Biashara ya kujiuza haitokaa ikaisha

Biashara ya kujiuza haitokaa ikaisha

Sahv umalaya umeshamiri sana ña wanaume wanahonga Sasa,unakuta mwanaume anampa binti wa miaka 18 mpaka laki 3

Na ndo maana sahv ni ngumu kupata msichana wa kazi za nyumban kwa kimshahara cha 60,000 kwa mwez maana mabinti kwa mwez wakiwa kitaa wanakusanya mpaka 200,000 kwa mwez afu unakuta ni kidemu cha kawaida tu
 
Sasa kama hao kwenye video ndo uwaambie elimu ni ufunguo wa maisha wakati umalaya kwao unalipa ,mtu kwa mwezi anaingiza Hadi 1 million mpaka 3 million unadhani umalaya utaisha kirahisi?

Kwa kifupi biashara ya umalaya haitokaa ije iishe hata tufanye maombi miaka nenda rudi ndo kwanza itazidi kustawi serikalin ijikite na mambo mengine tu na sio kukimbizana na umalaya ambao mtu anatumia mwili wake mwenyewe.
Yule RC wa Kinyalu ameishia wapi
 
Sasa kama hao kwenye video ndo uwaambie elimu ni ufunguo wa maisha wakati umalaya kwao unalipa ,mtu kwa mwezi anaingiza Hadi 1 million mpaka 3 million unadhani umalaya utaisha kirahisi?

Kwa kifupi biashara ya umalaya haitokaa ije iishe hata tufanye maombi miaka nenda rudi ndo kwanza itazidi kustawi serikalin ijikite na mambo mengine tu na sio kukimbizana na umalaya ambao mtu anatumia mwili wake mwenyewe.
Yule RC wa Kinyalu ameishia wapi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom