Nimetaja competition sababu as you know wewe ndio unajua ubavu wako, je una nguvu kiasi gani ? na je unaouwezo wa kutoa good quality at a low price kulinganisha na wenzako ?, kwahiyo cha kufanya ni kwa haraka kuangalia bei za wenzako na kuona kama you can do better than them au kama wenyewe na bado ukatoa bei kama yao au chini ya kwao. Kuhusu Tshirts je itakuwa screen printing au Heat transfer, au vyote. Kuhusu ID hapa mara nyingi utategemea Tenders kwahiyo hata kama unayo ofisi lakini inabidi uingie mitaani au wilayani kutafuta tender, pens, teacups and plates hapa unaweza ukapata maharusi kuweka picha zao kwenye sahani etc au ukaongea na kampuni zikakupa matangazo yao ili uyaweke kwenye hizo pen
I hope kwa niliyosema hapo juu umegundua kwamba biashara yako haitegemei sana window shopping kwamba mtu hajui anachotaka katika pitapita zake alafu anaona kitu na kusema haa nakitaka hicho, which means utahitaji kufanya marketing and promotion na wateja wengine unaweza ukawa unawapata kwa kuwafuata maofisini kwao na kuwaonyesha sample (mfano printing kwenye pens) au ukipeleka sample ya printed sahani kwenye mikutano ya harusi, au tshirt printing ukiwatengenezea watu vizuri kwenye misiba au sherehe zao. IDs kazi ikiwa nzuri watu watakujua through word of mouth, na pia unaweza ukapeleka sample zako kwenye secretarial services ambapo utawapa comission kama wakikupatia mauzo.
Conclusively Choice between Dar and Mwanza depends na umahili wako and how big you want to be (can you fight with the big boys?, although you dont have to be big unaweza ukawa Dar lakini bado ukawa unatoa hizi huduma utapata tu, customer base) au Mwanza ambapo competition sio kali kama Dar kwahiyo ukiweza kuoffer better quality at a lower price then its fine, lakini the best scenario unaweza ukawa Dar alafu Mwanza ukawa una agents (watu wenye secretarial services) ukiongea nao ili wawe wanachukua orders na wewe unafanya kazi dar unawatumia alafu unawapa commission.
Kuhusu kupata mtu anayefanya hii biashara akuambia watu ni wachoyo kukwambia, the only way to find out ni wewe kujifanya mteja ili uende from different suppliers na uulizie bei zao na uangalie quality ya kazi zao alafu ufanye comparison na kazi yako, kumbuka kama nilivyosema usiogope kuanza.., start small utajifunza kwa makosa.., na hata kama hauna mashine zote still unaweza ukachukua kazi ukafanya kwa watu wenye mashine..., Nimeona umesema unazo heavy duty machines..., how heavy is heavy.., sababu kama una desktop printer ya kawaida inabidi ujue if it can handle mitikisiko ya kazi isije ikawa ni printer moja alafu katikati ya kazi inaalibika..., Kuhusu Glass and Plates hivi ni rahisi sana kuviuza sababu maharusi watapenda wawe na ukumbusho and its something unique.., kuhusu pens kama quality ni nzuri every company is potential customer unaweza ukaweka majina ya kampuni kwenye hizo pens..., kampuni nyingi zitakupa tender.[/quote]