Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

Kunasehemu watu wamesema walikuwa wanawahafua slaa na mbowe?Mbona unatunga uongo usio kuwepo.Kilicho zungumzwa hapa ni PM7 nasio hicho unahoturubuni

Soma thread inayojibiwa na jamaa yako Mchange hapa, halafu uje uniambie uongo wangu. Au hujui thread hii ilipoanzia?
 
Sasa Mchange umemuumbua Zitto maana juzi alisema hamfahamu kabisa Ben Saanane wewe umekuja kuweka sawa kwa kummaliza swaiba wako Zitto kwa kweli njia ya mnafiki ni fupi
 
Naomba msaada yeyote aniwekee ule uzi uliomuibua Ben saanane na usaliti wake kule india kwa watanzania wenzetu na kukimbia na hela

Mtahangaika sana na IDs fake mwaka huu kubadili usiku kuwa mchana lakin mjue kwamba damu iliyomwagika Arusha na moro itawatafuna sana kwa huo usaliti wenu nyie wana MP7.
 
Nashangaa zitto na wasaliti wenzake hawajibu hoja wanamshambulia tu Ben
 
I don' t know why
I keep believing
That one day, they' ll bring us together
When they' ve shown
In more ways than one
That all they care about is the TSHS.
KWAHERI CHADEMA CHAMA KINA WENYEWE HIKI.
 
nimesoma nyuzi zote kuanzia ila ya Mamuya, ya Zitto, ya Ben na hii ya Mchange jambo ambalo nimegundua si kweli kwamba Ben Saanane na Zitto hawajawahi kuonana kama Zitto alivyojaribu kutuaminisha

Mchange kakurupuka sana kujibu mapigo kwa Ben jambo ambalo limefanya kutojibu hoja badala yake ameanza kurusha makombora hovyo

Ben alidokeza kuhusu Zitto kumpigia simu Kitila baada ya kuona ule uzi wa Mamuya na kumwambia Kitila azungumze na Ben ili aje akanushe habari zilizoletwa na Mamuya, baada ya Kitila kumwambia Ben na Ben kukataa ndipo Zitto akaja huku kutuonyesha umahiri wake kwenye mambo ya tunguri. Bado kuna wakuamini kwamba Zitto ajawahi kukutana na Ben????

Muulize Ben saanane walionana wapi na zitto(eneo) waliongelea nini??
Mamuya amesewa walipo onana na zitto,Je ben walionana wapi?
Akikujibu hili swla njoo hapa nikupe zwadi.Ben ni mnafiki na mwongo wa kimataifa
 
Habari, nimeona mchango wangu huu niuanzishie uzi ili tujadiliane kwa mapana..

Mpaka tuufikie tunaouita ukombozi wa pili, basi tuna kazi na safari ndefu sana!

Kama vijana tunaweza tukainuka na kuanza kuporomosha mashtaka na kutaja majina ya watu bila hata facts, basi kazi ipo ndugu zangu.


mchange kama wewe siyo mnafiki kwa nini hii mikakati hukuisema kabla?
 
Nashangaa zitto na wasaliti wenzake hawajibu hoja wanamshambulia tu Ben

Hoja ipi kamanda,Umeambiwa ben aliasisi kikundi mfu.baada ya kushitukiwa akakimbia na kuja Jf kujisalimisha.Sasa hoja ni ipi,Zitto kunasehemu ametajwa kuhusika na kikundi hicho kwa maana kifedha,kikao n,k?
 
Kundi haramu aliloliasisi yeye mwenyewe na walipo mkimbia,akaamua kuja kukimbila polisi kumchafua Zitto ili hali hakuna sehemu zitto anatajwa kushiriki/kuonana/kufanya chohote na huu upuuzi

Wewe kama makamu mwenyekiti wa Bavicha au mmoja wa member wa kikundi (Manake unajibu kwa authority) ulichukua hatua gani kwa Ben baada ya kugundua mipango yake mibaya kwa chama? Je matusi kwa viongozi wa chama yale ya Juliana shonza na Mwampamba na Mchange kule fbuk pia mlitumwa na Ben?
 
Habari, nimeona mchango wangu huu niuanzishie uzi ili tujadiliane kwa mapana..

Mpaka tuufikie tunaouita ukombozi wa pili, basi tuna kazi na safari ndefu sana!

Kama vijana tunaweza tukainuka na kuanza kuporomosha mashtaka na kutaja majina ya watu bila hata facts, basi kazi ipo ndugu zangu.


mchange kama wewe siyo mnafiki kwa nini hii mikakati hukuisema kabla?

Mikakati iliyoishia kwenye makaratasi aaisema wapi?Kumbuka ben ni alikuwa rafiki yao.Baada ya kuasisi huu mhezo ndipo wakamkimbia,yeye alikuwa na lengo la kuingiza zitto mtegoni
 
Habari, nimeona mchango wangu huu niuanzishie uzi ili tujadiliane kwa mapana..

Mpaka tuufikie tunaouita ukombozi wa pili, basi tuna kazi na safari ndefu sana!

Kama vijana tunaweza tukainuka na kuanza kuporomosha mashtaka na kutaja majina ya watu bila hata facts, basi kazi ipo ndugu zangu.


mchange kama wewe siyo mnafiki kwa nini hii mikakati hukuisema kabla?

Hauhitaji degree 3 kutambua unafiki wa Mchange na wenzake...hapa wanamshambulia Ben....Atuambie na yale matusi kwa viongozi wa chama kule fbuk ambayo ameyatoa yeye hayaonyeshi dhamira yake chafu? au akaunti yake ilikua hacked?
 
Kaka Mchange, ben ni mzushi, mchonganishi na ametumwa tunamjua vyema usiwe na wasiwasi.
 
Last edited by a moderator:
kwa mala ya kwanza nitaweka nilichokiona ktk post zote kuanzia ya mamuya,Saanane na hadi hii ya mchange' ni kwamba kwa kawaida yai likipasuka kiini chake hapo 2natalajia kupata kifaranga'but hilo yai likipasuka kuanzia nje ya cover litakuwa limeharibi na hatutarajii chochote' .

Hawa vjana wote wana2mika, last wk saanane alim2humu julliana jana kaja na zitto nasema binafsi nguvu hizi mngezielekeza vijijini hakika mngepata wafuasi huko kwa hadhari 2 ni kuwa cjawahi kumsikia huyo zitto aki2kana viongozi wenzake kama ambavyo ckuwahi kumsikia Chacha Wangwe aki2kana viongozi.

Kilicho mtesa Wangwe ndicho kinachomtesa Zitto kupigania usawa na haki na pesa kugawanywa hadi kwenye matawi kuendeleza uhai wa chama.

Na katika hili hata sitashangaa mzee Arfi alipo2pa kadi ya chama chini na wakijitoa wote hawa 2naotaka hakutakuwa na chama.

naoskia harufu ya mayai viza
 
Hii sio ya 21 soma idad ya member wa Jf mm utajua ni wangapi

Hauelewi wewe,

Nimekwambia juzi tuliambiwa kuna IDs 20 fake zinazotumiwa na 'kundi lenu'. Sasa ya 21 imeongezeka. Ya kwako!
 
Kinachoonekana wazi,
Ben saanane alitumwa akaunde kikundi cha kufanya mapinduzi ya vijana ndani ya chama(hii idea ulikuwa mtego)
Akishaunda kikundi na kuwahsirikisha hao rafiki zake aliowataja,Ndipo apate nafasi ya kumuomba zitto awafadhili.
bahati mbaya sana Zitto na mungu wake hakuwahi onana na hao watu licha ya ben kufanya jitihada zote kuonana naye.
Moja kwa moja endapo zitto angekutana na hawa vijana angeingia kwenye mkenge wa kisiasa ambao alikuwa ametegewa na Ben saanane kama alivyotumwa na wakuu wake.
Mara baada ya kushindwa kumnasa ZItto njia rahisi ameamua kuja kumchafua zitto hapa jukwaani.
 
Hauelewi wewe,

Nimekwambia juzi tuliambiwa kuna IDs 20 fake zinazotumiwa na 'kundi lenu'. Sasa ya 21 imeongezeka. Ya kwako!

Kundi lipi la Jf?Kwa hiyo kuna id 20 tu hapa Jf
 
tatizo ambalo linanifanya nisipende kuongelea sana siasa ni kuwa kwanza huku ndani kuna watu wanakuwa na bias hata kwenye masuala ya msingi!penye ukweli ukisemwa watu hutoa mapovu,lkn huko chadema nadhani kuna matatizo makubwa,japo mashabiki hawataki kuyaongelea kabisaaa!!!



Inavyoonekana kuna watu wenye hadhi ya juu na watu wenye hadhi ya chini. Ninachokiona hapa kuna vijana waliopoteza uelekeo baada ya kujikuta hawathaminiwi n wanaitwa majina ya ajabu ajabu. Watu wanajitahidi kupotosha lakini inaonekana wazi kua kuna tatizo( fukuza fukuza imekua kubwa). Kuna haja ya wazee(wasio na maslahi katika mgogoro huu) kumsikiliza kila mtu(anaetuhumiwa) na aruhusiwe kuongea yote yaliyoko moyoni mwake ndo wataweza kuwasuluhisha.
 
Back
Top Bottom