Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,848
unaambiwa hawa wote ni wasaliti tu sasa ulifikiri ni kwa nini wasaliti wasisikilizane katika usaliti huo, wanachofanya sasa hivi ni kuumbuana kuhusu maovu yao, tuendelee kuwapa muda watabwabwaja usaliti wao wote hawa wanafiki. Hakuna ovu lisilo na malipo, na malipo ni hapahapa duniani tuBw. Mchange, nina kaswali kamoja tu kadogo.
Kama ulishambaini Saa Nane kuwa mtu wa hatari, mbona uliendelea kuwasiliana naye? Mimi watu kama hao huwa nawapotezea mara moja, lakini inaonekana umeendelea kuwa na mawasiliano ya karibu na mtu huyu ambaye tangu mwanzo hukumwamini.