BIGURUBE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 6,748
- 4,258
Kha! Amalizwe kwani yeye nani kwwnye nchi hii.
Sent from
Ushabiki wa aina hii alikuwa nao Mwiguli Nchemba ila kwa sasa naona anaelekea kupevuka kisiasa
Kha! Amalizwe kwani yeye nani kwwnye nchi hii.
Sent from
Ushabiki wa aina hii alikuwa nao Mwiguli Nchemba ila kwa sasa naona anaelekea kupevuka kisiasa
Hii Gari mbona ni hiace? Huyu aliyeweka hii picha kaitoa wapi
Pole sana Kamanda Ben Saanane hakika Mungu ana makusudi yake,R.I.P makamanda wetu hakika pengo lenu ni kubwa mno,inauma!!
RIP Faith and Allan
Bora wewe umeona hata hiyo Hiace.wengine hatuoni picha yoyote sijui itakuwa imenyofolewa?!
laughing out loud...usiandike vitu usivyovielewa vizuri.
Habari tulizopata muda huu ni kuwa Ben Saanane amepata ajali mbaya eneo la Maili moja Kibaha wakielekea Rombo Kilimanjaro kwa ajili ya kampeni pamoja na Marafiki zake wawili.
Gari inayomilikiwa na Allan Meshili aina ya Prado T377ACG iligongwa na gari nyingine na kupoteza mwelekeo kisha ikavaana uso kwa uso na gari ya aina ya scania ya mafuta.
Kuna watu wapo eneo la tukio watatutumia taarifa zaidi
===================
JamiiForums imethibitisha kutokea kwa ajali hii, Ben yupo salama lakini Patrick anadaiwa kuwa katika hali mbaya sana.
Taarifa zaidi zitafuatia