Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

Ni kwa sababu niliipima akili yake na kujua anachokitaka, na nisingeweza kumkimbia mapema kwa sababu angewasingizia mambo mengi sana wenzake.

Mpaka sasa baadhi ya viongozi wa chama wananichukia sana mimi, wanamchukia mwampamba na wengine, lakini hii ni kwa sababu ya uwongo waliokuwa wakilishwa na SAA NANE, yeye alikuwa anatuita tupumzike ama tupige story, halafu anakibadilisha kinakuwa kikao cha mikakati ya PM7 halafu anaanzisha maada za kujadili kisha anawarekodi na kupeleka kwa hao baadhin ya viongozi, masikini ya mungu viongozi wetu wanaamini na kuanza kuwaona wenzao waongo nakadharika.

Hii ni aina mbaya sana ya kufanya strugle, sisi hapa adui yetu ni CCM tu, tunavyopoteza muda kurekodiana wenyewe kwa wenyewe haisaidii kitu.

Muda alioutumia SAA NANE kuturekodi ili akauze habari angeutumia kufanya maswala ya msingi kwa chama hakika tungezidi kuwa mbali.

Lakini ndio hivyo tena njia ya mwongo fupi, na kila kitu sasa kipo hadharani.....NAENDELEA KU-COMPILE MANENO YAKE NILIYOMREKODI AKISISITIZA UANZISHWAJI WA PM7 NITAYAWEKA HUMU KILA MTU AMUELEWE SAA NANE NI NANI

Mbona mikakati yote hiyo ya saanane kama mlikua mlijua wewe na rafiki yako zito mbona mlikua mmekaa kimya na kwenye vikao halali vya chama zito anaingia na hajawai ku-raise issue kama hiyo kuwa kuna mtu anamkakati wa kuua chama?. Hapa we na zito hamkwepi lawama
 
hii ni funga mwaka,wakati makamanda wengine wanahangaika kujenga na kuimarisha chama ninyi mmejikita kuumbuana humu JF shame on you wote ni wanafiki na wasaliti hakuna mkweli kati yenu
 
Kinachoonekana wazi,
Ben saanane alitumwa akaunde kikundi cha kufanya mapinduzi ya vijana ndani ya chama(hii idea ulikuwa mtego)
Akishaunda kikundi na kuwahsirikisha hao rafiki zake aliowataja,Ndipo apate nafasi ya kumuomba zitto awafadhili.
bahati mbaya sana Zitto na mungu wake hakuwahi onana na hao watu licha ya ben kufanya jitihada zote kuonana naye.
Moja kwa moja endapo zitto angekutana na hawa vijana angeingia kwenye mkenge wa kisiasa ambao alikuwa ametegewa na Ben saanane kama alivyotumwa na wakuu wake.
Mara baada ya kushindwa kumnasa ZItto njia rahisi ameamua kuja kumchafua zitto hapa jukwaani.

alitumwa na nani?
 
Mkuu Kimbunga,
Hivi Wassira alijuaje kuwa mwaka 2015 Chadema itasambaratika.

Chadema wataingia kwenye uchaguzi mwaka 2015 na majeruhi makubwa.

Kuna mgogoro mkubwa unakuja kwenye uchaguzi mkuu wa Chadema.
 
Last edited by a moderator:
hii ni funga mwaka,wakati makamanda wengine wanahangaika kujenga na kuimarisha chama ninyi mmejikita kuumbuana humu JF shame on you wote ni wanafiki na wasaliti hakuna mkweli kati yenu

Adha ya vijana kutumika kuchafua watu ndio hii?
Umewahi msikia Ben saanane kwenye mkutano wowote?au M4C yoyote ya kichama?
Unamisikiaga hapa kwenye usaliti,mara TISS n.k hii ndio kazi ya Ben saanane pale chadema
 
Ikiwa mkono wako au mguu wako unakusababisha utende dhambi, ukate na uutupe mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa huna mkono mmoja au mguu mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili au miguu miwili na kutupwa katika moto wa milele. Nalo jicho lako kama linakusababisha utende dhambi ling'oe, ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili lakini ukatupwa katika moto wa jehanam.
Mathayo 18:8-9
 
Wewe kama makamu mwenyekiti wa Bavicha au mmoja wa member wa kikundi (Manake unajibu kwa authority) ulichukua hatua gani kwa Ben baada ya kugundua mipango yake mibaya kwa chama? Je matusi kwa viongozi wa chama yale ya Juliana shonza na Mwampamba na Mchange kule fbuk pia mlitumwa na Ben?

huo ni msumari wa mtot na hapo utasikia mtu kalia "mama........"
 
Mkuu Kimbunga,
Hivi Wassira alijuaje kuwa mwaka 2015 Chadema itasambaratika.

Chadema wataingia kwenye uchaguzi mwaka 2015 na majeruhi makubwa.

Kuna mgogoro mkubwa unakuja kwenye uchaguzi mkuu wa Chadema.

Hiii ni vita isiyoisha leo wala lini.Hii yote ni hila ya wakuu wa chama kwa zitto.Lakini hawawezi zaidi ya kufurahisha nafsi zao
 
Mkuu Kimbunga,
Hivi Wassira alijuaje kuwa mwaka 2015 Chadema itasambaratika.

Chadema wataingia kwenye uchaguzi mwaka 2015 na majeruhi makubwa.

Kuna mgogoro mkubwa unakuja kwenye uchaguzi mkuu wa Chadema.

mmeona ule mwaka mmoja umeshindikana ee?na bado mtasema yote,kama mlimtegemea zitto na kundi lake mmeula wa chuya!subirini hiyo 2015
 
Mchange huwezi jisafisha kwa huu utumbo!! umekuwa ukionekana live na mabandiko yako kule FB we omba msamaha kwa viongozi usamehewe acha polojo...huo utumbo uliobandika hapa kwanza hauleweki
 
Mkuu Kimbunga,
Hivi Wassira alijuaje kuwa mwaka 2015 Chadema itasambaratika.

Chadema wataingia kwenye uchaguzi mwaka 2015 na majeruhi makubwa.

Kuna mgogoro mkubwa unakuja kwenye uchaguzi mkuu wa Chadema.

Kaka Ritz, nasikia huenda uchaguzi wa ndani wa CDM ukaghairishwa hadi baada ya 2015.
 
Last edited by a moderator:
Mbona mmeanzia mbali sana? kumbe huku ndio mlikuwa mnaelekea

NASHAURI TURUDINI KWENYE MJADALA WETU MAARUFU, KWANINI SLAA ANAZICHUKUA KADI ZA WANACHAMA WA CCM WANAOHAMIA CHADEMA NA YEYE YAKE ANAWATUNZIA WAJUKUU ZAKE?.

Slaa ameamua kukaa chonjo kukimbilia CCM kutokana na huu mchezo mchafuanaousimamia ndani ya chama na kuhalilisha malipo.
 
Mchange huwezi jisafisha kwa huu utumbo!! umekuwa ukionekana live na mabandiko yako kule FB we omba msamaha kwa viongozi usamehewe acha polojo...huo utumbo uliobandika hapa kwanza hauleweki

hauko fair...kama utumbo wa mchange haueleweki, vipi maili ya saa nane umeyaelewa?.
 
wewe mnafiki na msaliti mkubwa, hapa leo ni mbivu mbichi, jibunu hizo hoja hapa tuwaelewe na sio kuanza kutunga mashairi ya kuficha matunguri yenu hayo nyie masalia.
Mnazidi kuonyesha mko kundi gani. Wazee wenu wako wapi nyie, mnavuana nguo mbele za watu.
 
Mtiririko wa hizi story nauita Chapters za Kitabu kiitwacho "Kuibuka na Kuzama kwa Upinzani wa ndani ya Chadema"

Najisikia fahari sana kuona kuwa pamoja na upinzani wote huu wa ndani ya chama, Mwenyekiti Mbowe na Katibu Dr Slaa wamesimama kidete bila kutetereka, nastareheshwa na namna waumini makundi haya ya upinzani wa ndani wanavyofunguka wenyewe bila kulazimishwa wala kushurutishwa. Naamini kauli mbiu ya kimapambano inayoongoza harakati za Taasisi ya Chadema "Peoples Power" kuwa ni kauli iliyoasisiwa na Mungu Mwenyewe, maana endapo ingeasisiwa na fikra za kibinadamu hakika isingeweza kukabiliana na upinzani huu.

Kwa mujibu wa historia, jambo lolote jema hupata upinzani wa ndani. Kabla ya TANU palikuwapo vyama vingine kama AA. TAA nk, lakini watu walijitenga navyo na kusonga mbele. Wapinzani wa ndani ya chadema nao wanafuata mkondo ule ule wa historia ili maandiko yatimie kuwa HAKUNA wa kuidanganya historia, wala hakuna wa kujidanganya mwenyewe na katu hakuna wa kumdanganya shetani hata wanafiki wanaotajwa na Quarani.

Chadema_Peoples Power_God's Voice

Long live chadema
 
Movie bado inaendelea...
Naisubiria thread ya Mbowe, Slaa, Josephine...dah!!

JF where we dare to talk openly!!

Hicho ndiyo chama makini kimejaa vijana wasomi kutoka chuo kikuu.
 
Back
Top Bottom