Maganda ya Risasi hayajaokotwa eneo la tukio?
Kiukweli PRADO siyo gari salama yaani kupoteza uelekeo ni haraka sana, mimi hii gari huwa sipendi kabisa kuendesha
Poleni sana.
Chuki za namna hii ni za ukada tu wa chama au na mambo binafsi? Kwa sababu najua kwenye siasa hicho kinachogombewa kikimalizika watu huanza tena kuchekeana. Lakini ikifikia mtu kutaka mwenzake afe au kumwua, basi huyo tena ana roho nyingine. Laiti watu wangejua kuna maisha baada ya haya iwe ni motoni au mbinguni.
Kumbe kunasiku huwa unaukarimu!Poleni sana majeruhi. Mungu awape faraja.