ngama ze don
Member
- May 2, 2011
- 7
- 0
Me namkumbuka sana ile mbaya nataman arud tena ila ndio hivyo ila hawa waroho subiri cdm tushinde wataisoma jela wote
I think chama you are a little bit out of Tanzaian politics if you had known you would not say this.I advice you to go a little bit deeper into it.
Mimi nitamkumbuka kwa yafuatayo:
Baba Mkapa tutakukumbuka daima
- kudhibiti mfumuko wa bei, aliingia madarakani sukari ikiwa sh. 400 na aliondoka miaka 10 baadaye ikiwa sh.400
- ujenzi wa barabara, dar-mwanza, shinyanga-bukoba, dar -kusini + daraja la mkapa,na nyingine nyingi
- ujenzi wa shule za sekondari kila kata
- mfanya kazi wa serikali aliheshimika
- kimsingi mambo yake yanapimika
- ujenzi wa uwanja wa mpira wa mguu (taifa -dar), nashindwa ni kuelewa ni kwa nini haujaitwa kwa jina lake
Mkapa he did good and bad things so Habari ndio hiyo. we have to move forward as a nation!
Wow ! I did not get your point but lets go to the facts, I beleive other contributors have made crystal clear points. when you say I should dig deeper into it what do you expect me to come out with? Mkapa was not Mr. Clean; he used political machines to protect his political interest otherwise he would be facing corruption charges. Sin is sin in the eyes of God but human beings we use different scale to measure sin. Mkapa hands needs to washed; he didn't put country first when he fight for Kikwete, he knew Kikwete is weak and incompetent and is the only person he would manipulate to hide his filthy hands.
Mkuu tafuta inform online na soma acha uvivu hizo barabara ni fedha zake? Sio wajibu wake wa kuhakikisha nchi ina infrustructure strong, hizo shule alitumia fedha zake? Hiyo bei ya bidhaa unajua inadhibitiwa kutumia nini strategies gani, aliepandisha alikuwa nani na alichukuliwa hatua gani. Acheni uvivu na kuacha kusoma na kusikiliza hawa empty heads wanaoharibu Taifa. Nyie ndio mnafanya hawa jamaa kuwa na vichwa vigumu kama mawe na mashetani.
"Mind is a terrible thing to waste"
Mkuu tafuta inform online na soma acha uvivu hizo barabara ni fedha zake? [Siyo fedha yake ila ubunifu wake. kiongozi anatakiwa aunganishe professionals ili kutoa tangible results-thats what Mkapa did. Sio wajibu wake wa kuhakikisha nchi ina infrustructure strong Ni kweli siyo wajibu wake. isipokuwa wajibu wake ni kuhakikisha resources zilizopo zinatumiwa kiusahihi kupata strong infrastructure-he did so, hizo shule alitumia fedha zake? hakutumia fedha zake ila alifanikiwa kuwashawishi wenye fedha zao kuzitoa kwenye hiyo huduma ya jamii. Hiyo bei ya bidhaa unajua inadhibitiwa kutumia nini strategies gani Kwa sasa si muhimu kujua strategy aliyotumia kudhibiti mfumuko, muhimu ni mafanikio yaliyopatikana, aliepandisha alikuwa nani na alichukuliwa hatua gani anayepandisha ni mtawala maana anayo mamlaka ya kuajili na kufukuza. Acheni uvivu na kuacha kusoma na kusikiliza hawa empty heads wanaoharibu TaifaInawezekana aliharibu, lakini wakati anaharibu watanzania walijua anataka nini [mfano:- baada ya njaa ile ya 1996, aliahidi Hakuna mtanzania atakayekufa njaa katika utawala wake IKAWA HIVO: Mfano:-alisema anataka akumbukwe kwa kukuza uchumi wa nchi uchumi ulikuwa kuliko hivi sasa. ie ndio mnafanya hawa jamaa kuwa na vichwa vigumu kama mawe na mashetaniBinafsi namuunga mkono kuwa kichwa ngumu kwa sababu moja muhimu:- Alisimamia aliyoamini yana manufaa kwa taifa ingawa kuna mengine hapo baadaye yalibainika kuwa si sahihi. Kiongozi lazima uwe result oriented not theorist!!
Kwa watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri wakiona wenzao wanafanya kazi wanachukulia kirahisi na kuona wao wanaweza kufanya vizuri zaidi. Mkapa alikuwa mchapakazi sana na ana uwezo mkubwa sana wa kufanya maamuzi. Kilichotokea wanamtandao wakadhani wao wanauwezo zaidi na wakabeza aliyofanya Ben. leo wako wapi? Angalia deni la taifa, Ben alilipunguza sana na nchi ikawa inakopesheka. leo deni linatisha. Tunarudi kule kwa mwinyi ambapo Tz hatutakopesheka tena.
Ukigundua mamlaka ya raisi ndo utagundua kuwa kumbe tumekuwa na maraisi wanne na kila mmoja amefanya kitu chake. Mkapa alifanya kazi mkubwa. Mbona hata Marekani akina Bush wanalaumiwa tu? Acha ushabiki usiokuwa na maana.
Mkuu tafuta inform online na soma acha uvivu hizo barabara ni fedha zake? [Siyo fedha yake ila ubunifu wake. kiongozi anatakiwa aunganishe professionals ili kutoa tangible results-thats what Mkapa did. Sio wajibu wake wa kuhakikisha nchi ina infrustructure strong Ni kweli siyo wajibu wake. isipokuwa wajibu wake ni kuhakikisha resources zilizopo zinatumiwa kiusahihi kupata strong infrastructure-he did so, hizo shule alitumia fedha zake? hakutumia fedha zake ila alifanikiwa kuwashawishi wenye fedha zao kuzitoa kwenye hiyo huduma ya jamii. Hiyo bei ya bidhaa unajua inadhibitiwa kutumia nini strategies gani Kwa sasa si muhimu kujua strategy aliyotumia kudhibiti mfumuko, muhimu ni mafanikio yaliyopatikana, aliepandisha alikuwa nani na alichukuliwa hatua gani anayepandisha ni mtawala maana anayo mamlaka ya kuajili na kufukuza. Acheni uvivu na kuacha kusoma na kusikiliza hawa empty heads wanaoharibu TaifaInawezekana aliharibu, lakini wakati anaharibu watanzania walijua anataka nini [mfano:- baada ya njaa ile ya 1996, aliahidi Hakuna mtanzania atakayekufa njaa katika utawala wake IKAWA HIVO: Mfano:-alisema anataka akumbukwe kwa kukuza uchumi wa nchi uchumi ulikuwa kuliko hivi sasa. ie ndio mnafanya hawa jamaa kuwa na vichwa vigumu kama mawe na mashetaniBinafsi namuunga mkono kuwa kichwa ngumu kwa sababu moja muhimu:- Alisimamia aliyoamini yana manufaa kwa taifa ingawa kuna mengine hapo baadaye yalibainika kuwa si sahihi. Kiongozi lazima uwe result oriented not theorist!!
Naona upungufu wako unaonekana wazi. Hizo resources na fedha unazizungumzia inaonekana unajua vitu vingi sana jinsi gani ali-raise funds na kupata jinsi ya kujenga infrustructure Tanzania. Hapa naomba ni kubane kwenye koo, tueleze hizo inform na data ulizonazo kwamba alipata fedha za kuchangisha zilitoka wapi na amount gani, kwanini kama alikuwa anafanya kazi kwa nia ya watanzania mbona serikali za ccm haziwashirikishi watanzania kuona nani anatoa kiasi gani na zimetumiaka vipi? Aliwapa madaraka ya kukusanya pesa za nchi na bila kulipoti kwa wananchi ni nani? Kama unaona hizo decisions ni so unique basi tueleze wajibu wake ni nini tena, kwa maana kiongozi ambaye anafanya kazi ya uongozi na to go beyond and above its easy to see those achievements sio lazima kuzitafuta chini ya uvungu. Let me give you an example, former president of Brazil, Lula da Silva entered the office when Brazil was in economic crisis and he left his presidency Brazil is one of the leading economy in the world. You don't have to spend a lot of time to find details, just google Brazil and write Lalu da Silva achievements. Today, Brazil is investing highly in biofuel and biotechnology i.e. all cars in Brazil are mainly use ethanol. Tanzania and most of African countries can't revolutionize their economy? Mimi ngoja ni stay in Mkapa issue maybe this so big for you, do you know Tanzania has sugarcan and other useful agricultural assets to divert from crude oil? Naomba siku nyingine usizungumzie mipango ya kujenga barabara ni achievement kubwa ya kumfanya kiongozi avashwe taji la uongozi bora, ujenzi wa barabara na shule Tanzania ulitakiwa uwe umeshafanyika miaka ishirini au therasini iliyopita sasa hivi tungekuwa tumeshafanya studies za ongezeko la population ya Tanzania, hebu muulize Mkapa kama alishafanya studies zozote kuhusu resources zozote na consumptions za population. Mkapa na hawa wote mafisadi kazi yao ni kutafuta opportunists za kuiba na kujijenga na usifikirie kama wanajali swala la uongozi, may be wewe ni moja ya familia zao na unaumia tukijadili haya. What you need to do is to tell your family the truth that their wrong and revolutionize your family first, jirani yako hana chakula wala maji wewe unakuala pesa za serikali huoni hii ni dhamb. Kitu kingine umekijibu kwa kuchanganyikiwa ni upandishaji wa bei za bidhaa, unadhubutu kusema hatuna haka ya kujua strategy aliotumia, kwanini then unaandika kama huna jibu au umesahau Mkapa na Mkewe na hawa mafisadi ndio wanaongoza biashara za kuingiza bidhaa Tanzania na kuwauzia watanzania. Kama wewe ni mtu unayeingiza biashara na wewe ndio unasimamia systems za customs na kutolipa kodi, unafikiri nani mwenye faida ya wizi hapa maybe wewe labda ni foreigners Tanzania. Hebu tueleze wananchi wangapi wanaweza kupata mikopo ya kuleta na kusambaza bidhaa humu inchini kama sio hawa mafisaidi ndio wanashikilia kila mtandao wa biashara Tanzania. Tanzania itaendelea kupata watu kama Mkapa, Kikwete na Mwinyi kama tukiwa na mawazo na willingness kukubali uzembe wao. How about scandal ya lada, migodi, kujiuzia viwanda kama wao ni ma-investors? Haya ni makosa kidogo na tuyaache na to move on sio, kweli huu ni wazimu...inakuaje Uk wanaweza kuwaadhibu walioliibia Taifa letu wakati sisi tunalala nao majumbani?
BAE pleads guilty to minor accounting offence in Tanzania radar scandal | The Corner House
"Leaders go beyond and above, there is none in ccm and there will be none come from ufisadi family"