ChangamotoHakuna biashara isiyo na changamoto. Weka changamoto zake tujue tunaepuka vipi!
1) usimuweke mtu fanya mwenyewe , ukishindwa muweke ndugu unaye muamini
2) padi kuharibika mara kwa mara na kuangusha padi na hii ukiwa na wateja ambao ni watoto wa primary
3) umeme kukatika katika , hii kama una wateja wengi wa uhakika basi weka generator hauto jut a
4) serikali za mitaa na wazazi baadhi wasio na uelewa but kuna hawa TANZANIA VIDEO ASSOCIATION wanatoa cheti cha uanachama kwa elfu 20 maana waliiomba gaming board Tanzania ile wawaweke upande wao (Tanzania video association) maana hawa wana dili na watu wa vibanda vya computer vya kuban cd na kuingiza nyimbo, mabanda ya mpira nk , sasa sijajua kuwa official leseni za gaming stations tayari maana ili ujirinde na hao serikali za mitaa
Note ni biashara nzuri sna ukipata sehemu nzuri na ukiwa na wateja watu wa zima una fungua ps ya ki faza ps4 mbili tu una piga kazi mwanzo mwisho. Natumai nimekutoa tongo togo