Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

YAWEZEKANA U MGENI KWENYE SIASA ZA CHADEMA, MIGOGORO YA CHADEMA HAIKUANZA BAADA YA UCHAGUZI KAMA UNAVYODAI...LABA NIKUKUMBUSHA KIDOGO...
1. Walianza na kaborou, wakamshambuliaaaaaa mpaka akahama chama.
2. wakahamia kwa akwilombe, naye wakamshambuliaaaa mpaka akahama chama
3. wakaja kwa kina Mzirai, Mng'ong'o na wenzao wakawashambulia mpaka wakawafukuzza uanachama..
4. lakini kubwa zaidi ni CHACHA WANGWE, walimshambulia, wakamwita msaliti, amenunuliwa, amehongwa mpaka akauawa kitatanishi tatanishi, cha kushangaza ni kwamba baada tu ya kuuawa kwake wakaacha kumuita msaliti, akaanza kuitwa KAMANDA...
5. Wamehamia leo kwa zitto, wanamshambulia ili ahame chama, kinachowauma sasa in zitto kuwapuuza, ndio maana wanalazimika kubuni kila aina ya njia za kumshusha lakini wanashindwa....

kitu cha msingi na kuzingatia ni kwamba kwenye chadema woooooote wanaweza kuitwa wasaliti isipokuwa wawili tu.

Basi kama hao walivyoondolewa na Chama kimeweza kuendelea kukua na kuimarika zaidi kuna uwezekano mkubwa sana kwamba kumfire Zitto na Nyie wote ikawa ni gear ya mafanikio zaidi.

Alafu angalia aina ya watu uliowataja, bila kuangalia ukweli wa maelezo yako, kabourou yuko wapi? sijui akwilombe, mzirai you name it, kati yao na CHADEMA nani kapotea??

Mimi naendelea kukutambua wewe kama mmoja wa mizizi ya haya matatizo yote na tatizo ni njaa. hakuna kinachowasumbua zaidi ya njaa, njaa itawafikisha pabaya sana, watu kama nyie kule lamu mnashushughulikiwa vizuri kweli kweli,njaa yenu ndio ibilisi wenu
 
pumba anazo yule ambaye anakimbia kivuli chake,anayetaka kuuaminisha umma kwamba hatumiwi wakati huo huo maelezo yake yanajifunga,soma vizuri maelezo ya mchange utaelewa maana kamaliza kila kitu.bado sijafunguka nitakapo amua kufunguka nitafunguka kivingine,ila kwa leo dozi ya mchange inatosha


too bad indeed,,,

so so childish mind..
 
Basi kama hao walivyoondolewa na Chama kimeweza kuendelea kukua na kuimarika zaidi kuna uwezekano mkubwa sana kwamba kumfire Zitto na Nyie wote ikawa ni gear ya mafanikio zaidi.

Alafu angalia aina ya watu uliowataja, bila kuangalia ukweli wa maelezo yako, kabourou yuko wapi? sijui akwilombe, mzirai you name it, kati yao na CHADEMA nani kapotea??

Mimi naendelea kukutambua wewe kama mmoja wa mizizi ya haya matatizo yote na tatizo ni njaa. hakuna kinachowasumbua zaidi ya njaa, njaa itawafikisha pabaya sana, watu kama nyie kule lamu mnashushughulikiwa vizuri kweli kweli,njaa yenu ndio ibilisi wenu
Unapatashida mkuuu
 
Ili Zitto tumwamini Watanzania, atuambie je hiki kikundi cha PM.7 anakifahamu au amewahi kukisikia? Na kama ni ndiyo, je yeye kwa nafasi ya uongozi aliyonayo katika chama amechukua hatua gani, kama kweli ana mapenzi mema kwa chama kama anavyosema.
 
Hasira yako ya mimi kukushtukia na kuwaambia kina Mwampamba na Juliana kuwa wewe kila siku una warekodi na kwenda kuuza habari kwa kiongozi mmoja wa juu ambaye humtumia HAWARA WAKE kutuma SMS za matusi kwa watu, isiwe sababu ya kuanza kuwachafua watu ndugu yangu.
huyu kiongozi ni Mbowe au Slaa? Na huyo hawara ni mwanachadema au?
 
kweli ***** umekwingia kiasi kwamba hata usingizi leo hujalala, safi sana ben tunaitaji vijana kama nyie
khttps://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/371059-ben-saanane-mwanasiasa-kijana-msomi-atakayefika-mbali-2.html#post5262443

kaamsome hapa huyo Jembe wako saa nane
 
Viongozi wa juu wanasuka hizi dili za kuchafuana mitandaoni na alipo yanafanyika kihalali kabisa pale makao makuu.Unategemea nini?
Lakini vita hii ya kusi na kasi itafika mwisho

Watu wanashindwa kujua kua chama ni kama nguo nyeupe doa moja tu linatosha kuichafua.
 
I don' t know why
I keep believing
That one day, they' ll bring us together
When they' ve shown
In more ways than one
That all they care about is the TSHS.
KWAHERI CHADEMA CHAMA KINA WENYEWE HIKI.

sku zote ndoto sio ukweli, sisimizi hawezi angusha pipa
 
huyu kiongozi ni Mbowe au Slaa? Na huyo hawara ni mwanachadema au?........

It is very interesting wanavyotaka kuwavuta Slaa na Mbowe kwenye huu uchafu wao, kimsingi kwa namna walivyochanganya maneno ni vigumu sana kumuhusisha Ben na hao wawili wakati imeelezwa Ben alishiriki katika kuwachafua kwenye hayo magenge yao ya kishirikina na kuapishana viapo vya kifreemanson.
 
Hicho ndiyo chama makini kimejaa vijana wasomi kutoka chuo kikuu...........

Nakuazima msemo wa kimaendeleo uutumie bila malipo.


WHEN THE GOING GETS TOUGH; THE TOUGH GET GOING (Toyota).

Maana yake kenge kwenye msafala wa mamba ni wapambe, safari si yao.
 
Mkuu wangu kuna uwezekano kama unavyosema uchaguzi mkuu wa Chadema usifanyike.

Nakuhakikishia hii ni taarifa mpya kabisa, wanapanga kuusogeza uchaguzi wa ndani hadi baada ya 2015 ili kuepusha matatizo makubwa sana. Kwa sana ni vita kubwa baina ya kundi la slaa na la zitto.
 
Leo huyu msaliti anayejiita Taswira leo kashikiwa pabaya sana kwani tangu jana usiku hajalala kabisa.

Ee Mungu tunusuru na hawa wasaliti.
 
Last edited by a moderator:
Mchange, kwanza uandishi wako umekosa mtirriko mzuri wa mawazo hata kama kuna ukweli wowote kati ya unayoyazungumza itakuwa ngumu sana ujumbe wako kueleweka. Pili, naona unataka kujisafisha lakini hausafishiki. Ona hapa ulichoandika:

"2. Ni BEN SAA NANE ndiye aliyewashawishi na kuwalazimisha wenzie anaowasema leo ni wasaliti waunde kikundi. Hakuishia hapo, akakitunga mpaka na jina. Kuwa ni ‘’patriotic movement seven’’ na akakifupisha PM7.
3. Ni BEN SAA NANE ndiye aliyegawa majina ya kuitana miongoni mwa wana kikundi hiko, yeye akajipa jina la COBRA, mimi akanipa MDUDE "


Unajua nini Mchange, watu wote wenye akili hawawezi kukuamini kwa haya unayoyaandika. You are being too pretentious, unatungatunga tu vijistori vya kubumba na watu wengi waliojiunga humu JF ni watu wazima wenye akili zao, wanaweza kupembua pumba na mchele. Zako hizi ni pumba.

lakini amesema kuwa amerekodi mazungumzo yao tangu mwanzo,kama unautaka ukweli unatakiwa ujue na kuusimamia.cdm ni wakati wa kuusimamia ukweli,waitwe kila mmoja kwa ushahidi wake then chama ktoe hukumu ya haki kwa wote kutokana na makosa yao yatakayothibitishwa!!!otherwise wengine tutaamini maneno ya jk!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom