Ben Saanane na wenzake wapata ajali mbaya

Ben Saanane na wenzake wapata ajali mbaya

Pole sana Ben. naungana nanyi katika kipindi hiki cha majonzi.
 
Dada hembu wafundishe hao kaka zako ifeero sijui na huyo mwingine msalani adabu maana naona wameamua kujitoa ufaahamu wape elimu dunia na akhera inaweza wavusha hapo walipo wana hali mbaya sana amini hivyo.

Usilete uchangudoa wako msibani tuliza ashki majnun.
 
Pole ben, tuko pamoja nawe katika maombi kwenye hiki kipindi kigumu
 
Pole sana kamanda. Ni msiba mzito sana, ni jambo zito kuondolewa na watu wako muhimu mbele ya macho yako. Inauma sana. Poleni wafiwa.
Ova
 
Pole sana kamanda Ben saanane!
Niliposikia taarifa hii mara moja nilikuombea,mimi sikujui wala sijawahi kukuona lkn najua wewe ni mwanaharakati muhimu kwa ukombozi wa taifa hili,hivyo basi nilikuombea na kutamka kuwa hutakufa bali utaishi,naamin utapata quick recover!
But ushauri wangu ni kuwa ajali zote hizi si bure,kuna waovu wamelenga kukufanyia mabaya so locate a prophet ili awaweke wazi hao watu wabaya,wakishawekwa wazi itakuwa mwisho wao!
Tunakuombea upone kwa haraka!
 
Back
Top Bottom