I think watamkumbuka mafisadi wenzake kwani aliwasaidia kuwa mabilione kwa speed ya rocket bila kutumia jasho kwakujimilikisha vitega uchumi vyote vya taifa letu. Sisi tupo katika kulijenga taifa letu tuna imani tunaweza na hatuna haja ya kumkumbuka mtu yeyote baada ya kuwaondoa hawa mamluki tutaanza kazi ya kuileta Tanzania tunayoipenda sote kila mtu akiwa na nafasi ya kuipaka rangi kwa kipaji chake ili iweze kuzidi kuwa mrembo na kuwa fahari yetu sisi watoto wake.