white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,317
- 13,282
Pool table lenyewe lina katiwa leseni itakuwa hiyo?!!Duuuh.. kuna sheria ina regulate hii Biashara?
Pool table lenyewe lina katiwa leseni itakuwa hiyo?!!Duuuh.. kuna sheria ina regulate hii Biashara?
Mkuu hapo kuna faida kweli kama unafungua jioni??Ndugu zangu,
Ninafanya biashara ya kuchezesha games (ps2, ps3 na ps4) kwa siku za shule nimekuwa nafungua saa 9 jioni, kipindi hiki cha likizohuwa nafungua asubuhi saa 4 lakini muda wa saa 9 kasoro. Askari wakanikamata katika kipindi hiki cha likizo, wanadai muda bado.
Naomba kujua utaratibu ukoje, maana wanafunzi sasa hivi wapo majumbani
Asanteni
Setup ya kibabe sana hii
Picha za mtandaoni mzee unaleta Kwny uhalisia.
Picha za mtandaoni mzee unaleta Kwny uhalisia.
Unaweza kuwa nayo ila nlichomaanisha apo hzo kitu mtaan cjaona labda malls kubwaKwamba huwezi kuwa na centre kama hio?? Dont under rate yourself buddah
Unaweza kuwa nayo ila nlichomaanisha apo hzo kitu mtaan cjaona labda malls kubwa
Ps 3 ukipata eneo zuri ni bora zaidi ya bodaboda......rafiki angu ana PS 3 mbili tu...analaza 15-20 kilasiku siku chache anapata 10-12-13 Hivo biashara ikigoma sana anapata 10 hadi 9 napo ni siku mojamoja sana......Ndugu zangu vipi hii biashara na kununua bodaboda ipi itakuwa na tija naombeni mrejesho wakuu?
Nna mpango niweke ps3 1 na ps2 1 uku weng bado wanatumia ps2 saaan niko pwan ushaur wakuu
Ananikimbia anasema namdharau kisa nampa magoli 10 na nimemruhusu anichagulie timu
Shukran sana kaka.tafuta eneo lemye msongamano tena uswazi uswazi mkuu uweke hizo games....ujue wanaoenda games gan yami mpira, magari, mission ziwepo....
Pia bei yako iwe rafiki