Ooooh my Comred!!!!
Poleni sana, Mungu atawaponya haraka mrejee katika mapambano.
Duh! Jamani ni mtu mwenye roho ya namna gani anayeweza kuzungumza maneno ya namna hii wakati wa ajali? Bila shaka atakuwa mchawi. Chuki nyingine hazifai kabisa.
Kiukweli PRADO siyo gari salama yaani kupoteza uelekeo ni haraka sana, mimi hii gari huwa sipendi kabisa kuendesha
Usione binadamu tunakutana nao tunaishi nao lakini wengine wana roho mbaya kupindukia, ni bora hata wachawi. Mwanasiasa au mwanachama wa chama chochote anaejua nini maana ya siasa huwa likitokea tatizo la upande wa pili anaacha tofauti zilizopo na kuungana kuwa kitu kimoja kwa mda ule...
Mission town mkuu!! Pole sana Ben kwa huu msiba mkubwa uliokupata Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu! RAHA YA MILELE UWAPE EEE BWANA, NA MWANGA WA MILELE UWAANGAZIE, WAPUMZIKE KWA AMANI.................!!Mhhh unaendeshaje wakati huna?