Ben Saanane na wenzake wapata ajali mbaya

Ben Saanane na wenzake wapata ajali mbaya

Umenielewa. Hivyo ndivyo ilivyo. Kifo hakina siasa.

Mambo ya kulishana sumu yanatoka wapi hapa? Katika kipindi kigumu ni vizuri kuweka propaganda pembeni dada! Kama alitaka kumlisha huyo mshirika wako sumu mbona hukumpeleka mahakamani?
 
Kifo hakijui siasa mama. Hili ni pigo kubwa kwa Ben Saanane kama binaadam na tunampa pole yeye kwa kuumia na kwa kufiwa na makamanda wenzake na uchungu alionao leo hii utamfanya afikiri wale aliotaka kuwaua kwa sumu wenza wao wa karibu wangekuwa katika hali ipi? laiti mipango yake ya kuuwa kwa sumu ingefanikiwa (kama haijafanikiwa)!

Mkuu FF inanikumbusha kipindi kile baada.ya.jamaa kushindwa kumuwekea sumu prezidaa Zitto na Habib Mchange walipokuwa hotelini Moro kuelekea Iringa jamaa walilegeza stud za tairi la gari wakijaribu kummaliza kwa njia ya ajali.
 
Poleni sanaa wafiwa na majeruhi....but kama vile tumuachie kazi, naona arufu job ya DIA

Tumuachie mungu.
RIP marehemu.
 
Poleni sana wafiwa. Mwenyezi awasimamie na kuwajaza nguvu kwenye kipindi kigumu kinachowakabili.
 
Ajali km hizo nilitegemea ziwakumbe waliochakachua maoni yetu ya katiba kwa maslahi yao binafsi. Au basi ingewakumba wezi wote wa kila ufisadi unaofanywa na ccm na viongozi wake

Na ndio maana Ben Saanane alitoka siti ya mbele na kurudi nyuma kabla ya ajali kutokea.
 
Last edited by a moderator:
Ben mshukuru Mungu umepewa tena muda mwingine wa kuzidi kujiandaa na hii safari yetu hapa duniani.R.I.P wote mliotangulia mbele ya haki.
 
Habari tulizopata muda huu ni kuwa Ben Saanane amepata ajali mbaya eneo la Maili moja Kibaha wakielekea Rombo Kilimanjaro kwa ajili ya kampeni pamoja na Marafiki zake wawili.

Gari inayomilikiwa na Allan Meshili aina ya Prado T377ACG iligongwa na gari nyingine na kupoteza mwelekeo kisha ikavaana uso kwa uso na gari ya aina ya scania ya mafuta.

Kuna watu wapo eneo la tukio watatutumia taarifa zaidi
===================

JamiiForums imethibitisha kutokea kwa ajali hii, Ben yupo salama lakini Patrick anadaiwa kuwa katika hali mbaya sana.

Taarifa zaidi zitafuatia

pole xana mkuu kwa yaliyokkuta 2po pamoja ktk hik kipind kigumu
 
Pole sana Ben Saanane. Unasema kuna gari iliwagonga na kusababisha mvamie gari ya mafuta, nayo hio gari iliyosababisha hivyo kukimbia?
Dah, natumaini ukitulia na ukipendelea utatuelezea zaidi hilo tukio. Siasa sasa ni vita vya wazi TZ!
 
Last edited by a moderator:
Poleni sana kwa hili, Ben God has a purpose for you!, listen from yourself utaisikia sauti ya Mungu, then timiza mapenzi yake!, hata kama ukiambiwa hama Chedema, kuwa mchungaji wa kondoo wa Bwana, just hama!.RIP Marehemu, Pasco
 
Pole sana Ben Saanane. Unasema kuna gari iliwagonga na kusababisha mvamie gari ya mafuta, nayo hio gari iliyosababisha hivyo kukimbia?
Dah, natumaini ukitulia na ukipendelea utatuelezea zaidi hilo tukio. Siasa sasa ni vita vya wazi TZ!

Kwahiyo unataka kusema hata alivyoamua kuhama siti na kurudi nyuma alijua yatakayotokea mbele yake? wewe endelea kukalia SIASA tu lakini kaa ukijua watu wanaendelea kuishi mjini bila shughuli maalum na hawataki kurudi shamba kulima.
 
Last edited by a moderator:
Kwahiyo unataka kusema hata alivyoamua kuhama siti na kurudi nyuma alijua yatakayotokea mbele yake? wewe endelea kukalia SIASA tu lakini kaa ukijua watu wanaendelea kuishi mjini bila shughuli maalum na hawataki kurudi shamba kulima.

Bro umefata nini kwenye huu uzi?mana hata hufanani na wachangiaji wengine wote
 
Kwahiyo unataka kusema hata alivyoamua kuhama siti na kurudi nyuma alijua yatakayotokea mbele yake? wewe endelea kukalia SIASA tu lakini kaa ukijua watu wanaendelea kuishi mjini bila shughuli maalum na hawataki kurudi shamba kulima.

Kwahio wewe umekalia nini?
Sijakuelewa. Ofcourse ni presumptious kufikiri ni siasa maana ni asilimia ndogo sana ya ajali za barabarani hutokea sababu ya siasa. Lakini nilimaanisha kuwa Ben akitulia na akipenda anaweza tueleza zaidi mazingira ya ajali na labda pakawa na sababu za kususpect foul play.
 
Mkuu FF inanikumbusha kipindi kile baada.ya.jamaa kushindwa kumuwekea sumu prezidaa Zitto na Habib Mchange walipokuwa hotelini Moro kuelekea Iringa jamaa walilegeza stud za tairi la gari wakijaribu kummaliza kwa njia ya ajali.
Kukariri ni jadi yenu!
 
Kifo hakijui siasa mama. Hili ni pigo kubwa kwa Ben Saanane kama binaadam na tunampa pole yeye kwa kuumia na kwa kufiwa na makamanda wenzake na uchungu alionao leo hii utamfanya afikiri wale aliotaka kuwaua kwa sumu wenza wao wa karibu wangekuwa katika hali ipi? laiti mipango yake ya kuuwa kwa sumu ingefanikiwa (kama haijafanikiwa)!

Kumbe na wewe fyatu sikujua nazidi kukujua zaidi kweli nyie ndio ile mizigo ya kutoswa baharini.
 
Pole sana kamanda Ben Saanane! Mwenyezi Mungu akutie faraja katika kipindi hiki kigumu! Tunamwomba mwenyezi Mungu awapumzishe kwa amani Faith na Patrick, Amen!
 
Last edited by a moderator:
Pole sn kamanda. Mungu akujaalie upone haraka, akutie nguvu na akupe subra kwa kuondokewa na wenzio.

Rip mliotangulia, Inna lillah wainna ilayh rajiuun
 
Back
Top Bottom