Brother wanasema inahitaji 2.4ghz..ndo hivyo mkuu sababu ya quality yake ni kubwa.![]()
Pc yangu ni core i5 2.2ghz itakubali?
Brother wanasema inahitaji 2.4ghz..ndo hivyo mkuu sababu ya quality yake ni kubwa.![]()
Mkuu kama huna adbrocker utapata tabu me mwenyewe mwanzo ilikuwa inanisumbua lakini nivoinistall extention ya advbrocker sikupata tabu tena.nimepata torrent kwenye piratebay mkuu ovagames wana link kibao lakini zimejaa ads na survey forms hata ujaze mara ngapi bado ita reDirect tuu..
Inakubali hiyo me ni core 2 quad na inakubali.Brother wanasema inahitaji 2.4ghz..
Pc yangu ni core i5 2.2ghz itakubali?
upo mkoa ganMkuu, unansaidiaje hapo?
Nipo Dar.upo mkoa gan
Mi nipo domNipo Dar.
Version 1.04.00 Data pack 3.00Wewe pes yako data version yake ni ipi.
Tatizo la fifa wanatubana kwenye specification za mashineUtanifanya niitafute hiyo Pes Mkuu, niliacha kucheza hiyo kitu tangu Pea 15 kama sikosei, mimi ni FIFA tu ila kwa sasa FIFA sijacheza tangu mwaka jana.
Kumbe PES 17 wamekuwa wazur hivyo?
76 na ndio mwenye nyingiTupe uwezo wake, Rate yake ni ngapi?
Brother wanasema inahitaji 2.4ghz..
Pc yangu ni core i5 2
.2ghz itakubali?[/QUOT
E] I think itakubali mkuu ijaribu. graphics card yako inaukubwa gani?
Msaada pakulipa hil game mkuuGTA V yatosha.kama ni vita ipo,magari yapo,mahonda yapo gym ipo,Makanisa yapo, jela ipo,pesa zipo,benki zipo,clubs zipo tabu ya nini?
xbox ni shingapMkuu, andaa pesa ununue XBOX 360 hata Used, iko vyema mno kuliko PS2. Nimecheza zote hizo, XBOX uzuri wake Pad unaweza ukazitumia kama wireless na ndani kuna Internal Storage.
Sijajua hasa ila kuna jamaa yangu huku anachezesha hizi Game za PS na XBOX labda nijaribu kumuulizia bei yake.xbox ni shingap
GTA V Free Download hili hapaMsaada pakulipa hil game mkuu
Free au torrent hiyo?GTA V Free Download hili hapa
freeFree au torrent hiyo?