cosa nostra
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 1,773
- 1,809
zuma🙂🙂🙂🙂
Kuonekana bunduki na mikono ndo nzuri kuliko kuonekana mtu akiwa full, mtu unaona unacheza Game kabisa wakati ukiona mikono na silaha unajua kitu kama ni uhalisia.Yani gemu yangu bora ya wakati wote mimi ni assassin creed 2. Yani hii gemu napenda kuanzia story yake. Character na miji ipo mingi yani jamaa kasafiri miji takribani mitano tofauti.
Pia tomb raider 2013.
Pia uncheterd nina mpango wa kuzitafuta nimeona trailer zake ni nzuri
Na mortal kombat x.
Kilicho nishinda kwenye gemu za action za kivita character haonekani yani we unaona bunduki tu.
Utanifanya niitafute hiyo Pes Mkuu, niliacha kucheza hiyo kitu tangu Pea 15 kama sikosei, mimi ni FIFA tu ila kwa sasa FIFA sijacheza tangu mwaka jana.ninachokipenda kwenye PES 2017 ni hv..
1. rafu za juu wanaporukia mpira..
2. mchezaji kuweza kuvua shati anaposhinda goli
3. utoaji wa mpira wa kipa ni tofauti na games zilizopita..
4. highlights kuonyeshwa hata HALF TIME
5. sura na taswira za wachezaji.. mfano messi na midevu yake ile..
6. offside line inavyoonekana
7. kuongezwa kwa watangazaji wa mpira
8. graphics za hatari.. hamna mkolezo wa rangi..
Za vita kama zipi uje home na External?!wakuu niweekeni game link za tennis na hizo za vita aisee nimeshindwa kuzipata kabisa natangulizaa shukran
ni target tuHili ni target au unamuona mtu mzima.
Ha ha ha ha ha hii Game ndo imenifanya mimi nijue kucheza Games nyingi za Mission, hawa sio kama Call Of Duty, ukitwangwa risasi kadhaa unakaa chini kweli, hakuna sijui unajificha kisha uhai unarudi unaendelea na mapambano.Hakuna game ngumu km hii ya Igi 1,imekuwa hv kwa kuwa haina option ya kusave ulipofikia ukikosea lzm uanze upya.
Ha ha ha ha ha hii Game ndo imenifanya mimi nijue kucheza Games nyingi za Mission, hawa sio kama Call Of Duty, ukitwangwa risasi kadhaa unakaa chini kweli, hakuna sijui unajificha kisha uhai unarudi unaendelea na mapambano.Hakuna game ngumu km hii ya Igi 1,imekuwa hv kwa kuwa haina option ya kusave ulipofikia ukikosea lzm uanze upya.
Tupe uwezo wake, Rate yake ni ngapi?Kwa Wapenzi wa Pes samatta yu ndani pes 17 ukiwa na patch 5.1
Bando la uhakika lipo Mkuu?Website ipi inapatikana kaka.. naitafuta sana
Mkuu, andaa pesa ununue XBOX 360 hata Used, iko vyema mno kuliko PS2. Nimecheza zote hizo, XBOX uzuri wake Pad unaweza ukazitumia kama wireless na ndani kuna Internal Storage.iv ps 2 ni shingapi na nzuri ni ipi kat ya iliochipiwa na ambayo aijafanyiwa makeke?
Hatari Mkuu, hizi Modern Warfare na Black Ops ni ishu nene.Call of Duty Advance Warfare ni mziki mnene. Ila ina Gb 52. Na lazima uwe na ram yenye Gb kubwa
Una FIFA 17?Pes shida nyingi mpaka uweke mapatch sisi wa fifa tunaenjoy hamna kuweweka mapatch
Ngoja ntafute PC maana nilishaacha kucheza haya mambo.Advanced warfare si nzur kama modern warfare...sijapenda kabisa mazingira yake plus weapons zile...mambo ya kubooth yale...na huo ujinga wakaleta kweny infinite warfare ndio maana wakapigwa bao na battlefield
Ukicheza battlefield huez jutia
nimepata torrent kwenye piratebay mkuu ovagames wana link kibao lakini zimejaa ads na survey forms hata ujaze mara ngapi bado ita reDirect tuu..Ukilipata lete mrejesho.
Truck Simulator ikatae kwenye Core i5? Acha utani Mkuu.Wakali wa magem
Nina PC ya HP i5 nmewekaa gemu la Truck simulator nikilifunguaa linaganda gandaa mpaka linaboa sjajua Tatizo ni Nini Kwenye upande wa PC
Karibu kwenye Call of Duty Mkuu.magemu ya kivita siyapendi ila nataka nitesti hiyo call of duty mana naona linapendwa mno
Mkuu, hii Game unayo?mkuu call of duty yapo mengi sana, nakushauri anza na call of duty black ops 2
Mkuu IGI 2 niliona mizingua tu, ulivyomtaja priboi umenkumbusha mbali, jamaa na tumbo lake kubwaaaa. Mzembe mzembe sana huyu Priboi, hiyo Mission ambayo mnakuwa kwenye train kisha kuna jets zinakuja zinapiga reli halafu train linapinduka Priboi anakera ktk ile Mission, amekaa kizembe zembe mno.Uwanja wa ndege? Level ya ngapi? Au unazungumzia pale airbase kwenye level ya 3? Kama ndo hivyo, medi pack utaipata kule kwenye selo za wafungwa unapomtafuta Priboi ambaye hutampata maana kahamishwa gereza kwahiyo itabidi uibe ndege moja ya kijeshi utoroke utamkuta mbele ya safari akisafirishwa kwa train.
Ukimaliza IGI 1 tafuta IGI 2 tu ambaye humo Jones hana msaada wa Medi Pack.
ndioUna FIFA 17?
Mkuu, unansaidiaje hapo?ndio