Biashara ya kujiuza haitokaa ikaisha

Biashara ya kujiuza haitokaa ikaisha

Mkuu umenena niliona Post ya Jamaa kule X formely Twitter anaitwa Martin Maranja Masese, alikuwa anamsagia kunguni Waziri wa Sayansi na Teknolojia kuhusu masuala ya kuzuia kutumia VPN, kumbe huyo Waziri nae kuna Mtandao wa Ngono tena wa Kibongo tena wanaojiuza ni wale Malaya Class A+😂😂😂
Ukiona mtu anapambana na hii biashara ujue akili yake inawaza kujiuza ni ile kusimama barabarani na kusubiri wateja au ile sijui ya wapi wamepanga vyumba vingi vichafu vichafu hivi.

Hapo Class A+ ndipo wanapokula watu wenye heshima zao, hapo ndipo kuna wasomi wazuri tu, achana na hawa watu maarufu ambao tayari hali imeshakuwa mbaya kimwili. Wengine kujiuza ndio kazi yao ya pembeni na wanaifanya kwa usafi, kwa siri na kwa dau kubwa tu!

Hii kujifanya tunapambana na biashara fulani, tunaweza kudhani tunapambana kumbe ndio tunawafumbua macho mabinti wadogo waone kumbe miili yao ni fursa.
 
Ukiona mtu anapambana na hii biashara ujue akili yake inawaza kujiuza ni ile kusimama barabarani na kusubiri wateja au ile sijui ya wapi wamepanga vyumba vingi vichafu vichafu hivi.

Hapo Class A+ ndipo wanapokula watu wenye heshima zao, hapo ndipo kuna wasomi wazuri tu, achana na hawa watu maarufu ambao tayari hali imeshakuwa mbaya kimwili. Wengine kujiuza ndio kazi yao ya pembeni na wanaifanya kwa usafi, kwa siri na kwa dau kubwa tu!

Hii kujifanya tunapambana na biashara fulani, tunaweza kudhani tunapambana kumbe ndio tunawafumbua macho mabinti wadogo waone kumbe miili yao ni fursa.
Kuandika miandishi mikubwa ndo ili iweje?
 
Sasa kama hao kwenye video ndo uwaambie elimu ni ufunguo wa maisha wakati umalaya kwao unalipa ,mtu kwa mwezi anaingiza Hadi 1 million mpaka 3 million unadhani umalaya utaisha kirahisi?

Kwa kifupi biashara ya umalaya haitokaa ije iishe hata tufanye maombi miaka nenda rudi ndo kwanza itazidi kustawi serikalin ijikite na mambo mengine tu na sio kukimbizana na umalaya ambao mtu anatumia mwili wake mwenyewe.
Tuone video
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom