alishapigwa huyooooLazma atakuwa alishampa lile tunda alafu akajua huyo ndo mme wa kumuoa mtu kasoma rashia,kajua kapata kumbe sio,
Wewe ndo umeongea kila kitu. Kama hakutaperiwa kimapenzi ama pesa sifikirii kama angekuja hapaHawa wamemwagana tu kwa hasira mmoja kwa kuwa ana access na social media anakuja kumchafua,suppose na yeye aanzishe uzi akidai mambo mabaya juu yako nani tumwamini kati yenu?
Wee ni muongo muongo....huko mwanzo ulisema alikuvisha pete huku mbele unasema hukukubaliana. Kaa kimya unajifunua ulivyo muongo.
Huwezi vishwa pete bila kuliwaPete nilivishwa ndani ya wiki moja ya mahusiano ambayo sikuyaelewa maana kumbe tatizo lilikuwa apate njia ya kula hela. Alianza kuomba hela (mfano nataka nilipe Ada ya Dogo ila atm nimeshau home nikopeshe tukirudi nitairudisha, mama anataka hela akalipie kitu flani ila sina hapa nilipie nitakupa kesho). ubahili wangu ndio ulioniokoa
lazm nakadori ana jiugomvii na huyu mvulanaHebu tuambie ulimpendea nini huyu lofa hadi ukampa
kyakyayaaaaa wakina dada
kama mfyaguaji sio?Damn!! Picha Ya Jamaa Na Story "Ake" Haviendani!!! Anyway, Pole Nadhani La Muhimu Ushamjua " Jamaa Yako" In Mtu Wa Aina Gani.
Hebu weka na picha ya room yako tuoneHapo ni Russia kwenye student room ( picha imewekwa facebook kwa kumbukumbu). wewe room yangu haiwezi kuwa huo uchochoro
Duh preta unaona mbali??? HahaaNa hapo ni chumbani kwenu au .....?...
mkuu hicho kiswahili cha wapi?kyakyayaaaaa waki dada
washobokaji.. msiojituma
wapenda mteermko mkomAt NA MBONA HUYU MTOII anafanana n PANYA road....
weka picha tukuonee
Duh kumbe jamaa kakubuhu kuliza watu???Duh poleni sana mliokutwa na mkasa wa Huyu jamaa. Nikiri alikuwa rafiki yangu mkubwa sana tukapotezana alivyoenda rashia bahati nzuri kwangu alivyo rudi (around 2011) aliwaliza washikaji wa karibu yangu ambao wote tulikuwa kundi moja ndio habari nikazipata. From there nikasikia alibuni mtindo wa kuripoti vyuoni as new student aisee aliwaliza vibaya mno na Kama hadi Leo anaendeleza game Ina maana amekusanya vya kutosha.
demu machepele, ndani ya wiki mtu anataka kumvika pete naye anajisogeza. lazima amepigwa hela au k, vinginevyo asingekuja kulia lia hapa.hahahahaha jamani thread inahusu TAPELI lakini naona topic imebadilika imekuwa KATOA AMA HAKUTOA TUNDA ?
Alikula mzigo?kwa wanawake anatumia gia ya ndoa ili kuwaingia kirahisi (alishajiandaa kuniibia alinivika Pete fake ila kwa bahati nzuri hela yangu huwa haitoki kirahisi Hivyo hakuniibia hadi pale nilipotahadharishwa na rafiki aliyetapeliwa naye).
.