Zitto hopless sana,hebu jaribuni kuzisoma posts za mchange na juliana shonza jinsi wanavojaribu kujinasua nasua kwenye shutuma hizi na kuishia kulalama ya kwamba ben msaliti beni msaliti wa chama,,!!yani kauli zao hazina mashiko kabisa,so so childish
hakuna ambae hajui ya kwamba ben nae kakisaliti chama,,yeye mwenyewe kasema ivo na amekiri ya kwamba alikua anakihujum chama na hao kina zitto wakiwemo,aliwasihi wenzake kuamua kusitisha harakati hizo kwa maslahi ya chama ila wenzake waliendelea kwa sababu zenye manufaa juu yao,shonza na wenzako kuja hapa na kushupalia kumjibu ben saa nane personally bila kujibu shutuma zilizotajwa ni ukanjanja wa hali ya juu sana,,
na inaonesha kabisa na kwa kiasi gani mlivyo na akili za kitoto,tunataka ukweli tuuskie na sio blah blah na kujinasua nasua kwenye madudu mliyoyafanya,,kama siku zote walikua wanafaham zitto na ben saa nane wanahujum chama walikua wapi kuacha kuyafikisha hayo katika vikao vya chama wanalalamika waende kuyazungumza leo??
broken adults..