Huenda mimi siyo mtanzania kwa vile sintamkumbuka Mkapa kwa lolote jema kama anavyotaka, ila labda kwa mabaya tu. Baya zaidi ya yote lilikuwa lile la kumruruhusu huyu Bulicheka kuwa rais wetu.
Baada ya vyombo vya habari vilivyokuwa vimenunuliwa na genge la mtandao kumsakama sana kwa habari nyingi za kumponda. Mkapa aliwahi sema maneno machache sana kuwa Watanzania tutamkumbuka.
Kwa kweli hali ya nchi iliyopo saizi hakika jamaa tutamkumbuka tu, tutake tusitake. Nchi kila kitu kinaenda hovyo, na wanaonufaika ni wachache waliokuwa vinara wa hilo genge. Hakika sipati picha itakapofika 2014 hali itakuwaje. Saizi hela haina thamani kabisa, naamini soon BOT itaprint note zingine za elfu 20 na elfu 50. Ki ukweli buku 10 haina thamani tena. Ukishachenji imeisha.
Nchi huwa haiongozwi kwa blabla bali inahitaji commitment ya hali ya juu sana.
Kila la kheri.....
Baada ya vyombo vya habari vilivyokuwa vimenunuliwa na genge la mtandao kumsakama sana kwa habari nyingi za kumponda. Mkapa aliwahi sema maneno machache sana kuwa Watanzania tutamkumbuka.
Kwa kweli hali ya nchi iliyopo saizi hakika jamaa tutamkumbuka tu, tutake tusitake. Nchi kila kitu kinaenda hovyo, na wanaonufaika ni wachache waliokuwa vinara wa hilo genge. Hakika sipati picha itakapofika 2014 hali itakuwaje. Saizi hela haina thamani kabisa, naamini soon BOT itaprint note zingine za elfu 20 na elfu 50. Ki ukweli buku 10 haina thamani tena. Ukishachenji imeisha.
Nchi huwa haiongozwi kwa blabla bali inahitaji commitment ya hali ya juu sana.
Kila la kheri.....
FOR sure President Benjamin Mkapa wa an intelligent person, more focused, pragmatic and with clear vision.During his leadership the national economy prospered, he controled economic shocks such as inflation.And above all, President Mkapa maintained a highest level of discpline within his party.Nowadays things are falling apart in every aspect of life, poor eduation quality, skyrocketing commodity prices, rampant corruption and indiscipline within the state machinery.Kwa kweli tuna kila sababu ya kumkumbuka Mkapa.
Hata Mwinyi nae alitamka maneno hayo-hayo wakati anazunguka nchi nzima kuaga wananchi kuwa 'MTANIKUMBUKA'.
Baada ya vyombo vya habari vilivyokuwa vimenunuliwa na genge la mtandao kumsakama sana kwa habari nyingi za kumponda. Mkapa aliwahi sema maneno machache sana kuwa Watanzania tutamkumbuka.
Kwa kweli hali ya nchi iliyopo saizi hakika jamaa tutamkumbuka tu, tutake tusitake. Nchi kila kitu kinaenda hovyo, na wanaonufaika ni wachache waliokuwa vinara wa hilo genge. Hakika sipati picha itakapofika 2014 hali itakuwaje. Saizi hela haina thamani kabisa, naamini soon BOT itaprint note zingine za elfu 20 na elfu 50. Ki ukweli buku 10 haina thamani tena. Ukishachenji imeisha.
Nchi huwa haiongozwi kwa blabla bali inahitaji commitment ya hali ya juu sana.
Kila la kheri.....
Akumbukwe kwa nini naye huyo? Kuna tofauti gani ya maisha baina ya utawala wake na ule wa Mwinyi na Kikwete? Rumba bado ni kali tu na Tanzania hatujawahi kuwa na ahueni ya maisha hata siku moja. Na hapo wala sijagusia mambo mengine .
Huenda mimi siyo mtanzania kwa vile sintamkumbuka Mkapa kwa lolote jema kama anavyotaka, ila labda kwa mabaya tu. Baya zaidi ya yote lilikuwa lile la kumruruhusu huyu Bulicheka kuwa rais wetu.
I think chama you are a little bit out of Tanzaian politics if you had known you would not say this.I advice you to go a little bit deeper into it.You have just exposed one side of him, however Mkapa is the same man who engineered and campaingned for Kikwete, Tanzanians are suffering because of his political machines, we all know that Kikwete was no match to Malecela and company but because of his ruthless and arrogant tactics Mkapa stole the show and put his right hand man Kikwete for sure we will remember him .
God Bless Tanganyika
Chama Gongo la Mboto DSM
Baada ya vyombo vya habari vilivyokuwa vimenunuliwa na genge la mtandao kumsakama sana kwa habari nyingi za kumponda. Mkapa aliwahi sema maneno machache sana kuwa Watanzania tutamkumbuka.
Kwa kweli hali ya nchi iliyopo saizi hakika jamaa tutamkumbuka tu, tutake tusitake. Nchi kila kitu kinaenda hovyo, na wanaonufaika ni wachache waliokuwa vinara wa hilo genge. Hakika sipati picha itakapofika 2014 hali itakuwaje. Saizi hela haina thamani kabisa, naamini soon BOT itaprint note zingine za elfu 20 na elfu 50. Ki ukweli buku 10 haina thamani tena. Ukishachenji imeisha.
Nchi huwa haiongozwi kwa blabla bali inahitaji commitment ya hali ya juu sana.
Kila la kheri.....
You have just exposed one side of him, however Mkapa is the same man who engineered and campaingned for Kikwete, Tanzanians are suffering because of his political machines, we all know that Kikwete was no match to Malecela and company but because of his ruthless and arrogant tactics Mkapa stole the show and put his right hand man Kikwete for sure we will remember him .
God Bless Tanganyika
Chama Gongo la Mboto DSM