Benjamin Mkapa: Watanzania mtanikumbuka

I think watamkumbuka mafisadi wenzake kwani aliwasaidia kuwa mabilione kwa speed ya rocket bila kutumia jasho kwakujimilikisha vitega uchumi vyote vya taifa letu. Sisi tupo katika kulijenga taifa letu tuna imani tunaweza na hatuna haja ya kumkumbuka mtu yeyote baada ya kuwaondoa hawa mamluki tutaanza kazi ya kuileta Tanzania tunayoipenda sote kila mtu akiwa na nafasi ya kuipaka rangi kwa kipaji chake ili iweze kuzidi kuwa mrembo na kuwa fahari yetu sisi watoto wake.
 
Mungu akulinde na akuöngoze mzee Mkapa binafsi nakupenda na nitaendelea kukupenda ulikuwa good president.

Urais wa Mkapa ulianza kuingia dosari pale rafiki yake balozi Ruhinda alipoingia mkenge wa kufanya urafiki na Rostam Aziz ambae alikuwa anatafuta upenyo wa kuwa karibu na Rais. Alipofanikiwa kupelekwa kuwa karibu na Mkapa na wakati Mkapa akiwa nje ya nchi kwa matibabu hapo ndio huyu burushi alipofanya hayo madudu yake ya Kagoda etc!! Kama huyu Ruhinda asingefanya huo ukuwadi wa kumpeleka RA karibu na Mkapa haya madudu yasingefanikiwa. Inasemekana huyo Ruhinda ni mahututi kwa maradhi na yuko kitandani hajiwezi hivyo kwa kuiingiza nchi yetu katika matatizo makubwa nadhani Mungu anamuadhibu hapa hapa duniani ili hata hizo hela walizoiba asizifaidi!!
 
Ndiyo, tutamkumbuka kwa jinsi alivyofisadi nchi yetu na kuwawezesha mafisadi wenzake kuendeleza libeneke. Ni Mkapa huyu huyu aliyekuwa akiapa kila kukicha kuwa "over my dead body," kuhusu Kikwete kuukwaa urais. Sasa atueleze ilikuwakuwaje?

Asante Jasusi umenena tutamkumbuka kwa kutuingiza mkenge na madili ya ufisadi tunayoumia mpaka sasa..... . Pia tutamkumbuka kwa jinsi alivyouza mashirika yetu ya umma kama njugu halafu hela yake isionekane mpaka leo. Ama kweli tutamkumbuka sana tu.
 
Huyu mzee pamoja na tuhuma zote bado namkubali kwa utendaji wake wala huwezi kumlinganisha na hawa playboys na playgirls tulonao kwasasa!


Hapo mkuu umenena huyo mzee wengi tunamkubali huwezi linganisha na hii vuvuzela!! Yaani mimi nashindwa kuelewa huyu jamaa amesoma uchumi gani huo? Au anatudanganya jamaa naye ni Kihiyo?
 
Kifupi ben was a good president however he had som few weakness on some issues,

but now we have big blander and shame to our children they will ask on this.
 
Mimi namkumbuka President Mkapa kwa kurudisha heshima ya watanyakazi Mungu ambariki natuzidi kuomba Mwenyezi Mungu atupatie Rais mchapa kama yeye.
 
Miafrika Ndivyo Tulivyo BY NYANI
HAPA NDO NAMKUMBUKA JAMAA HUYU
 
Big Ben was n still is the greatest Leader of all time compared na hawa majizi wa sasa
 
Ni kweli Mh.B.W.Mkapa hatasaulika kamwa kwakuwa maovu yote yanayohadhiri uchumi wa nchi hii yalianzia katika enzi zake za utawala, hii ikiwa ni pamoja na rushwa kubwa; uuzaji wa mashirika ya umma kwa bei ya kutupwa; uuzaji wa nyumba za serikali kwa bei chee; uporaji wa rasilimali za taifa kama magogo madini, minofu ya samaki na wanyama pori. aidha ni katika enzi za Mkapa ambapo ulianzishwa mfumo wa mgawanyo wa pato la taifa wenye kutoa upendeleo maalum kwa tabaka dogo la wananchi na kuwaacha walio wengi kudidimia katika lindi la umasikini.
 
Ndiyo, tutamkumbuka kwa jinsi alivyofisadi nchi yetu na kuwawezesha mafisadi wenzake kuendeleza libeneke. Ni Mkapa huyu huyu aliyekuwa akiapa kila kukicha kuwa "over my dead body," kuhusu Kikwete kuukwaa urais. Sasa atueleze ilikuwakuwaje?

Maybe he died...or he is living post humously
 
mi naona kukumbuka kitu au mtu sio issue, mbona hata maharage ya shuleni huwa tunayakumbuka?

ajisafishe kwanza na tuhuma za ufisadi zinazomkabili ndiyo apewe heshima anayostahili
 
Ninachoweza kusema ni kwamba Mkapa alikuwa shujaa. Watanzania hatutakuja msahau kamwe.
 
Ben na mkubali sana hata kama alikuwa na maovu yake ktk nchi hii ali2mia akili sana. Kwan effect zake hazikuoneka saaana ukifananisha na awamu hii
 
Ndiyo, tutamkumbuka kwa jinsi alivyofisadi nchi yetu na kuwawezesha mafisadi wenzake kuendeleza libeneke. Ni Mkapa huyu huyu aliyekuwa akiapa kila kukicha kuwa "over my dead body," kuhusu Kikwete kuukwaa urais. Sasa atueleze ilikuwakuwaje?
Aliambiwa hivi Malaika kasema........, na TISS wapo chini ya Malai........, hivyo nchi itayumba endapo hata mpitisha!!
 
Hata JK awe ametenda mabaya kiasi gani, mabaya yake hayawezi kuhalalisha maovu ya msingi ya MKAPA
Mkapa ndiye aliyeutangazia ulimwengu kuwa "MITANZANIA MIVIVU" hata wabotswana walipotutetea kuwa tunaijenga nchi yao,
Kwa imani yake hiyo hakuamini katika utu wa mtanzania hivyo hakuamini kama TANZANIA ni nchi inayostahili kujitegemea akasema "......hatuishi kisiwani"..
Katika mjadala wa kuijenga Tanzania bora, kama taifa lenye hadhi ya watu wanaosimamia mambo yao, taifa lenye kujitegemea.... si Mkapa , si Mwinyi wala Kikwete aliyeweka msingi wowote sanasana wamekuwa busy kila mtu kwa nafasi yake kumomonyoa misingi aliyoijenga Mwalimu Nyerere (sijasema Mwalimu hakuwa na mapungufu)
 
Baada ya vyombo vya habari vilivyokuwa vimenunuliwa na genge la mtandao kumsakama sana kwa habari nyingi za kumponda. Mkapa aliwahi sema maneno machache sana kuwa Watanzania tutamkumbuka. Kwa kweli hali ya nchi iliyopo saizi hakika jamaa tutamkumbuka tu, tutake tusitake. Nchi kila kitu kinaenda hovyo, na wanaonufaika ni wachache waliokuwa vinara wa hilo genge. Hakika sipati picha itakapofika 2014 hali itakuwaje. Saizi hela haina thamani kabisa, naamini soon BOT itaprint note zingine za elfu 20 na elfu 50. Ki ukweli buku 10 haina thamani tena. Ukishachenji imeisha.

Nchi huwa haiongozwi kwa blabla bali inahitaji commitment ya hali ya juu sana.

Kila la kheri.....

Sisi hatotomsahau kwa kutuletea majeshi kutuua na kufanya vitendo vyengine vya kinyama.

Ndio tutamkumbuka huyu mtu, sana tu
 
Mkapa aliharibu sana baada ya baba wa Taifa kufariki. Huyu jamaa kama angekuwa na msimamo uleule basi nina hakika angetupeleka mbele kama si ombwe la watch dog kutokea baada ya kifo cha nyerere. Ikawa kama vile kipofu kaona mwezi. Tunaweza kumbuka Mkapa kwa kumlinganisha na JK. Kwenye comperative and superative tunaweza sema Mkapa ni worse president but Kikwete is a worst President Tanzania have ever had. Ukiangalia ndani ya miaka mitato tu ya uongozi ameongeza deni la Taifa kwa more than $4Billion to More than $10billion from $6Billion left by Mkapa after 10 years in office. Yaani JK amekuwa extravagant na kundi lake la mtandao utafikiri mchwa wamekabidhiwa ghala la nafaka.

Dar es Salaam - Tanzania's total national debt stock has reached $10.8 billion (Sh15 trillion), and experts caution about a possible debt crisis.
The debt increased by about $4 billion in four years between 2007 and 2010 from $6.1 billion in June 2007 to $10.2 billion in June 2010, according to the Bank of Tanzania. By October 2010 it stood at $10.8 billion.
The BoT says 84 per cent of the total debt stock was owed to the government and public corporations. This is equivalent to $9.1 billion (Sh12.7 trillion). The remaining 16 per cent ($1.7 billion) was owed to the private sector.
The debt owed to the government is more than the Sh11.6 trillion allocated for the national budget in the financial year 2010/11. It also means that every Tanzania was owed about $214 (Sh375,000).
Reacting to the rising debt trend, experts said if the country kept borrowing at the current rate it risked falling into a debt crisis as happened in some Eurozone countries such as Greece.
"Despite some possible justifications, having a debt higher than revenue means living beyond the means. This could pose a problem to the economy in future, especially if it keeps increasing," Prof Humphrey Moshi, an economics lecturer at the University of Dar es Salaam, said.
Dr Honest Ngowi, a lecturer at Mzumbe Univerity's Dar es Salaam Business School, was concerned that the rising debt was not supported by rising revenues from various government sources.
This could increase the country's risk level and affect its creditworthiness. "What worries me is that taxpayers are the ones who suffer the consequences of such a big debt. The government must make sure that it controls the debt otherwise the country could follow in the footsteps of Greece and become bankrupt," Dr Ngowi said.
He noted that there is a high need for a credit auditing agency to control the country's debt. Prof Marjorie Mbilinyi of the Tanzania Gender Networking Programme (TGNP) said there was a need to question the cause of the debt.
"One major explanation of high debt is the inflated size of the government and the inflated budget that goes along with it; and the kind of expenditures that this government makes, often in conflict with the priorities of the majority of Tanzanians, and marginalised women in particular," she said.
She added that after the October elections, the newly elected President had the opportunity with his advisors to take immediate measures to reduce the size of the Cabinet, as many activists and other concerned citizens continually recommended during the first five years of his leadership
Tanzania received debt relief amounting to $3 billion in 2001 thorough the Heavily Indebted Poor Countries (HIPC) Initiative
Coupled with improved revenue collections and reduced government expenditure the total debt stock decreased from $10 billion in 2006 to $6 billion in 2007. But as revenue started falling due to the power crisis of 2006 the debt stock started increasing from $7.5 billion in 2008 to the current levels.
The Research and Poverty Alleviation (Repoa) executive director, Prof Samuel Wangwe, said the ballooning debt was excusable if the money was spent wisely.
"The issue here is how the money is being used. If the debt is being used effectively in development projects and if the economy keeps growing then there is no problem," Prof Wangwe said.
He said had the economy been posting negative growth, while the debt keeps increasing then that would have been a cause for alarm.
But Prof Ibrahim Lipumba, a seasoned economist and chairman of the Civic United Front (CUF), said the Tanzanian government was still unable to prudently and sustainably manage public funds. And this makes the government's high borrowing a problem.
"I am concerned that despite the big debt the government still want to float a Eurobond to borrow a further $1.5 billion. This will put the country in a difficult situation," said Prof Lipumba.
The acting secretary-general of the Trade Union Congress of Tanzania (Tucta), Mr Nicholas Mgaya, said it was disheartening that the government currently borrows at the rate of 40 per cent of its budget annually but also misappropriate public funds at the rate of 30 per cent annually as indicated by the controller and auditor general (CAG) reports.
"The government debt will continue to increase because of poor fund management," said Mr Mgaya.

Source: http://allafrica.com/stories/201101270183.html
 
Naye alikuwa na makosa yake,hasa uwekezaji na uuzaji wa mashirika ya umma kwa bei chee,na uwizi wa mali ya umma kwa kutumia nguvu za chama na wafanyabiashara uchwara hasa katika kipindi cha pili ,Lakini ana uwezo mara 100 kuliko wa sasa
 
Pamoja ma mapungufu yake mzee Mkapa lakini inchi ilikuwa pazuri kuliko ilivyo sasa,he is much better kwani inchi ilikuwa na displine ya hali ya juu,leo bei ya sembe na sukari bado iko juu mbali ya mkuu wa kaya kutoa tamko vishuke,then what is this?,sasa hivi kila mtu anatoa matamko na haya fanyiki yanayoogizwa!!
 
Back
Top Bottom