Biashara ya ukahaba

Biashara ya ukahaba

Natamani dua zako zingekuwa kweli....

kumbe ww kama mm tu dohh pole bwanah pole sanah maana lohh hali mbaya kumbee ,ila ww naskia bmkubwa ndo mkurugenzi BOT maana hujui nn waongea
 
Da kweli kuwepo na vifurushi vya kujiunga kama yatosha,mini kabang

ww ndo uwe raisi wa nchi,utakuwa kama minyi kila kitu ruksa,una shida sanah ww,ev naskia ulisomaga mwambao secondary maana akili zako zmekaa kiumwambao kishenzi
 
kumbe ww kama mm tu dohh pole bwanah pole sanah maana lohh hali mbaya kumbee ,ila ww naskia bmkubwa ndo mkurugenzi BOT maana hujui nn waongea

Najua vyema ila ajira ilee mmmmh..... it more than inhuman.
 
Eti nasikia wengine wanajiuza kutokana na kisirani cha kutendwa vibaya na wapenzi wao so wanakuwa na ile ya "liwalo na liwe",wakati wengine baada ya kuukwaa wanajiuza ili kuusambaza kwa makusudi na wengine kimaumbile hawatosheki na mwanaume mmoja,SIJUI KWELI?
 
nikupenda vitu vya rahisi pasipo kutumia jasho. Kazi zipo nyingi kuchoma maindi ukianza na mtaji 10,000 unaanza biashara hulipi kodi tra.

Wanaona ni biashara ya kijinga haina faida wameshazoea vitu vya bei ghali.

Wanaishia kupata ukimwi. Kuharibiwa tigo.

Mungu awa guse tu mioyoo yao warudi njia ilio sahihi.





Sema amen

amen amen amen.
 
Biashara ikikosa Wateja lazima hiyo biashAra ife.

Hivyo wanaume acheni kuwanunua hao machangudoa.
Watakosa soko na biashara yao itakufa.
 
attachment.php


Kusitiriwa sababu wanawake wengi kuliko wanaume
 
Wapatiwe fursa za ajira zinazolipa na rahisi kuzifanya tofauti na ukahaba
 
Back
Top Bottom