM ndiyo iliyotufikisha hapa. Suluhisho ni kuifutilia mbali serikali dhaifu ya CCM mwaka 2015.
 
Serikali ya CCM ndiyo iliyotufikisha hapa. Suluhisho ni kuifutilia mbali serikali dhaifu ya CCM mwaka 2015.

Mmmh..... ikosoe, ni sikivu. Itatekeleza
 
Hawana lolote ni kutaka kuishi maisha wasio na uwezo nayo ndo maana wanauza nyuchi
hakunaga changu anaesema hana shida, kila mtu ana shida
ndo maisha walochagua hayo

Maisha wasiyo na uwezo nayo ndio wanayapata kwenye ukahaba? Tema mate chini labda unaongelea hawa wa bongo movie wanaotombesha kwa malaki lakini hawa wa mtaani wanaishi maisha ambayo hata paka wako hayawezi. Wanapanga chumba cha kulipia buku mbili kwa siku wanashinda na njaa mchana usiku wanakula chipsi za buku na maji. Pesa kiasi wanayopata wanaitumia kununulia bangi au unga ili waweze kufanya kazi zao zaidi ya hapo hata wakiugua inabidi wachangishane mia mbili mia mbili wamfikishe mwenzao hospitali. Haya sio maisha ya kuyatamani.
 
Maisha wasiyo na uwezo nayo ndio wanayapata kwenye ukahaba? Tema mate chini labda unaongelea hawa wa bongo movie wanaotombesha kwa malaki lakini hawa wa mtaani wanaishi maisha ambayo hata paka wako hayawezi. Wanapanga chumba cha kulipia buku mbili kwa siku wanashinda na njaa mchana usiku wanakula chipsi za buku na maji. Pesa kiasi wanayopata wanaitumia kununulia bangi au unga ili waweze kufanya kazi zao zaidi ya hapo hata wakiugua inabidi wachangishane mia mbili mia mbili wamfikishe mwenzao hospitali. Haya sio maisha ya kuyatamani.
kwanini wasiuze hata nyanya hadi wakauze uchi?
so kila mwenye shida auze papuchi? Watetee tu Salama
 
Maisha wasiyo na uwezo nayo ndio wanayapata kwenye ukahaba? Tema mate chini labda unaongelea hawa wa bongo movie wanaotombesha kwa malaki lakini hawa wa mtaani wanaishi maisha ambayo hata paka wako hayawezi. Wanapanga chumba cha kulipia buku mbili kwa siku wanashinda na njaa mchana usiku wanakula chipsi za buku na maji. Pesa kiasi wanayopata wanaitumia kununulia bangi au unga ili waweze kufanya kazi zao zaidi ya hapo hata wakiugua inabidi wachangishane mia mbili mia mbili wamfikishe mwenzao hospitali. Haya sio maisha ya kuyatamani.

Inategemeana na uzuri wake,kwa wale walio na mvuto mvuto flani,wanapata kipato cha kuwatosheleza kabisa!!kwa siku anaweza akatembea na watu kama watatu mpaka wanne,kwa bei ya WASTANI wa elfu 25,na hiyo ni kwa maeneo ya sinza na kinondoni,akienda masaki au town kipato kinaongezeka,soo ni bidii yake kama anaweza kwenda golini kila siku,anaingiza hesabu karibu sawa na hesabu ya siku ya Daladala (costa) Sema spending yao nayo sio nzuri,wanamaliza hela kwenye bangi,unga,bia na mavazi.
 
Inategemeana na uzuri wake,kwa wale walio na mvuto mvuto flani,wanapata kipato cha kuwatosheleza kabisa!!kwa siku anaweza akatembea na watu kama watatu mpaka wanne,kwa bei ya WASTANI wa elfu 25,na hiyo ni kwa maeneo ya sinza na kinondoni,akienda masaki au town kipato kinaongezeka,soo ni bidii yake kama anaweza kwenda golini kila siku,anaingiza hesabu karibu sawa na hesabu ya siku ya Daladala (costa) Sema spending yao nayo sio nzuri,wanamaliza hela kwenye bangi,unga,bia na mavazi.

Ka wavuvi, wanajua samaki hawaishi ziwani/baharini
 
kwanini wasiuze hata nyanya hadi wakauze uchi?
so kila mwenye shida auze papuchi? Watetee tu Salama

Hizo nyanya wauzie wapi? Na labda unadhani hawa ni watoto wa binti Shabani wa hapo Magomeni ngoja nikupe scenario moja inayoendana ukweli kuhusu hawa watu. Binti kachukuliwa kwa Kihesa alipokuwa analelewa na bibi yake baada ya wazazi wake kufariki. Kamaliza darasa la saba kakutana na dada dalali wa mahausi geli kampa mchongo kuja Dar kufanya kazi. Kuletwa hapa kauzwa kwenye nyumba ya Evelyn Salt kama mdada wa kazi. Baada kulishwa mabaki ya burger za Morocco kwa miezi minne mtoto kavimba ukizingatia na ugoli baba mwenye nyumba kaanza kumwangalia jicho flani la kiwizi. Mwenye una notice na kwa mbali kawivu kanajitokeza bila kujua unaanza kumchukia na kila baya linakuwa lake. Bahati mbaya siku moja ukiwa unatoka kwenye kitchen party ya shoga yako bila kujua unadondosha cheni uliyonunuliwa na mzee Dubai. Baada ya mwezi unaalikwa tena kwenye girls night out na mashostito ndipo unaanza kusaka cheni yako. Kwa kuwa tayari unachuki na masikini pekee kwenye nyumba yako lawama zinamuangukia yeye ndio mwizi. Unakasirika bila kumshikirisha mumeo unampigia bwana ake na rafiki yako ambaye ni dalali wa mahakama akuletee polisi mmoja umtie adabu huyu mwizi. Bila huruma polisi nao kwa kupewa vielfu kumi wanamkamata binti na kumsweka Keko. Anakaa humo kwa siku kumi na nne ndipo sense zinawarudia polisi wanaona kama hawamtendei haki binti maana hakuna hata jalada la kesi wanamuachia. Akiwa huru binti hajui pakukimbilia wala hana pakuanzia. Sura pekee anayoikumbuka ni ya binti mmoja aliyekutana naye Keko aliyeletwa baada ya kukamatwa na wenzake wakiuuza nyuchi bararani. Binti anamfuata huyu rafiki waliyezoeana naye Keko kwa kuwa wanahistoria zinazofanana. Binti anakribishwa gheto la kwa bibi Nyau na siku tatu za mwanzo anapigwa mihogo na maji ya bure. Siku ya nne anaambiwa nanyeye atoke ajaribu bahati yake, kidogo kidogo binti anakuwa mtalaamu wa masoko hapa mjini. Hivyo ndivyo tunavyozalisha makahaba. ( Japo nimetunga ila matukio kama haya yanafanana na hadithi ya kweli iliwahi kuwekwa humu kama sikosei ilikuwa na video inaitwa uwanja wa fisi something like that)
 
Last edited by a moderator:
Nduka, hbr yako ina ukweli fulani ila sio kwa watu wote
 
Last edited by a moderator:
Inategemeana na uzuri wake,kwa wale walio na mvuto mvuto flani,wanapata kipato cha kuwatosheleza kabisa!!kwa siku anaweza akatembea na watu kama watatu mpaka wanne,kwa bei ya WASTANI wa elfu 25,na hiyo ni kwa maeneo ya sinza na kinondoni,akienda masaki au town kipato kinaongezeka,soo ni bidii yake kama anaweza kwenda golini kila siku,anaingiza hesabu karibu sawa na hesabu ya siku ya Daladala (costa) Sema spending yao nayo sio nzuri,wanamaliza hela kwenye bangi,unga,bia na mavazi.

Na hao unawalipia 25 pia gharama zao zamuendeshaji zipo juu. Pale Sinza utawakuta wameingia ndani pale Ambiance na at least bia mbili kaisha zinunua. Ukimchukua baada ya kumtia lazima arudi kituo cha kazi kwa usafiri mara nyigi bajaji. Hiyo ni wakati wa kazi lakini pia maandalizi yake ni gharama kubwa. Analazimika kujiweka sop sop hivyo hawezi kupanga vile vyumba vya buku mbili, bado mawig ya bei na mitumba yake hafuati Karume bali anavaa za kupointi pale Kijito nyama. Ukijumlisha gharama na faidi unarudi kule kule.
 
Nduka, hbr yako ina ukweli fulani ila sio kwa watu wote

Ndio maana nikatofautisha na wale wa bongo movie wanaotaka kuendesha Evogue wakati wameishia form four failure na hawataki kufanya kazi. Hawa wanasukumwa humo kwa tamaa sio maisha.
 
Back
Top Bottom