Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

Mchange huwezi
jisafisha kwa huu utumbo!! umekuwa ukionekana live na mabandiko yako
kule FB we omba msamaha kwa viongozi usamehewe acha polojo...huo utumbo
uliobandika hapa kwanza hauleweki

Mkuu kumbe umeona huyu hana jipya.Mara mia angetumia bandiko lake kuomba msamaha kwa viongozi wake aliowachafua FB.
 
copied and paste from facebook:

grayson m. Nyakarungu




‎@all, hakuna kinachofanyika zaidi ya ccm kufaidi sasa, mtatawanyika na hakuna atakayewakusanya hata kwa miruzi ya zomali, naona vijana mnaojiita makamanda mkitukanana mkidhania ndio siasa, niliwahi kuonya tabia ya kujiweka kwenye utamaduni wa kutukana viongozi wa serikali hovyohovyo bila kujifunza hoja, na tabia hii imekuwa na kuota mizizi, dhambi yetu inageuka na kututafuna wenyewe, ben wa saanane tumekutana wakati wa mchakato wa bavicha hapo ndipo tulipofahamiana na baadae tukawa tunakutana na kujadili namna gani tutajenga mtandao wa kiharakati wa vijana usio wa chama cha siasa, ila yote yalikufa baada ya mimi kwenda mwanza kazini kwangu, mimi na ben hatujawahi kupanga njama asemazo na wala kumjadili kiongozi wa kitaifa, mwajua mnafiki ataumbuka yeye tu..naomba ben uwahishe ombi lako kwa chama ili utoe huo ushahidi usemao, pia wewe ben ulikuwa ukilalama sana eti kila unapomtafuta zito anakuwa busy hamjawahi kukaa kila siku story yako ni kuwa unatarajia kuonana nae, sasa ndugu yangu ben tena nakusihi sana uje na hizo documents zako fanya haraka!!!

nyakarungu naona umefunguka nawe, siri zitazidi kufichuka tu.
 
The most pertinent issue to me out of this blurry is that the undercover are not smart enough - they have left traces to the extent their future operations will be difficult. It seems to me they are all destroyers of the good deeds for who he started submission of their the so-called party rebels have no control from the center otherwise the center itself is misguided and it is out of masters' control.

It seems to me the centre is loosing control of the peripherals which is very dangerous for "center'' s survival...... Media has never been useful to rebuke a dangerous peripheral if one wishes the mass to believe so. The matters at hand required internal system approach to achieve a better impact with little damage.

I submit & stand to be corrected.
 
Mkuu Ritz
Umemaliza kahawa? Nimeacha kinywa wazi si nilikuambia huyu Ben Saanane ni mnafiki na jutar mkubwa; maliza kahawa mkuu umsome Mchange.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Mods tunaomba hii iambatanishwe.Naona nyakarungu kafunguka,na anahamu Ben apeleke ushahidi mbele ya chama haraka sana
Usidhani mods wa JF ni Vilaza kama wewe, hapa aje yeye mwenyewe kuweka bandiko lake na siyo copy & paste. akili yako bado ndogo sana, kwani mimi siwezi kucopy kitu na kuedit halafu nikapaste?
 
pumba anazo yule ambaye anakimbia kivuli chake,anayetaka kuuaminisha umma kwamba hatumiwi wakati huo huo maelezo yake yanajifunga,soma vizuri maelezo ya mchange utaelewa maana kamaliza kila kitu.bado sijafunguka nitakapo amua kufunguka nitafunguka kivingine,ila kwa leo dozi ya mchange inatosha
funguka basi kama una hoja nzito! wewe wenzako wanafunguka. ukichelewa watakuchafua halafu ukija kufunguka itaonekana ni za mfa maji.tumia muda huu dada!
 
Kazi ipo sana. Kwa hali hii CDM kuingia Magogoni ni ndoto. Kumbe wasaliti mpo wengi sana? Mchange, Saanane, Zito wote hamna kitu. Kwanini msilumbane kwenye mikutano yenu huko tukajua kama mna nia njema na CDM. Napata picha nyinigine, Zito ni mbaya kuliko wengine wote hapo kwani kila linalozungumzwa lina connection na zito kwanini? kuna kitu kimejificha, Slaa na Mbowe hebu fanyeni uchunguzi kukinusuru chama
 
Mkuu Ritz
Umemaliza kahawa? Nimeacha kinywa wazi si nilikuambia huyu Ben Saanane ni mnafiki na jutar mkubwa; maliza kahawa mkuu umsome Mchange.

Chama
Gongo la mboto DSM
Mna mahaba kweli, maana lazima kila mmoja wenu lazima ammetion mwenzake kwa kila post, nawashauri mngeungana na kuwa mwili mmoja ili muishi kwa amani.
 
Topic Information

There are currently 404 users browsing this thread. (233 members and 171 guests)

  • kfatherd,
  • Mr. Bigman,
  • Soki,
  • agwedegwede,
  • Dr.W.Slaa,----- Nasikitika kusema kwamba huyu mzee wangu ana matatizo na hawezi uongozi. Alishindwa nini na anashindwa nini kuwasihi wana CHADEMA mkazungumze mabo yenu kwenye vikao? Common sense inaniambia anahisi kujengeka kwa kubomolewa viongozi wenzake. Thank God uongozi wa nchi hii hauko mikononi mwake. Iko wapi busara ya kizee? Masikini CHADEMA


 
SIJAONA TIJA HAPO MKUU....kwanini isiwe wewe default ndio unatumia ID ya tuntemeke?...
kwangu mimi TUNTEMEKE na SAA NANE wote nawaona sawa tu, wote ni wavurugaji wa chama chao, isipokuwa TUNTEMEKE anashambulia kambi nyingine na SAA NANE kambi nyingime (specific zitto)..wote hawa ni wa kukanywa tu.

malinda swali kapewa Mchange achakukurupuka alafu kama ungesoma comment yangu usingeweza kuniuliza swali la onyo,,,ningependa kuwa kiongozi wa kisiasa wasaliti wala rushwa wote NINGEWANYONGA (kitanzi)
 
Last edited by a moderator:
Tatizo la hawa vijana ni nini? Mbona wanatoa taswira mabayo si ya kutia moyo katika harakati za kumkomboa mtanzania mnyonge!
 
nimesoma nyuzi zote kuanzia ila ya Mamuya, ya Zitto, ya Ben na hii ya Mchange jambo ambalo nimegundua si kweli kwamba Ben Saanane na Zitto hawajawahi kuonana kama Zitto alivyojaribu kutuaminisha.

Bado kuna wakuamini kwamba Zitto ajawahi kukutana na Ben????

Hivi una makengeze ya fikra?sio Ben wala Mamuya aliyesema amewahi kuonana na Zitto.


Nilichokiona,tuna tatizo kama jamii kutambua vipaji vya vijana wetu, kijana Ben anapaswa atiwe moyo ili kuchochea kipaji chake cha utunzi wa hadithi,kijana yupo safi sana kwenye hilo.


Ukisoma maelekezo yake ya kulishana yamini utapata picha kama alikuwa na Zitto pale/kuelekea kwa mganga,ingetosha kusema PM7walifanya/walitaka kufanya hivyo ila alijua haitauza bila kuchomekea jina la Zitto.


Zitto jipe moyo mkuu,usivunjwe moyo na wauza maneno kama hawa,ukiona unaandamwa sana kisiasa ujue ni kwa sababu una kitu cha tofauti na ambacho ni asset,muhimu ni kujisahihisha,kufanya siasa kwa nguvu zaidi bila kupoteza lengo lako la kuitumikia nchi yako kupitia ulingo wa siasa,NDIYO UNAWEZA...
 
Ben saanane anakiua chama,Ben ameamua kutafuta mafao ya mwaka

Ben anakiua chama kwa kusema alikuwa msaliti na amewasaliti wenzie wa kundi la PM7? Unadhani Ben,Zitto na Mchange wanauwezo wa kukiua chama? na kuahikishia wote hao wakiondoka na wafuasi wao wote bado chadema itaendelea kuwa imara na tena itaimarika zaidi kwa kuwa wale wakwamisha harakati watakuwa wamepungua na kama siyo kwisha kabisa.
 
Onesha onnetion mkuu,ZItto anapendwa na vijana wanataka kumtumia yeye hawataki.Ndio maana wanakuja kurumbana hapa

Ni kujidanganya tu. Hakuna vijana wanao mpenda Zitto zaidi yenu.
 
Topic Information

There are currently 404 users browsing this thread. (233 members and 171 guests)

  • kfatherd,
  • Mr. Bigman,
  • Soki,
  • agwedegwede,
  • Dr.W.Slaa,----- Nasikitika kusema kwamba huyu mzee wangu ana matatizo na hawezi uongozi. Alishindwa nini na anashindwa nini kuwasihi wana CHADEMA mkazungumze mabo yenu kwenye vikao? Common sense inaniambia anahisi kujengeka kwa kubomolewa viongozi wenzake. Thank God uongozi wa nchi hii hauko mikononi mwake. Iko wapi busara ya kizee? Masikini CHADEMA



Huyo anafanya malipo halali ya ruzuku ya chama kwa akina ben saanane kufanya huu mkanda wa filamu kwenye mitandao
Umemvua nguo,inatosha
 
Mkuu Ritz siasa aka politics is all about power struggle ambazo huongozwa na personal decision zinazolenga kunufaisha jumuia nzima. Kwenye siasa hakuna fursa ya kujifariji maana maamuzi yakifanyika yanakuwa yamefanyika, Mwenyekiti Kikwete huita hili "ajali ya kisiasa"

Kwa kutambua hilo neno la Mwenyekiti Kikwete,itakuwa ni ajabu ya musa kwa wanazi na mashabiki wa siasa kama 50thebe kujifariji kufuatia maamuzi ya kisiasa yaliyofanya ana wanasiasa waigizaji. Maana haiwezekani ku-reverse maamuzi hayo bali kuishi nayo na kuyafanyia maamuzi mengine muhimu ili kuyatangua.

Istoshe mkuu Ritz, ukilinganisha siasa za ndani ya CCM na siasa za ndani ya Chadema, kwa mtazamo wangu naona siasa za ndani ya chadema zinayo siha bora zaidi kuliko zile za ndani ya CCM, sababu kubwa ni moja, wanasiasa wa ndani ya chadema wanasema kero zao hadharani, mwenye ushahidi wake anautoa bila kujali UTHABITI wa ushahidi alionao ili kutoa fursa kwa mashabiki na "mahakimu wa matukio" kutoa maoni ama hukumu zao. Tofauti na CCM hii ya kizazi kipya, kila neno linakanushwa ama litatolewa ufafanuzi unaopwaya huku ukweli ukizingwa na wingu la "suala halina maslahi kwa taifa". Hapo tu ndio CCM inapopoteza umakini na nasaba ya kuwa Chama Cha Wanyonge ambao wanaamini kila kitu-kizuri ama kibaya- kina maslahi kwao kujali ukubwa ama udogo wake.

Unaamini wanachofanya hawa vijana ni sahihi? I doubt it!
 
Back
Top Bottom