MILL8
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 1,837
- 880
Hebu ntumie pmVideo waliitoaView attachment 2884749
Hebu ntumie pmVideo waliitoaView attachment 2884749
PoaHebu ntumie pm
Nimeipata mkuu
Sio powa mzee.Sana aisee yani Kila Kona wapo
Kutonunua mly sio kupata mke mwema.Yani wanaume walivyo wanafiki wanatetea biashara ya ukahaba, halafu hapo hapo wakikosa wanawake wa kuwaoa wanaanza kulalamika kwamba siku hizi wake wema hakuna, ukiwaambia waache sasa kununua malaya ili kusudi hao wake wema wapatikane sikilizia hayo majibu
Nilivokuwa mtoto nilijua malaya ni watu wabaya
Iv kwann dar madem wanajiuza hata gigy money alisema.Yani DSM mademu wengi sana wanajiuza hatari
Inakuaje uzi mkubwa hivi unavideo moja tu bila link

ndo ilivyopatikana aiseeHehehehe aisee hata hivyo wanawake ni wengi acha wengine wawe MalayaYani wanaume walivyo wanafiki wanatetea biashara ya ukahaba, halafu hapo hapo wakikosa wanawake wa kuwaoa wanaanza kulalamika kwamba siku hizi wake wema hakuna, ukiwaambia waache sasa kununua malaya ili kusudi hao wake wema wapatikane sikilizia hayo majibu
Poa poaNimeipata mkuu
Daa aisee ,ukikaa kwenye mabar ndo utajionea mengi sanaSio powa mzee.
Inatokana na ugumu wa maisha.
Kuna bar naendaga nikiwangalia wale wanawake nachoka mabint,wazee, na mamaa anakufuata anakuambia njoo chumba na flani na elf 5 yako tu jmn.
Yani huku wanataka starehe na maisha safi ,hata hao mastar wengi wanajiuza tuIv kwann dar madem wanajiuza hata gigy money alisema.
Ni kweli kbsa haiwezi kuisha hii biasharaBiashara nzuri iwe na wateja,Sasa mnajaduli kuhusu upande mmoja wa wanawake,vp wateja wao.
Jamii iwakanye Kwanza wateja,na sio poa lawama kuzipeleka Kwa wanawake wakati hapo wanajitahidi waweze kuendesgea maisha.sio wote watapata kuolewa,maana wanaume nao tumekuwa pasua kichwa.
Hivyo biashara ni yatangu enzi na enzi.
Hakuna baya,labda itungwe Sheria na elimu itolewe ili biashara isiwe ya wazi kupitiliza.
Ila kusema kutakuwepo na ukomeshaji wa biashara hiyo sahauni aslani
Sasa mbona mwisho wa siku mnapotaka kuoa mnakuja tena kuwatukana hawa wanawake kwamba hawajitunzi wakati mnaowaharibu ni ninyi wenyeweKutonunua mly sio kupata mke mwema.
Wanaume wengi wananunua mly kutokana na ugumu wa maisha wengi hawana hela ya kutunza mke.
Tuache wengine wangapi wawe malayaHehehehe aisee hata hivyo wanawake ni wengi acha wengine wawe Malaya