Biashara ya kujiuza haitokaa ikaisha

Biashara ya kujiuza haitokaa ikaisha

Weka namba zao na price
Haina haja ya namba. Wapo maeneo yote ni ww tu uende ukajichagulie.
Price ni variable na negotiable kutegemeana na chaguo lako la mahali pa kwenda kupata huduma hiyo na duration of stay e.g. ni chap-chap au ni for the whole night n.k. au ni maelewano/negotiable yan kuanzia buku 1, aftatu,...... Ni wewe tu uamue unatakaje. 😵 😵 😵 Haya, kazi kwako.
 
Wanawake wanaojiuza kwa mafungu wengi ni wachafu sana.

Kiukweli kamwe siwezi kuwanunua. Yaani mtu anaingiliwa na wanaume 10 kwa siku na wewe unaunga foleni. Hapana

Hata kama nina nyege hapana. Tuache kujiendekeza
 
Sahv umalaya umeshamiri sana ña wanaume wanahonga Sasa,unakuta mwanaume anampa binti wa miaka 18 mpaka laki 3

Na ndo maana sahv ni ngumu kupata msichana wa kazi za nyumban kwa kimshahara cha 60,000 kwa mwez maana mabinti kwa mwez wakiwa kitaa wanakusanya mpaka 200,000 kwa mwez afu unakuta ni kidemu cha kawaida tu
Sahihi aisee
 
Sahv umalaya umeshamiri sana ña wanaume wanahonga Sasa,unakuta mwanaume anampa binti wa miaka 18 mpaka laki 3

Na ndo maana sahv ni ngumu kupata msichana wa kazi za nyumban kwa kimshahara cha 60,000 kwa mwez maana mabinti kwa mwez wakiwa kitaa wanakusanya mpaka 200,000 kwa mwez afu unakuta ni kidemu cha kawaida tu
Yeah! Ila kikwazo kikubwa mno kwao ni Expiration date. Kwa spidi yao (Ke)wanachakaa haraka mno na kupoteza soko ndani ya muda mfupi sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom