Hatari jamani...mali safi hii inapatikana wapi
Hatari jamani...mali safi hii inapatikana wapi
Iko bunju hapo ,mechi zote za mapinduzi nimechekia hapo, alafu kaleta wahudumu wapya
Kwa kifupi Kila mtu apambane kivyake ,mtu akitaka kuwa shoga ni at his own riskHata ushoga hautokaa uishe, maana mtu anatumia mwili wake.
Serikali na jamii iachane nalo ifanye mambo mengine.
[emoji16][emoji16]Swala ,Twiga,pundamilia wote wamehamia hapo.
[emoji16][emoji16]Hatari jamani...mali safi hii inapatikana wapi