Biashara ya ukahaba

Biashara ya ukahaba

Ili biashara ya ukahaba iishe nyie wanaume muache kuwanunua basi.
Hasa wale makahaba wa kiume, wanaoenda kununua makahaba wa kike, acheni hiyo tabia. Kuna magonjwa kibao ya kuambukiza na zaidi ni dhambi kumnunua binadamu kingono.
 
wanaume siku Tusema atuwanunui wala atutaki uduma utaona wataenda kulima au hata kujishugulisha ili wapate kipato lakini tunavyowanunua ndo tunawapa kibuli cha kufanya hiyo Biashara.

Hakika change ni Mimi na Wewe . Pamoja tunaweza
 
nikupenda vitu vya rahisi pasipo kutumia jasho. kazi zipo nyingi kuchoma maindi ukianza na mtaji 10,000 unaanza biashara hulipi kodi tra.

wanaona ni biashara ya kijinga haina faida wameshazoea vitu vya bei ghali.

wanaishia kupata ukimwi. kuharibiwa tigo.

MUNGU AWA GUSE TU MIOYOO YAO WARUDI NJIA ILIO SAHIHI.





SEMA AMEN
 
Ili biashara ya ukahaba iishe nyie wanaume muache kuwanunua basi.
Hasa wale makahaba wa kiume, wanaoenda kununua makahaba wa kike, acheni hiyo tabia. Kuna magonjwa kibao ya kuambukiza na zaidi ni dhambi kumnunua binadamu kingono.

Hii ndio tiba ya kweli dada angu. Mwiba hutokea ulipoingilia
 
Cha kufanya wanaume muache kuzinunua hizo papuchi
hapo soko litakufa....

Hii ndio dawa kuu.... changamoto ni wasiojua kutongoza.... wengine sio wavumilivu wa kalenda na mapozi yenu
 
Ubunifu unahitajika, kila mtu abuni kazi yake halali .... tatizo ni kuhendekeza kuajiriwa (kumfanyia mwenzio kazi na kumsaidia atimize malengo yake).
 
Hbr ya j2 wadau wote wa jamvi hili?
Hivi ni nini hasa 7bu ya mabinti kuona kuwa kujiuza miili yao ni fursa kiuchumi?
Jambo hili linazagaa kwa kasi sana krb mikoa yote Tanzania. Nini kifanyike kuwanusuru dada zetu hawa?

Wanaume wakiacha kuwanunua watacha kujiuza. Nyie wanaume munasababisha yote hayo.
 
tuanzishe taasisi isiyo ya kiserikali ambayo itakuwa inawapatia mikopo mamahaba wote ili wawe wajasiria mali tatizo kubwa hao wadada ni kukosa pesa za kujikim
 
leo hii ukimaliza chuoo fulani kupata kazi ni ishu mpaka uwe na wakukushika mkono hao ni wale waliopata bahati ya kusoma akina wale ambao darasa kubwa la 7 ndo alisoma atapaje kazi,mfumo wa nchi zetu haya mamboo ni makubwa sanah na yanakuwa kwa kasi mnoo,hata field nayoo uwe na mtu loohhh waache tu wafanye yaoo
 
Wanaume wakiacha kuwanunua watacha kujiuza. Nyie wanaume munasababisha yote hayo.

Ni kweli. Ila wanawake mna pozi sana mkifuatwa. Wenzenu wameona fursa na kuitumia. Nanyi mbadilike
 
tuanzishe taasisi isiyo ya kiserikali ambayo itakuwa inawapatia mikopo mamahaba wote ili wawe wajasiria mali tatizo kubwa hao wadada ni kukosa pesa za kujikim

mkopo nao siku hizi umjue mtu lasivohupati mbna taasisi zipo nyngi ila ndo hivo sasa hali tete
 
leo hii ukimaliza chuoo fulani kupata kazi ni ishu mpaka uwe na wakukushika mkono hao ni wale waliopata bahati ya kusoma akina wale ambao darasa kubwa la 7 ndo alisoma atapaje kazi,mfumo wa nchi zetu haya mamboo ni makubwa sanah na yanakuwa kwa kasi mnoo,hata field nayoo uwe na mtu loohhh waache tu wafanye yaoo

Mmmmh...... ya kwl haya?
 
Weka Source ya Habari kwamba ni EATV Facebook.
attachment.php
 
Back
Top Bottom