Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,687
Ili biashara ya ukahaba iishe nyie wanaume muache kuwanunua basi.
Hasa wale makahaba wa kiume, wanaoenda kununua makahaba wa kike, acheni hiyo tabia. Kuna magonjwa kibao ya kuambukiza na zaidi ni dhambi kumnunua binadamu kingono.
Hasa wale makahaba wa kiume, wanaoenda kununua makahaba wa kike, acheni hiyo tabia. Kuna magonjwa kibao ya kuambukiza na zaidi ni dhambi kumnunua binadamu kingono.