Biashara ya kujiuza haitokaa ikaisha

Biashara ya kujiuza haitokaa ikaisha

Msisahau kuna watu wana fanya hii biashara wakiwa sehemu zao za kazi:
1. Kinadada wauza matunda, nguo maofisini,angalia vaa yao.
2. Mama lishe, aisee hapa wengi wanapona.
3.Wahudumu wa bar, gest house, lodge, hotel.
4.Wauza genge,duka ya rejareja walio ajiliwa na kujiajili. Una anza kwa kuacha acha chenji baadaye unajitwalia.
5.Wanafunzi wa sekondari, chuo, naam hapa ndipo biashara inapopigwa vilivyo.
Yes ni kweli kbsa
 
Weka picha au video kwa faida ya members...


Cc: Mahondaw
Video wameitoa
Screenshot_20240127-191824_1.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom