Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,346
- 10,220
Habari wana-JF! Nipo na 5m ambayo nafikiria kuwekeza kwenye biashara. Nimepitia mawazo mengi ya biashara ila gaming lounge naona ni biashara nzuri kuanza kwa mtaji nilionao.
Faida ya eneo nilipo ni karibu na chuo, kama tunavyojua vyuoni wengi ni vijana ambao kwa % kubwa wanafuatilia mpira wa miguu hivyo huwa na interest ya kucheza video games kama FIFA n.k.
Nimeona ni eneo zuri kuweka biashara hii ila nikaona ni vyema kuja hapa kupata maoni kwa kile ninachokiwaza kutoka kwa watu ambao wameshafanya hiyo biashara au wanaijua. Binafsi nimeshafika gaming lounge nyingi kama gamer tu na siyo kwa lengo la kuijua biashara hiyo.
Kama wazo hili litakuwa ni zuri nafikiria kuanza na PS4 Slim (2), PS5 (1) & HDtv (3). Kwasababu sitatumia UHDtv au 4Ktv naona sitahitaji PS4 Pro ila PS5 ni nzuri ili kuwa na latest console. Baada ya biashara kukaa vizuri ndiyo naweza kuongeza console ya Xbox.
Faida ya eneo nilipo ni karibu na chuo, kama tunavyojua vyuoni wengi ni vijana ambao kwa % kubwa wanafuatilia mpira wa miguu hivyo huwa na interest ya kucheza video games kama FIFA n.k.
Nimeona ni eneo zuri kuweka biashara hii ila nikaona ni vyema kuja hapa kupata maoni kwa kile ninachokiwaza kutoka kwa watu ambao wameshafanya hiyo biashara au wanaijua. Binafsi nimeshafika gaming lounge nyingi kama gamer tu na siyo kwa lengo la kuijua biashara hiyo.
Kama wazo hili litakuwa ni zuri nafikiria kuanza na PS4 Slim (2), PS5 (1) & HDtv (3). Kwasababu sitatumia UHDtv au 4Ktv naona sitahitaji PS4 Pro ila PS5 ni nzuri ili kuwa na latest console. Baada ya biashara kukaa vizuri ndiyo naweza kuongeza console ya Xbox.