Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

Vijana wenzangu, mi niwashauri tu kuwa, tujitume ktk kufanya kazi za kutuingizia kipato halali, hii kasumba ya kukaa kama Habibu Mchange unapangishiwa nyumba tabata, unawekewa kila kitu unakubali kugeuzwa kama mwanamke changu-doa, kila siku unakaa kubuni namna ya kufanikisha ndoto za mabwana wako wanaokuweka mjini kwa kukomba matapshi yao, kwel sio mpango kabisa!!!
Fanyeni kazi, mtafulia mjini hapa, maana mipango yenu lazima igonge mwamba na hao mabwana wanao wawezesha watawakimbia!! Mtaanza kujuta!
Inawezekana ukawa wimbo mpya kwa Habibu Mchange, ila iko siku utanielewa, na ulicho kifanya hapa sio kipya, ni moja ya kazi zinazomweka mjini!!!
Ok let us see .....
 
Mna mahaba kweli, maana lazima kila mmoja wenu lazima ammetion mwenzake kwa kila post, nawashauri mngeungana na kuwa mwili mmoja ili muishi kwa amani.

mkuu hawa lazima wawe na mahaba ya pwani.Si unawaona wanapenda sana kutaja maeneo yao ya kujidai..lamu,Mombasa na Pemba.
 
Kwa mwenye akili timamu embu pima hizo kauli mbili za NYAKARUGU na MCHANGE, then kumbuka aliyoyasema BEN.



COPIED AND PASTE from facebook:

Grayson M. Nyakarungu




‎@All, hakuna kinachofanyika zaidi ya ccm kufaidi sasa, mtatawanyika na hakuna atakayewakusanya hata kwa miruzi ya zomali, naona vijana mnaojiita makamanda mkitukanana mkidhania ndio siasa, niliwahi kuonya tabia ya kujiweka kwenye utamaduni wa kutukana viongozi wa serikali hovyohovyo bila kujifunza hoja, na tabia hii imekuwa na kuota mizizi, dhambi yetu inageuka na kututafuna wenyewe, Ben Wa Saanane tumekutana wakati wa mchakato wa bavicha hapo ndipo tulipofahamiana na baadae tukawa tunakutana na kujadili namna gani tutajenga mtandao wa kiharakati wa vijana usio wa chama cha siasa, ila yote yalikufa baada ya mimi kwenda mwanza kazini kwangu, mimi na ben hatujawahi kupanga njama asemazo na wala kumjadili kiongozi wa kitaifa, mwajua mnafiki ataumbuka yeye tu..naomba ben uwahishe ombi lako kwa chama ili utoe huo ushahidi usemao, pia wewe ben ulikuwa ukilalama sana eti kila unapomtafuta zito anakuwa busy hamjawahi kukaa kila siku story yako ni kuwa unatarajia kuonana nae, sasa ndugu yangu ben tena nakusihi sana uje na hizo documents zako fanya haraka!!!



quote_icon.png
By Mchange
Ni kwa sababu niliipima akili yake na kujua anachokitaka, na nisingeweza kumkimbia mapema kwa sababu angewasingizia mambo mengi sana wenzake.

Mpaka sasa baadhi ya viongozi wa chama wananichukia sana mimi, wanamchukia mwampamba na wengine, lakini hii ni kwa sababu ya uwongo waliokuwa wakilishwa na SAA NANE, yeye alikuwa anatuita tupumzike ama tupige story, halafu anakibadilisha kinakuwa kikao cha mikakati ya PM7 halafu anaanzisha maada za kujadili kisha anawarekodi na kupeleka kwa hao baadhin ya viongozi, masikini ya mungu viongozi wetu wanaamini na kuanza kuwaona wenzao waongo nakadharika.

Hii ni aina mbaya sana ya kufanya strugle, sisi hapa adui yetu ni CCM tu, tunavyopoteza muda kurekodiana wenyewe kwa wenyewe haisaidii kitu.

Muda alioutumia SAA NANE kuturekodi ili akauze habari angeutumia kufanya maswala ya msingi kwa chama hakika tungezidi kuwa mbali.

Lakini ndio hivyo tena njia ya mwongo fupi, na kila kitu sasa kipo hadharani.....NAENDELEA KU-COMPILE MANENO YAKE NILIYOMREKODI AKISISITIZA UANZISHWAJI WA PM7 NITAYAWEKA HUMU KILA MTU AMUELEWE SAA NANE NI NANI.......
 
CHADEMA wanakosea na hili walishawahi kushauriwa....wanazoa wanachama bila kuwapa muda na mafunzo maalum vijana ili kukijua chama,kujua itikadi,falsafa ya chama na maana yake,kujua nini maana ya chama,kujifunza uanachama na principles za chama....pia mwenendo na maisha ya mwanachama kwa chama na taifa kwa ujumla...lengo ni kuwa na shared vision....kukosekana kwa haya wanachama wao hasa vijana ni rahisi kuyumbishwa kwa pesa,umaarufu au ahadi ya madaraka......ni waropokaji na kila mtu ni msemaji wa chama,mwenyekiti,katibu,naibu katibu,mbunge n.k...hakuna wa kuambiwa na kusikiliza....hawajui kwa nini wapo chadema na lengo lao ni nini kwa chama na taifa.....hawana ubunifu kwenye mambo ya msingi kwa wananchi ila mambo ya ujinga na uroho wa madaraka....wengi ni umaarufu seekers......kwa kutokukaa chini na kutatua jambo hili kuanzia kwenye mizizi....CHADEMA inatayumba kwa kufukuza na kukaribisha wanachama...yaani nguvu ya kufukuza itaenda sambamba na nguvu ya kuwapata.....its time to evaluate yourselves thoroughly as next leaders.....mabadiliko mpaka yatokee lazima wajinga na wapuuzi wengi wawepo....asanteni.
 
Mkuu Ritz
Umemaliza kahawa? Nimeacha kinywa wazi si nilikuambia huyu Ben Saanane ni mnafiki na jutar mkubwa; maliza kahawa mkuu umsome Mchange.

Chama
Gongo la mboto DSM

Mkuu chama,
Nimemaliza kunywa kahawa nimemsoma Mchange, na sasa namsoma kamanda Gryson M. Nyakarungu, naye anafunguka zaidi...ngoma bado mbichi.
 
Last edited by a moderator:
Unapotoa kauli kama hizi,leta na ushahidi hapa jukwaani.Hata mm naweza kusema kwanini umepokea rushwa ya kuja kufanya kazi ya kumchafua Zitto?(sina ushahidi)

wewe kweli ni mbuzi,kwani ni kazi kuzipata?zimejaa humu jf na nikianza kusicopy nitakuwa najaza saver bure kwa vitu ambavyo vimesharudiwa mara kibao hapa ndani!wewe ni mgeni humu?
 
ben hawezi kumuingiza mtu yeyote king kati ya hao anaowataja yeye mwenyewe anajua ,anachofanya ni kutoa report ya uwongo kwa wale waliomtuma ili aonekane amefanikiwa kutimiza lengo.kitu ambacho si kweli.ukweli utajulikana tu.
msituambie ukweli utajulikana, sisi tunautaka huo ukweli sasa hivi, tunahangaika huku mtaani kuwaaminisha watu kuwa chadema ni chama cha ukombozi halafu huku wengine wanafanya usaliti? Hatupo tayari kuvumilia huu upuuzi unaoendelea kamwe
 
Mchange Habib bado sana!! unaonekana wazi unatumika ulichoandika kikilinganishwa na kile cha Ben unaonekana kabisa umeumba maneno kumsafisha Kabwe
 
PM7 imenikumbusha pasture mating 7, kundi fulani lilikuwa na tabia ya kuwashughulikia wadada kwenye shamba la michungwa kule kibaha sec...
 
zitto ni tetemo litakaloleta nyufa ktk chama,huyu ben wa saanane ndo huyu kuna tetesi nilizipata mwezi wa tano kwamba alitumwa kumuwekea sumu zitto,akakamatwa na masalia akaomba msamaha huku akilia na kuwataja waliomtuma,
kweli kazi ipo hapa,mchange umefunguka sana kwa wenye ufahamu kama mimi tunaelewa nini kinaendelea ndani ya chadema
tujiulize ben na mamuya ni wa wapi na wanaowapinga zitto,shonza,mchange,mwampamba ,sanga,gwakisa nao ni wa wapi nadhani majibu yatapatikana kuanzia hapo
 
[h=5]COPIED AND PASTE from facebook:

Grayson M. Nyakarungu


[/h][h=5] ?@All, hakuna kinachofanyika zaidi ya ccm kufaidi sasa, mtatawanyika na hakuna atakayewakusanya hata kwa miruzi ya zomali, naona vijana mnaojiita makamanda mkitukanana mkidhania ndio siasa, niliwahi kuonya tabia ya kujiweka kwenye utamaduni wa kutukana viongozi wa serikali hovyohovyo bila kujifunza hoja, na tabia hii imekuwa na kuota mizizi, dhambi yetu inageuka na kututafuna wenyewe, Ben Wa Saanane tumekutana wakati wa mchakato wa bavicha hapo ndipo tulipofahamiana na baadae tukawa tunakutana na kujadili namna gani tutajenga mtandao wa kiharakati wa vijana usio wa chama cha siasa, ila yote yalikufa baada ya mimi kwenda mwanza kazini kwangu, mimi na ben hatujawahi kupanga njama asemazo na wala kumjadili kiongozi wa kitaifa, mwajua mnafiki ataumbuka yeye tu..naomba ben uwahishe ombi lako kwa chama ili utoe huo ushahidi usemao, pia wewe ben ulikuwa ukilalama sana eti kila unapomtafuta zito anakuwa busy hamjawahi kukaa kila siku story yako ni kuwa unatarajia kuonana nae, sasa ndugu yangu ben tena nakusihi sana uje na hizo documents zako fanya haraka!!!

[/h]

yani mimi ningependa kupata posting history ya ben tangu siku anakua member hapa,ingekua interesting sana kuisoma.
 
masikini my favorate chama CHADEMA, WHY THIS?
 
Duuuuuuh, njia ya muongo fupi aisee... Ila ndo siasa hii tutayasikia mengi na mengi zaidi...Ben saa nane upo embu tuambie ukweli Zitto anakujua?ww kumjua Zitto ni kazi rahisi ila ww je unajulikana kwake ashawahi kukuona?

swali zuri sana hili,Ben saanane aje ajibu amewahionana na Zitto ana kwa ana(wapi) akijibu hili swala nitakuja na neno
 
Mna mahaba kweli, maana lazima kila mmoja wenu lazima ammetion mwenzake kwa kila post, nawashauri mngeungana na kuwa mwili mmoja ili muishi kwa amani.

Mkuu Matola ahsante kwa matusi yako nikikujibu nitakula ban acha tu nikuvumilie vipi lakini za masiku? Naona unaingia jamvini kwa kwa gari la kuazima kwema?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
masikini my favorate chama CHADEMA, WHY THIS?

Wewe unakionea huruma?Wakati wakuu wa chama ndio wamesuka mpango huu mchafu wa kuchafuana.Zitto alipo anaheka tu na kushangaa timutimu hiii dhidi yake
 
Ni kwa sababu niliipima akili yake na kujua anachokitaka, na nisingeweza kumkimbia mapema kwa sababu angewasingizia mambo mengi sana wenzake.

Mpaka sasa baadhi ya viongozi wa chama wananichukia sana mimi, wanamchukia mwampamba na wengine, lakini hii ni kwa sababu ya uwongo waliokuwa wakilishwa na SAA NANE, yeye alikuwa anatuita tupumzike ama tupige story, halafu anakibadilisha kinakuwa kikao cha mikakati ya PM7 halafu anaanzisha maada za kujadili kisha anawarekodi na kupeleka kwa hao baadhin ya viongozi, masikini ya mungu viongozi wetu wanaamini na kuanza kuwaona wenzao waongo nakadharika.

Hii ni aina mbaya sana ya kufanya strugle, sisi hapa adui yetu ni CCM tu, tunavyopoteza muda kurekodiana wenyewe kwa wenyewe haisaidii kitu.

Muda alioutumia SAA NANE kuturekodi ili akauze habari angeutumia kufanya maswala ya msingi kwa chama hakika tungezidi kuwa mbali.


Lakini ndio hivyo tena njia ya mwongo fupi, na kila kitu sasa kipo hadharani.....NAENDELEA KU-COMPILE MANENO YAKE NILIYOMREKODI AKISISITIZA UANZISHWAJI WA PM7 NITAYAWEKA HUMU KILA MTU AMUELEWE SAA NANE NI NANI

Lakini mkuu mleta mada, nadhani nimekusoma mahala ukisema nawe umewahi kumrekodi huyo Bw. Saanane. soma hapa maandishi yako "… …………………ukifuatilia kwa makini mazungumzo yetu ambayo kwa bahati nzuri nimeyarekodi kuanzia siku ya kwanza mpaka ya mwisho utaweza kumuelewa SAANANE kuwa alikuwa na kazi maalum."

Ninachanganyikiwa kidogo na ninapata shida kuamini kama haya uliyoyaandika yana ukweli kama yanakinzana kiasi hiki. Angalia pia maandishi niliyoyawekea wekundu.

Saanane alipata kuandika humu JF kwamba alipata kuwa msaliti kwa viongozi na chama chake na akatubu. Na wewe je ambaye ulipata kuushuhudia usaliti ndani ya chama chako ukipendacho na ukawa na ushahidi wa mazungumzo yenu lakini hukuchukua hatua zozote dhidi ya usaliti huo hadi leo hii unaleta mashtaka katika baraza la JF, uitweje?

Mimi nadhani ni mbinu mfu ya kujikosha na kujitetea. Nadhani hili ni doa sugu, halisafishiki.
Kajipange upya kutafuta rehema ya chama chenu kutokana na madudu haya mkuu.
 
Unajidanganya sana,lakini ifurahishe nafsi yako japo kwa leo

ni kweli bwana Zitto anakubalika kwa vijana wengi tena sana tu,ni mwanasiasa mwenye mvuto,ni mwanasiasa msomi,amehusika pia ktk kuijenga CDM na walau kuifikisha hapo ilipo sasa,akijiengua au akienguliwa CDM lazima kuna mtikisiko fulani utatokea.
ANGALIZO
Zitto ni tuta na CDM ni mlima,ilo lazima mulikumbuke siku zote nyie wafuasi wake.
 
Last edited by a moderator:
Wanasiasa bana, bado Zitto atakuja na thread yake Mzee Mwanakijiji atakuja na thread yake Jasusi atakuja na thread yake na wengine kibao
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom