Biashara ya kujiuza haitokaa ikaisha

Biashara ya kujiuza haitokaa ikaisha

Sasa kama hao kwenye video ndo uwaambie elimu ni ufunguo wa maisha wakati umalaya kwao unalipa ,mtu kwa mwezi anaingiza Hadi 1 million mpaka 3 million unadhani umalaya utaisha kirahisi?

Kwa kifupi biashara ya umalaya haitokaa ije iishe hata tufanye maombi miaka nenda rudi ndo kwanza itazidi kustawi serikalin ijikite na mambo mengine tu na sio kukimbizana na umalaya ambao mtu anatumia mwili wake mwenyewe.
ukiacha kununua hizo vitu, hiyo biashara itakufa tu mkuu
 
Sisi wapenda Ufundi bora tubaki njia Kuu maana hapo utaishia kutumia gharama lakini demu mwenyewe hana maajabu yeyote Kwa bed.

Ukisha mwaga wazungu unabaki kujutia mpunga ulioutoa kumpata plus hofu ya kwamba sijui hajanipa homa ya Ini n.k

Ukimwi bado upo, Chukueni tahadhari
 
Kuna mzee aliniambia yeye
"Aliupata utajiri dar na akaupoteza utajiri dar"

Akaona ni heri arudi kijijini akalime mahindi
Kuna jamaa alikuja mjin akasema kwa rahaa anazopata hawezi kurudi tena kijijin labda amwagiwe maji ya moto
Kweli jamaa akamwagiwa maji ya moto sasa hivi yupo kijijin anajiuguza baada ya kupata Ukimwi
 
Msisahau kuna watu wana fanya hii biashara wakiwa sehemu zao za kazi:
1. Kinadada wauza matunda, nguo maofisini,angalia vaa yao.
2. Mama lishe, aisee hapa wengi wanapona.
3.Wahudumu wa bar, gest house, lodge, hotel.
4.Wauza genge,duka ya rejareja walio ajiliwa na kujiajili. Una anza kwa kuacha acha chenji baadaye unajitwalia.
5.Wanafunzi wa sekondari, chuo, naam hapa ndipo biashara inapopigwa vilivyo.
 
Umenena vyema,bidhaa isiyokuwa na wateja jaiwezi kuendelea kuwepo sokoni,sisi ndo wanunuzi wakubwa tusidanganyane
Kila mteja ananua ile kitu kupitia njia zake anazopenda yeye mwenyewe, wengine wananunua ile bidha kupitia Mahari na ku sign mkataba wa muda mrefu kidogo, na kuna wengine wao wananunua just for show time only!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom