Bei ya mafuta yapanda maradufu. Petroli bei yaongezeka kwa kati ya Tsh. 100 - 321

Mafuta yamenunuliwa March, Vita imeanza tarehe 24 Feb

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya andamana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuanzia kesho Jumatano, Aprili 6,2022 bei mpya ya petrol kwa mafuta yanayopokelewa kupitia Bandari ya Dar es salaam itakuwa Sh2,861 kutoka Sh 2,540 ikiwa ni ongezeko la Sh321.

Kwa upande wa dizeli bei mpya itakuwa Sh2,692 kutoka Sh2,403 ya sasa ikiwa ni ongezeko la Sh289. Bei ya mafuta ya taa itapanda kutoka Sh2,208 hadi Sh2,682 ikiwa ni wastani wa Sh474.

Maganga amesema mafuta ambayo yatapitia Bandari ya Tanga, bei ya petrol itakuwa Sh2,848 kutoka Sh2,563 ikiwa ni ongezeko la Sh285.

Kwa upande wa dizeli bei itaongezeka kutoka Sh2,484 hadi Sh2,779 ikiwa ni ongezeko la Sh295 kwa lita moja.

Mafuta ambayo yatapokewa kupitia Bandari ya Mtwara bei ya petrol kwa lita moja itakuwa Sh2,678 kutoka Sh2,577 ikiwa ni ongezeko la Sh100.

Bei ya dizeli kwa lita moja itakuwa Sh2,811 kutoka Sh2,530 ikiwa ongezeko la Sh281.
Ukitazama bei kwanini ongezeko la bei la Mtwara ambako ni mbali zaidi lipo chini kuliko la Dar
 
Shida ipo pale pale, una gari la umeme Tanesco wanakuambia wana maintenance ya mitambo mwezi mzima.
 
Wenye CC2400 tuanze group letu. Tuna kikao cha dharura🙁🙁mwaka huu roho yangu isipochomoka sifi tena🤣😀
 
Mafuta yamenunuliwa March, Vita imeanza tarehe 24 Feb

Sent using Jamii Forums mobile app
Refer #168
QUOTE
"Bei ya mafuta kwenye soko la dunia imepanda ila mechanism ya kuyapata mafuta huwa sio sawa Na pipi. Mafuta huendi Na kununua tu. Yanaagizwa kwa bulk purchase.

Halafu yanachimbwa, kusafishwa Na kusafirishwa ni span ya three month. How come price ireflect price ya February 25? Pia soko la Brent crude oil at the point no $105. Just bado hakuna justification ya price kuongezeka vile. Inabidi tuulize maswali kitaalamu. We ain't stupid!!" EOQ.
 
Okay
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…