Ben Saanane na wenzake wapata ajali mbaya

Ben Saanane na wenzake wapata ajali mbaya

Dah!

Ajali mbaya sana hii.

Poleni sana wafiwa.
 
Pole sana Mkuu Ben Saanane
Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki cha majonzi
 
Last edited by a moderator:
Poleni wafiwa Mola awape nguvu na wepesi ktķ kipindi hiki kigumu. Pole mkuu Ben wa Saanane tunakuombea upone haraka. Yote ni mapenzi ya Mola hatuwezi kuhoji.
 
R.I.P makamanda pole sana kamanda katika kipindi hiki kigumu
 
Dah. Poleni sana.

Maraika wa mwenyezi Mungu awe nanyi na awape faraja.

Duniani tunapita na hatuwezi kuepuka mateso ya kidunia.
 
Poleni sana wakuu na Marehem Mungu awalaze sehemu stahiki. Safari hii makamanda msikubali Rambirambi akusanye Chris Lukosi
 
Last edited by a moderator:
Dada hembu wafundishe hao kaka zako ifeero sijui na huyo mwingine msalani adabu maana naona wameamua kujitoa ufaahamu wape elimu dunia na akhera inaweza wavusha hapo walipo wana hali mbaya sana amini hivyo.

Kifo hakijui siasa mama. Hili ni pigo kubwa kwa Ben Saanane kama binaadam na tunampa pole yeye kwa kuumia na kwa kufiwa na makamanda wenzake na uchungu alionao leo hii utamfanya afikiri wale aliotaka kuwaua kwa sumu wenza wao wa karibu wangekuwa katika hali ipi? laiti mipango yake ya kuuwa kwa sumu ingefanikiwa (kama haijafanikiwa)!
 
Ajali km hizo nilitegemea ziwakumbe waliochakachua maoni yetu ya katiba kwa maslahi yao binafsi. Au basi ingewakumba wezi wote wa kila ufisadi unaofanywa na ccm na viongozi wake
 
Kifo hakijui siasa mama. Hili ni pigo kubwa kwa Ben Saanane kama binaadam na tunampa pole yeye kwa kuumia na kwa kufiwa na makamanada wenzake na uchungu alionao leo hii utamfanya afikiri wale aliotaka kuwaua kwa sumu wenza wao wa karibu wangekuwa katika hali ipi? laiti mipango yake ya kuuwa kwa sumu ingefanikiwa (kama haijafanikiwa)!

Umeandika nini hapa na wewe? Ovyo kabisa!
 
Last edited by a moderator:
Huu mwaka una matukio mengi sana ya ajali, inabidi kuomba Mungu kila mtu utokapo...

Salamu za pole kwako Ben Saanane na wote walioguswa na kadhia hii..
 
Last edited by a moderator:
pole sana ben, ila nadhan hiyo ajali kuna mkono wa sisiemu
 
Poleni kwa ajali. And R.I.P marehemu. Nyinyi mbele sisi tunafuata.
 
Pole BENSaanane na Uwe na faraja kipindi hiki kigumu... Mungu atabaki kuwa Mungu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom