MKenya halisi.
Senior Member
- Jan 7, 2014
- 192
- 60
Minaona michipuko ndio imezidi,waume wafanye mgomo wasionekene kabisa hizo sehemu.
Hbr ya j2 wadau wote wa jamvi hili?
Hivi ni nini hasa 7bu ya mabinti kuona kuwa kujiuza miili yao ni fursa kiuchumi?
Jambo hili linazagaa kwa kasi sana krb mikoa yote Tanzania. Nini kifanyike kuwanusuru dada zetu hawa?
kwanini wasiuze hata nyanya hadi wakauze uchi?
so kila mwenye shida auze papuchi? Watetee tu Salama
Lakin yote nawashangaa wanaume wanaonunua makahaba
kwanini wasiuze hata nyanya hadi wakauze uchi?
so kila mwenye shida auze papuchi? Watetee tu Salama
Wewe kuna watu wanaamini bila kuuza papuchi maisha hayaendiTuangalie kwa nini wamefika hapo. Tujiulize kungekuwa na kazi mbadala wangefanya hayo? Najua katika hali ya kawaida hata umwage vipi ajira, hao watakuwepo tu. Lakini wanakuwa sio wengi kama ilivyo sasa.
Elimu muhimu. Serikali itimize wajibu wake watu wapate elimu. Baada ya elimu, ajira. Serikali itengeneze mazingira watu wazalishe ajira. Kiongozi mwenye maono hayo hamna Tanzania. Ndio tatizo letu
This is not proper
Wewe kuna watu wanaamini bila kuuza papuchi maisha hayaendi
wengine wana kazi ila bado wanaziuza, sidhani kama hao vyangudoa hawana kazi za kufanya wanaendekeza tu
vyote wewe?ntanunua yakwako
Biashara ya ukahaba ni kitu gani? Nini maana ya biashara? Kwa nini watu wanafanya biashara?
Wengine husema kujiuza au kuuza miili yao, kimsingi sijaelewa, mtanielewesha.
Biashara ni kubadilishana kitu kwa kitu au kitu kwa fedha.
Soko la wanawake ni lipi? Wanauza nini?
Tujiulize nani mnunuzi? Ananunua nini? Au wanabadilishana nini? Mnunuzi anaitwaje? Na ni wakina nani?
Wakinunua wanaondoka nacho? Wauzaji wanabaki na nini?
Kwa nini mnunuzi atoe fedha? Nani anaye faidika?
Wanaume wanaweza kujiuza kwa staili ya kugawa dozi?
nadhani ni bora wawe wanalipa kodi maana wanatoa huduma muhimu katika jamii na kupata kipato lakini hawalipi kodi.
hii wapi nipite nikajionee mwenyewe,..?Hbr ya j2 wadau wote wa jamvi hili?
Hivi ni nini hasa 7bu ya mabinti kuona kuwa kujiuza miili yao ni fursa kiuchumi?
Jambo hili linazagaa kwa kasi sana krb mikoa yote Tanzania. Nini kifanyike kuwanusuru dada zetu hawa?
Jaribu kutanua tafsiri yako ya biashara, sio kitu kwa fedha tu hata huduma pia inabadilishwa kwa fedha. Makahaba wanauza huduma ya ngono kwa wateja kwao. Na wanachoondoka nacho wateja wao ni kuridhika. Wanaume wanaojiuza mbona wamejaa tele mtaani au unadhani jina LA Maryoo limeanzia wapi?