Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,138
- 7,398
vyote wewe?
tigo uuze papuchi ununue una kazi
Kwa hili jibu akirudi kweli mwanaume
vyote wewe?
tigo uuze papuchi ununue una kazi
hi case ni ngumu we need God intervention wapewe ushauri na mikopo kuna vngi vinavochangia kujiingza kwenye biashara tusiwalaumu either kuna spiritual forces behind busness yao umaskini unaokithiri hamna ajira wangepewa mikopo na kupewa training ya kujikwamua kiuchumi am sure amna anayependa kuuza mwili wake ni shda
Wengine wanapenda coz unakuta ni boss mahali na jioni yupo club kubwa mawindoni
Pamoja sana mkuuu
Nahisi wakipigwa ban ubakaji utashika hatamu...hivi sasa tunavyoona vyoo/mabafu yetu ya uswazi yana milango ya magunia basi tutalazimika kuweka magrili au waume walazimike waende bafuni na wake zao...
Na hatari pia yaweza kuhamia kwa watoto na mifugo isiyoweza kujitetea.
Tatizo lao ni fedha tuu?
Thats obvious kwani hakuna ambae anapenda kuhaingaika usiku na kila siku kwena kulala na wanaume, na kama wapo hawawezi kuwa kwa kiwango ambacho wamezagaa tanzania na kokote kwingineko duniani
ni dhambi kumnunua binadamu kingono.