Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,550
- 3,092
R.I.P CHADEMA tulikupenda lakini ndio hivyo tena.
mchange, inaonekana wewe bado upo hicho kikundi AMBACHO MWENZAKO SAANANE AMEAMUA KUTOKA NA KUTUELEZA UKWELIIII. Sasa zamu yenu wewe na Zito kutoka pia, na kutubu kwa dhambi zenu za kukisaliti chama......
Habari, nimeona mchango wangu huu niuanzishie uzi ili tujadiliane kwa mapana..
hapa inaonyesha hukua na nia thabiti ya ukombozi na ni mtu uliyekata tamaa,yaani 2015 ni safari ndefu?basi kwa taarifa yako ukombozi uko karibu hasa baada ya wasaliti wazuia ukombozi kama ninyi kuvuliwa nguo.
mlipokuwa mnatoa kashfa kwa slaa na mbowe hapa jamvini mlikuwa na facts?
hili ndio unalijua leo?wakati wenzenu wanaendelea na m4c nyie mnaongelea kumuweka zitto madarakani,iko wapi team work unayoisema?
inakuaje ujitenganishe na saanane tena baada ya yeye kukiri ukweli juu ya uhuni wenu?ni kweli tunawaogopa wote kwa ujumla wenu,lakini ukiacha saanane aliyekiri makosa yake hadharani nyie mliobaki ni wa kuogopwa kuliko kimeta(anthrax)
haya yalioko kwenye bold yalisemwa na zitto pia,sielewi kwa nini mnapinga kumtambua saanane..naamini ukweli utajulikana sooon
saanane ameshakiri hilo liloko kwenye bold!sio kawaida kwa mgombea kusikiliza na kupuuza hasa kwenye taarifa zinazohusu kuenguliwa kutoka kwenye uchaguzi...labda wewe ndiye uliyekuwa mgombea wa kimkakati.
.
kwa nini kila mara unapinga kuwasiliana au kukutana na saanane?kwa kinywa chako unakubali hili ndio lilkuwa genge lenu la wachumia tumbo na wasaliti wa chama!halafu unataka kutuaminisha kuwa harakati zenu ndio zilianzia hapa,je ukiletewa ushahidi wa harakati zenu kabla ya hapa utapinga?
4
itaje hiyo ID fake ya saanane....si umeamua kuweka ukweli hadharani.
katiba ya chama na dhamiri yako inakuambia nini mara unapogundua kuna mamluki ana ''kazi maalum'' ndani ya chama chako au kundi lako?
nilitegemea ushutushwe na maneno ya vitisho vya kichawi vilivyoletwa na bosi wako TUNTEMEKE MKUU(zitto)
bado unaendeleza kashfa kwa viongozi wa chama..kweli hii ni hulka yenu.kama uliweza kugundua hili saa ya kishushushu basi nachelea kuamini na wewe ulikuwa na kifaa chako cha ushushushu ulichopewa na TUNTEMEKE MKUU(pengine cha kupiga ramli)
2
ina maana wewe si mmoja wa hilo kundi la washawishiwa??hii hawaondolei makosa hata kidogo,wewe ulitaka kundi lijianzishe lenyewe?hivi ben ana miaka mingapi na wale walioshawishiwa wana umri gani?sioni kama ben ana kosa kwani aliwashikia bastola?
nadhani ulikubaliana na dhamira ya ben kwani ilishabihiana na dhamira yako!
majuto ni mjukuu!!haya tuambie basi Zitto(TUNTEMEKE MKUU) alikujibu nini na baada ya kukujibu uliendelea kumshauri nini?
kwa nini mnakanusha kuonana na saanane ?hapa nakumbuka petro alimkana yesu mara ya tatu na jogoo likawika!! Ben Saanane njoo uthibitishe huku.
aliyedhalilika ni 'TUNTEMEKE MKUU' na nyie mnaomtetea bila kujenga hoja.hakuna anyepinga kuwa saanane sio msaliti lakini kinachoendelea kuudhi ni upuuzi mnaofanya wa kukanusha haya.njooni haraka muombe radhi kwa umma!
ndio ....zitto anasingiziwa uchawi!!
.
huwezi kuacha kwa kuwa umelishwa yamini kwa mganga...chezeya mtu imeaga kwao wewe!!thubutu kumsaliti uone kama kuna kiroboto kitaishi hapo kwenu.
zitto keshachafuka na chama kinasonga kwa nguvu ya umma!kwa hiyo mliona kumchafua Dr slaa mngekiacha chama salama...shame on u!
nimefuatilia post za mijadala hii na kuona aliyeanza kujihami dhidi ya kifo ni zitto na sio saanane.
tabia hii inaitwa delusion of persecution a delusion that one is being attacked, harassed, persecuted, cheated, or conspired against.
mwisho naomba urudi kwa zitto akupe cha kuandika kwani hujajibu hoja ya saanane.sana sana umethibitisha kuwa alichosema ni kweli.mbaya sana badala ya kuomba msamaha kwa sisi wananchi bado mnaendeleza propaganda zenu za TUNTEMEKE style....ondokeni chadema mkajiunge na mafisadi wa magamba.......
MNAZIDI KUMPA CREDIT MCHANGE NDUGU ZANGU....HAYA MAMBO MENGINE NAWASHAURI MKAJIPANGE SAWA SAWA, VINGINEVYO MTAZIDI KUAIBIKA NA KUKIAIBISHA CHAMA.
SAA NANE AMEKIRI KUWA ANATUMIKA, KILICHOTOKEA HAPA MCHANGE AMESEMA KUWA SAA NANE AMEKUWA AKIJITUMIKISHA, LENGO LAKE LIKIWA NI KUONYESHA KUWA KUNA MAKUNDI NDANI YA CHADEMA.....
NASHAURI TURUDINI KWENYE MJADALA WETU MAARUFU, KWANINI SLAA ANAZICHUKUA KADI ZA WANACHAMA WA CCM WANAOHAMIA CHADEMA NA YEYE YAKE ANAWATUNZIA WAJUKUU ZAKE?.
R.I.P CHADEMA tulikupenda lakini ndio hivyo tena.........
sio rahisi kumtenganisha BEN SAA NANE na hiyo PM7 kwa kuwa ushahidi wa vidhibiti ambavyo mchange anasema anao unamgusa moja kwa moja BEN SAA NANE, ukiamua kumtetea hapa bila kujua ukweli utakuwa unapoteza muda tu, saa nane ameonyesha kukimbia kivuli chake na sasa amekubali kutumika kumchafua zitto tena anatumika vibaya sana.
.........
R.I.P CHADEMA tulikupenda lakini ndio hivyo tena.......
mchange, inaonekana wewe bado upo hicho kikundi AMBACHO MWENZAKO SAANANE AMEAMUA KUTOKA NA KUTUELEZA UKWELIIII. Sasa zamu yenu wewe na Zito kutoka pia, na kutubu kwa dhambi zenu za kukisaliti chama.......[/QUOTE
SAA NANE NI MNAFIKI SANA, TENA MNAFIKI WA KIMATAIFA.
Saa nane ni zaidi ya mchawi,mimi nimewahi kumkuta pale ubungo plaza na kundi lake akinywa viroba,ni hatari sana huyu kijana.........
hilo zengwe lote limepangwa na mzee.huyo ben alitumika tu ili kuwaingiza mkenge vijana afu baadae awaexpose waonekane hawafai target hasa ikiwa ni zito na lengo ikiwa ni kumfanya aonekane hafai kugombea urais kupitia chadema.FOLLOW THE MONEY TRAIL,hizo pesa za kufacilitate vikao vyao lilikua ni fungu anapewa huyo ben na huyo mzee ili awakamate vizuri hao kina machage.
Anaporudi kusema kuwa anakiri kuwa alikua akisaliti chama wakati ndo yeye alianzisha kundi hilo hapo ndo anapowapiga changa la macho wasiopembua masuala .hii inaonyesha chadema walivyo na kiu kubwa ya madaraka hasa huyo mzee.
Tulidhani kina lowasa ndo vinara wa hayo mambo kumbe humo chadema ndo wako more advanced hasa huyo mzee.
Taswira,
Wewe umejulia wapi kwamba Dr. Slaa anamwogopa Mchange? Au ndiyo yale yale ya kuchafua uongozi wa chama?
Mlikuwa wapi siku zote hizo msiyaseme hayo hadi msubiri Ben aje kuwaumbua hapa? na baada ya siku mbili ndio mnajipanga kuja kumchafua badala ya kujibu hoja zake?
Hivi mnajua hiki mnacho kifanya sasa nia hatari zaidi kwa upande wenu kuliko Ben? Ben ameonekana hapa kuwa smart zaidi yenu na hata hivi viroja mnavyo kuja navyo sasa inathibitisha uwezo wenu mdogo mlionao...
Unaweza kufikiria zaidi ya hapa.Ulitegemea watakaa kimya?Jana kuna mtu alisema hapa kuwa mshambuliwa no 1 anajiandaa kuja kujibu mapigo akiwa na vijana wake wenye ID mpya kanzia saa 2 usiku,Naona dada July na huyu mwenye post 120 nao wamejiunga jana,what a coincidence!
Taswira,
Kwa namna unavyopost, tarehe uliyojiunga na mwelekeo wa posts zako ulivyo, ninaamini kuwa ID ya 21 imeshapaikana
Cc Exaudi Mamuya, Ben Saanane, Yeriko Nyerere