Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 7,814
- 10,838
Donation niongezee Hela ninunue PC kali
Shukran bro.. NotajaribuNi rahisi tu ukishanunua una download kama gb 40 ivi shughuli imeisha.. We ingia online and downoad origin au ea app.. Afu tafuta fifa 23 baada ya apo unatumia visa au mastercard kulipia.... Unaweza kutumia airtel money mastercard au Mpesa Visa
Ps4 needed.Ps3 na Ps4 ukihitaji nicheki
KuchezeshaKUUZA AU KUCHEZESHA ?
Asante mkuuInalipa
Ukipata location nzur inalipaa sanaHabar wakuu naomb kuuliza mwny uzoefu na biashara ya playstation
Sawa kakaUkipata location nzur inalipaa sana
Ninayo mkuu bei 550k lakin uwe ArushaaNatafuta PS 4 used iwe na clean conditions
Fat or slim?? Nipe namba PmNinayo mkuu bei 550k lakin uwe Arushaa
muda wa shule lazima uzingatie ni sehemu ya starehe kama zilivyoviosk vya biaKwani ulipochukua lesen uliambiwa unatakiwa kufungua kuanzia saa 9??
Sio kweli, hizo ni propaganda tu, gemu zinauhitaji mkubwa wa kiakili ili usolve misheni zake mwenye akili iliyoharibika hatowezaMkuu kama wewe ni great thinker usifanye hii biashara, naichukia sana, inafanya watoto wawe wajinga sana, Huu utandawazi unawaathiri sana watoto, make wanatoroka shule na kwenda kucheza hizo game, usiangalie tu pesa, au uweke sheria kwamba masaa ya shule hakuna mtoto kusogea hapo.
Sadio mane mwenyewe sikumuelewa alivo sema games zinapoteza mudaSio kweli, hizo ni propaganda tu, gemu zinauhitaji mkubwa wa kiakili ili usolve misheni zake mwenye akili iliyoharibika hatoweza
Hivi tuseme wale waliokuwa wakicheza gemu ya snake kwenye nokia za tochi walitokwa na akili sio, badala yake inataka upambane ufikie high score zaidi kuliko ulipoishia kwaivo lazima akili itulie kwani kila nyoka anapoongezeka urefu ndio inakuwa taabu sana kumuendesha, hapo huwezi kutokwa na akili bro
😃😃😃😃😃😃😃😃Ondoa utapeli, siku hizi hakuna malipo ya online. We mtu sikujui nikulipe hela chungu mzima halafu hapo hapo nianze kusubiri.
Wewe sema duka lako liko wapi, mtu aje mkubaliane bei aondoke na bidhaa yake.